Waziri wa Maji-shikamoo!

Waziri wa Maji-shikamoo!

Kuna huyu kunguni anapanua mdomo humu kila siku kwamba maji yamefikishwa hadi vijijini kwa 87.2% kwa mujibu wa takwimu zake za kulipwa ujira wa uchawa.


Sasa kama mjini hapo wanapata maji ya hivyo huko kijijini je itakuaje achilia mbali idadi ya kutunga ambayo nina uhakika vijiji vyenye maji ya uhakika havifiki 30% achilia mbali visivyo na miundombinu wala dalili ya kufikiwa na maji safi.

Wewe kunguni wa Awesso njoo utoe maoni yako hapa

ChoiceVariable The Sunk Cost Fallacy The Sunk Cost Fallacy 2
 
Aweso kazi yake kumsifia Sa100, kilq baada ya sentesi moja lazima amtaje sa100 ili kulinda kibarua chake. Hatuwezi kufika kwa mtindo huu
 
Back
Top Bottom