Kesho Kutwa, Nawewe utatueleza tu.
Na hapa niwahakikishie, Wale wooooote mlohusika Kushabikia , na Matendo ya Kichawa kuanzia Wasanii mpaka Viongozi wa Ngazi zote .
Hatutakua na nafasi ya...
Abdul ? Kijana ambaye kichwani ni mweupeeee peee pee ! Ndio ambaye ameruhusiwa Kua na mkono wa Kiutendaji Ndani ya TISS ?
Yaan Abdul huyu Kichwa maji ndio naye ameruhusiwa kuwachomekea Washikaji...
RIPOTI YA JAJI OTHMAN CHANDE NA DAMU YA TAIFA
JE, UKWELI UNAFICHWA?
Ninaona kuna juhudi za kuuficha ukweli, jambo linaloibua mashaka kwamba huenda lengo ni kulinda maslahi ya watu wachache...
Hi Zeee ni Moja ya Zee lenye ROHO mbaya mnoo.
Mh Polepole aliwahi tuelezea, Namna GANI Lilivyomtukana Nyerere, na namna GANI Magufuli alivyoliweka pembeni.
Ni zee korofi, lenye UCHU, Zee ambalo...
Aisee ninauhakika kuwa ata CCM na majeshi Yao Kuna funzo kubwa walilipata kuhusu binadamu.
Kabla ya MO29 watanzania walihamasishana mitandaoni kukiwasha ila watawala waliwachukulia poa. Kwa nchi...
Mnaendelea kuchora mabango ya kuandamana,
mnaposti kwenye mitandao ya kijamii,
mnapanga kukusanyika na kuingia barabarani kwa matumaini ya kusikika.
Lakini jiulizeni kwa kina
je, mmejiandaa...
Hili ninalisema Kila siku, Ujinga huenda Sambamba na Roho mbaya!.
Hata Makazini mwenu majionea, Wafanyakazi wajinga Huwa wanakawaida ya Kujipendekeza, Uchawi , Kufitinisha ,Majungu n.k.
Na Kwa...
Akiwasilisha Makadirio ya mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka 2026/2027 Bungeni Dododma leo Aprili 22, 2026, Waziri wa Nishati nchini, Deogratius John Ndejembi amesema;
"Nchi yetu pia...
LENGO hapa ni wote tuone Kwa namna gani Safari za Elimu zinaathiri utendaji kazi wa vyombo hivi, na hii itatupa Mwanga kwenye Katiba Mpya, Watu wa aina gani waongoze Vyombo vyetu vya Usalama...
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesitisha mpango wake wa kuuza akiba ya dhahabu kufuatia kushuka kwa bei katika soko la dunia, hatua inayoashiria mabadiliko ya tahadhari katika mkakati wake wakati...
Wanabodi
Jana nilimsikia Waziri wa Kilimo。Mhe。 Hussen Bashe akitangaza vita vya kibiashara ya vyakula kati ya Tanzania,Malawi na Afrika Kusini,
Bashe wakati akitangaza vita hiyo,sauti yake...
Tuna Jeshi la Polisi ambalo Matumizi ya Akili yalishaachwa huko nyuma .
Inawezekana pia ikawa ni sababu ya Kutokua na Akili yaan IQ kiduchu .
Hawa watu ulitaka kujua Uwezo wao wa Akili ,pitia...
Kwamba Jeshi la Polisi, linagawa Magari Kila Mkoa Hayazidi kumi, alafu Et wanayapa Promooo kwelikweli wakiamini wanawatisha Wananchi wasiandamane Oktoba 29 !!.
Yaan Njia mlioichagua ndio njia yenu, na sisi tutakwenda hivohivo na nyinyi.
Ukweli ni kwamba ni Ama Tuwafikishe katika Sheria au Mtuue wote mtumalize !!.
Na sio upuuzi na upumbavu wenu ulokoswa...
We are Coming !!... wee siulisaliti Polepole , mtoto wako alokuamini sana !!.
Sasa , Polepole ataishi, ila wewe Utaulipia Usaliti huo.
Unataka kujifanya wee ni Msuluhishi mzuri eehh kuzidi...
Ndivo vyombo vya habari Vitakavyoripoti !!
Huyu Maza na watoto wake, Elimu zao ni za hapa na pale, ni za kuunga unga sana , Ugonvi wao na Elimu unaanza Wakifika Kidato Cha Nne.
Dec 9 ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.