CHADEMA pumzi imekata, ACT hakiaminiki, vyama vingine havina mvuto. Kwa hali hii watashindana vipi na CCM wakashinda?

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,600
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa 2015, vyama vya upinzani hali yake ni mbaya sasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020. Mpaka ninavyoandika hapa na kama hali ikiendelea hivi, Uchaguzi Mkuu wa 2020 upinzani utaambulia anguko kubwa na la aibu la kihistoria.

Ni anguko la kihistoria kwa sababu baada ya hapo upinzani hautatamalaki tena katika ubora wake na sababu za kutotamalaki ni: CHADEMA pumzi imekata na itakata kabisa, ACT hakiaminiki na kitapoteza uaminifu kabisa na vyama vingine vitakosa mvuto. Kwa hali hii nani atashindana na CCM na akashinda?

Ambao wanafuatilia siasa za upinzani kwa karibu hasa za CHADEMA watakubaliana na mimi CHADEMA ya sasa siyo ile ya enzi zile, sio ile ya Balozi Dkt. Slaa, siyo ile ya hoja mkazo, siyo ile ya kuchakarika. CHADEMA ya sasa ni ya John Mnyika kijana aliyejificha kusaka fursa za kisiasa kwa maslahi yake binafsi, ni ya hoja nyepesi zisizo na mashiko wala uhalisia na hii ndio ishara ya kuonesha CHADEMA pumzi imekata. Haina pumzi ya kusimama tena mbele ya CCM.

CHADEMA imekimbiwa na kila mwanachama mwenye kujielewa na kila anayehama anatoa sababu zilezile ya kukubaliana na anayofanya Rais Magufuli na kutokubaliana na yanayoendelea CHADEMA. Ni yapi hayo? Kuna mengi ya kutaka kuyasikia kutoka huko ambayo yanakimbiwa? Je, ni suala la nafasi ya mwenyekti ambayo haiguswi na yeyote anayegusa anaambiwa usijaribu kuonja sumu kwa kulamba? Je, ni kuhusu kuhoji suala la ruzuku? Au ni ile sababu nyingine ambayo inasemwa sana?

Leo CHADEMA haipo kwenye ubora wake, CHADEMA imepoteza watu muhimu kama watu ambao wangekuwa kiungo muhimu kwa kujengea uwezo chama na wanachama wake. Mtu kama Sumaye ambaye angekuwa kiungo muhimu kuwafunda namna ya kuendesha chama na serikali kutokana na uzoefu wake hayupo tena, mtu kama Lowassa ambao wangewafunda uvumilivu na hekima katika siasa na uongozi hayupo, mtu kama Balozi Slaa ambaye angewafunda kujenga hoja nzito hayupo.

Kuksekana kwa watu kama hao ni ishara nyingine kubwa ya kukata pumzi kwa CHADEMA. Watu kama hao si wa kupatikana leo wala kesho ndani ya CHADEMA hasa ukizingatia watu hao wametokana na CCM. Je, watapambana vipi na CCM kama wanawategemea wanaCCM? CHADEMA bila wanaCCM pumzi inakata haraka na tumeona baada ya hao niliowataja kurudi CCM.

ACT na Zitto hawaaminiki wala hawakubaliki sana. Zitto anaonekana ni mtu asiye na misimamo linapokuja suala la kulinda na kutetea maslahi ya nchi yake. Ni msaka fursa kama ilivyo kwa Mnyika; anachokiangalia ni maslahi yake kulindwa kabla ya maslahi ya nchi.

Nasema maslahi yake kwa sababu ACT hakijababa maslahi yoyote kwa taifa na Zitto hajababa maaslahi ya ACT ila ACT ndio imebeba maslahi ya Zitto. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 Zitto kudhihirisha uchu wake ulivyo hatari. Kiongozi wa chama ambaye haaminiki yupo upande upi linapokuja suala la maslahi ya taifa, ataamikaje yeye na chama chake kupewa ridhaa ya kuongoza nchi yetu? Kwa ACT hii ya Zitto ndio inawaza kushindana na CCM kweli?

Ukiachana na CCM, ACT, CUF na CHADEMA ambavyo vina wanachama na mvuto kwa watanzania, vyama vingine havina mvuto kabisa. Ni vyama vya uchaguzi. Vinaibuka nyakati wa uchaguzi. Havina wagombea wakuwasimamisha kwa walau 20% kwa nafasi zote za uongozi.

Ni kama wanasubiri muujiza utokee lakini wanachoamini ni kimyume cha neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Mathayo 25:29 inasema ‘kwa maana kila mwenye kitu ataongezewa, naye atakuwa navyo kwa wingi. Lakini yule asiye na kitu hata kidogo alicho nacho atanyang’anywa. Ni vizuri watambue hilo.

Kwa mtazamo huu, kuna wa kushindana na CCM Uchaguzi Mkuu wa 2020 akashinda?
 
Mtoa mada ameongea kihisia nasio kiuhalisia.
Pia atuambie kama CHADEMA pumzi imekata kwanini mwenyekiti wa CCM aliwaita watendaji Ikulu na kuwapatia semina elekezi ya namna ya kuharibu form za wagombea wa upinzani???
CHADEMA ikate pumzi, CCM ingetumia nguvu kukwapua Serikali za mitaa?


Labda nmsaidie Mtoa mada....CCM hata ifanye mambo gan,,WATU WAMECHOKA KUONGOZWA NA CHAMA KIMOJA MIAKA ZAIDI YA 50 NA BADO HALI ZAO ZAKIMAISHA ZKIWA CHINI.
 
Mtoa mada ameongea kihisia nasio kiuhalisia.CHADEMA ikate pumzi, CCM ingetumia nguvu kukwapua Serikali za mitaa?


Labda nmsaidie Mtoa mada....CCM hata ifanye mambo gan,,WATU WAMECHOKA KUONGOZWA NA CHAMA KIMOJA MIAKA ZAIDI YA 50 NA BADO HALI ZAO ZAKIMAISHA ZKIWA CHINI.


Ivi unajua hata wananchi wote Tanzania wakilipwa mil 100 kwa mwezi Bado maisha yatakua magumu zaidi ya sasahv, kiuhalali ni bora utumie nafasi yako sasahv
 
Kwani upinzani wanaruhusiwa kufanya siasa? Fisiemu pekee ndiyo wanafanya siasa lakini wanawaogopa upinzani kuliko maelezo
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa 2015, vyama vya upinzani hali yake ni mbaya sasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020. Mpaka ninavyoandika hapa na kama hali ikiendelea hivi, Uchaguzi Mkuu wa 2020 upinzani utaambulia anguko kubwa na la aibu la kihistoria.

Ni anguko la kihistoria kwa sababu baada ya hapo upinzani hautatamalaki tena katika ubora wake na sababu za kutotamalaki ni: CHADEMA pumzi imekata na itakata kabisa, ACT hakiaminiki na kitapoteza uaminifu kabisa na vyama vingine vitakosa mvuto. Kwa hali hii nani atashindana na CCM na akashinda?

Ambao wanafuatilia siasa za upinzani kwa karibu hasa za CHADEMA watakubaliana na mimi CHADEMA ya sasa siyo ile ya enzi zile, sio ile ya Balozi Dkt. Slaa, siyo ile ya hoja mkazo, siyo ile ya kuchakarika. CHADEMA ya sasa ni ya John Mnyika kijana aliyejificha kusaka fursa za kisiasa kwa maslahi yake binafsi, ni ya hoja nyepesi zisizo na mashiko wala uhalisia na hii ndio ishara ya kuonesha CHADEMA pumzi imekata. Haina pumzi ya kusimama tena mbele ya CCM.

CHADEMA imekimbiwa na kila mwanachama mwenye kujielewa na kila anayehama anatoa sababu zilezile ya kukubaliana na anayofanya Rais Magufuli na kutokubaliana na yanayoendelea CHADEMA. Ni yapi hayo? Kuna mengi ya kutaka kuyasikia kutoka huko ambayo yanakimbiwa? Je, ni suala la nafasi ya mwenyekti ambayo haiguswi na yeyote anayegusa anaambiwa usijaribu kuonja sumu kwa kulamba? Je, ni kuhusu kuhoji suala la ruzuku? Au ni ile sababu nyingine ambayo inasemwa sana?

Leo CHADEMA haipo kwenye ubora wake, CHADEMA imepoteza watu muhimu kama watu ambao wangekuwa kiungo muhimu kwa kujengea uwezo chama na wanachama wake. Mtu kama Sumaye ambaye angekuwa kiungo muhimu kuwafunda namna ya kuendesha chama na serikali kutokana na uzoefu wake hayupo tena, mtu kama Lowassa ambao wangewafunda uvumilivu na hekima katika siasa na uongozi hayupo, mtu kama Balozi Slaa ambaye angewafunda kujenga hoja nzito hayupo.

Kuksekana kwa watu kama hao ni ishara nyingine kubwa ya kukata pumzi kwa CHADEMA. Watu kama hao si wa kupatikana leo wala kesho ndani ya CHADEMA hasa ukizingatia watu hao wametokana na CCM. Je, watapambana vipi na CCM kama wanawategemea wanaCCM? CHADEMA bila wanaCCM pumzi inakata haraka na tumeona baada ya hao niliowataja kurudi CCM.

ACT na Zitto hawaaminiki wala hawakubaliki sana. Zitto anaonekana ni mtu asiye na misimamo linapokuja suala la kulinda na kutetea maslahi ya nchi yake. Ni msaka fursa kama ilivyo kwa Mnyika; anachokiangalia ni maslahi yake kulindwa kabla ya maslahi ya nchi.

Nasema maslahi yake kwa sababu ACT hakijababa maslahi yoyote kwa taifa na Zitto hajababa maaslahi ya ACT ila ACT ndio imebeba maslahi ya Zitto. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 Zitto kudhihirisha uchu wake ulivyo hatari. Kiongozi wa chama ambaye haaminiki yupo upande upi linapokuja suala la maslahi ya taifa, ataamikaje yeye na chama chake kupewa ridhaa ya kuongoza nchi yetu? Kwa ACT hii ya Zitto ndio inawaza kushindana na CCM kweli?

Ukiachana na CCM, ACT, CUF na CHADEMA ambavyo vina wanachama na mvuto kwa watanzania, vyama vingine havina mvuto kabisa. Ni vyama vya uchaguzi. Vinaibuka nyakati wa uchaguzi. Havina wagombea wakuwasimamisha kwa walau 20% kwa nafasi zote za uongozi.

Ni kama wanasubiri muujiza utokee lakini wanachoamini ni kimyume cha neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Mathayo 25:29 inasema ‘kwa maana kila mwenye kitu ataongezewa, naye atakuwa navyo kwa wingi. Lakini yule asiye na kitu hata kidogo alicho nacho atanyang’anywa. Ni vizuri watambue hilo.

Kwa mtazamo huu, kuna wa kushindana na CCM Uchaguzi Mkuu wa 2020 akashinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kura mlion 8 za magafuli
Kura milion 6 za lowasa
Hao ilikua juhudi za mvuto wao
Safari hii ni nguvu vya vyama sio nguvu za watu... tutarajie baadhi ya vyama ni mtikisiko
Uchaguzi wa mwaka 2015
= CCM kura 8M,
= Ukawa kura 6M

Uchaguzi wa 2020 vijana wanaoongezeka ni takribani 5.8M. Sasa tujiulize hawa watakuwa upande gani kwa wingi.

Tusilale usingizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguzi wa mwaka 2015
= CCM kura 8M,
= Ukawa kura 6M

Uchaguzi wa 2020 vijana wanaoongezeka ni takribani 5.8M. Sasa tujiulize hawa watakuwa upande gani kwa wingi.

Tusilale usingizi
Kumbuka jumla ya Wapiga kura ni. Milioni 25 na Wanachama wa CCM ni Milioni 16 na Wafuasi wasio wanachama nakadiliwa kuwa milioni 4.5 na Wengine hawajaeleweka wako upande gani.
Mwaka 2015 kumbuka kulikuwa na upepo wa Kisulisuli wa Lowasa, Mmasai . Kitendo cha kuhama mwenye upepo wa Kisulisuli inamaanisha wote wa upepo wa Kisulisuli wamerudi kwao huko CCM.
Inamaana idadi ya zaidi asilimia 88 za kura za mwaka 2015 zimepungua kwa baadhi kwenda CUF, ACT na CCM. Chadema wanaweza wakawa wamepotea kwa kiwango hicho.
Ili Wafanye vizuri suluhu ni moja tu kuunga Mkono jitihada za Rais. Wananchi wana Mahaba na miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya 5.
No way out to run for their success they need to Join him.
 
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa 2015, vyama vya upinzani hali yake ni mbaya sasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020. Mpaka ninavyoandika hapa na kama hali ikiendelea hivi, Uchaguzi Mkuu wa 2020 upinzani utaambulia anguko kubwa na la aibu la kihistoria.

Ni anguko la kihistoria kwa sababu baada ya hapo upinzani hautatamalaki tena katika ubora wake na sababu za kutotamalaki ni: CHADEMA pumzi imekata na itakata kabisa, ACT hakiaminiki na kitapoteza uaminifu kabisa na vyama vingine vitakosa mvuto. Kwa hali hii nani atashindana na CCM na akashinda?

Ambao wanafuatilia siasa za upinzani kwa karibu hasa za CHADEMA watakubaliana na mimi CHADEMA ya sasa siyo ile ya enzi zile, sio ile ya Balozi Dkt. Slaa, siyo ile ya hoja mkazo, siyo ile ya kuchakarika. CHADEMA ya sasa ni ya John Mnyika kijana aliyejificha kusaka fursa za kisiasa kwa maslahi yake binafsi, ni ya hoja nyepesi zisizo na mashiko wala uhalisia na hii ndio ishara ya kuonesha CHADEMA pumzi imekata. Haina pumzi ya kusimama tena mbele ya CCM.

CHADEMA imekimbiwa na kila mwanachama mwenye kujielewa na kila anayehama anatoa sababu zilezile ya kukubaliana na anayofanya Rais Magufuli na kutokubaliana na yanayoendelea CHADEMA. Ni yapi hayo? Kuna mengi ya kutaka kuyasikia kutoka huko ambayo yanakimbiwa? Je, ni suala la nafasi ya mwenyekti ambayo haiguswi na yeyote anayegusa anaambiwa usijaribu kuonja sumu kwa kulamba? Je, ni kuhusu kuhoji suala la ruzuku? Au ni ile sababu nyingine ambayo inasemwa sana?

Leo CHADEMA haipo kwenye ubora wake, CHADEMA imepoteza watu muhimu kama watu ambao wangekuwa kiungo muhimu kwa kujengea uwezo chama na wanachama wake. Mtu kama Sumaye ambaye angekuwa kiungo muhimu kuwafunda namna ya kuendesha chama na serikali kutokana na uzoefu wake hayupo tena, mtu kama Lowassa ambao wangewafunda uvumilivu na hekima katika siasa na uongozi hayupo, mtu kama Balozi Slaa ambaye angewafunda kujenga hoja nzito hayupo.

Kuksekana kwa watu kama hao ni ishara nyingine kubwa ya kukata pumzi kwa CHADEMA. Watu kama hao si wa kupatikana leo wala kesho ndani ya CHADEMA hasa ukizingatia watu hao wametokana na CCM. Je, watapambana vipi na CCM kama wanawategemea wanaCCM? CHADEMA bila wanaCCM pumzi inakata haraka na tumeona baada ya hao niliowataja kurudi CCM.

ACT na Zitto hawaaminiki wala hawakubaliki sana. Zitto anaonekana ni mtu asiye na misimamo linapokuja suala la kulinda na kutetea maslahi ya nchi yake. Ni msaka fursa kama ilivyo kwa Mnyika; anachokiangalia ni maslahi yake kulindwa kabla ya maslahi ya nchi.

Nasema maslahi yake kwa sababu ACT hakijababa maslahi yoyote kwa taifa na Zitto hajababa maaslahi ya ACT ila ACT ndio imebeba maslahi ya Zitto. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 Zitto kudhihirisha uchu wake ulivyo hatari. Kiongozi wa chama ambaye haaminiki yupo upande upi linapokuja suala la maslahi ya taifa, ataamikaje yeye na chama chake kupewa ridhaa ya kuongoza nchi yetu? Kwa ACT hii ya Zitto ndio inawaza kushindana na CCM kweli?

Ukiachana na CCM, ACT, CUF na CHADEMA ambavyo vina wanachama na mvuto kwa watanzania, vyama vingine havina mvuto kabisa. Ni vyama vya uchaguzi. Vinaibuka nyakati wa uchaguzi. Havina wagombea wakuwasimamisha kwa walau 20% kwa nafasi zote za uongozi.

Ni kama wanasubiri muujiza utokee lakini wanachoamini ni kimyume cha neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Mathayo 25:29 inasema ‘kwa maana kila mwenye kitu ataongezewa, naye atakuwa navyo kwa wingi. Lakini yule asiye na kitu hata kidogo alicho nacho atanyang’anywa. Ni vizuri watambue hilo.

Kwa mtazamo huu, kuna wa kushindana na CCM Uchaguzi Mkuu wa 2020 akashinda?
Hivi mnalipwa kiasi gani kuandika haya Mashairi yasio na vina wala mizani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naiona chadema yenye nguvu kama simba dume mwenye njaa mwituni

Na kila mwana chadema naona ana nguvu na ushawishi mkubwa mara 1000 zaid ya mwana ccm

Chadema hata ibaki na viongoz 5 bado itaungwa mkono na mamilion ya watanzania wenye kuitalia mema nchi yetu

Kiongoz mkuu wa chama cha chadema hatakuwa yeyote kwa sasa zaid ya mbowe. Nakazia MBOWE. Wengine hao walikuwa Kama ukurutu tu na wameoatiwa anti biotic wamepotea. Wafia madaraka Kama Lowassa sumaye na wapuuz wengine wachumia tumbo kifuata upepo.


Na chadema hata wakiondoka wote, Ila list hii itakufa na tai shingoni

# Mbowe
# Lisu
# Lema
# Sugu
# Mdee
# Bulaya

Aluta continua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CDM imefanyia vikao wapi ukaona nguvu yao?
Si vikao/ mikutano mmeipiga marufuku ila ya ccm inaendelea?
ccm, tembea yenu, ongea yenu, mawazo yenu, vitendo vyenu ni vya 'yule mwovu' kwa 100%
 
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa 2015, vyama vya upinzani hali yake ni mbaya sasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020. Mpaka ninavyoandika hapa na kama hali ikiendelea hivi, Uchaguzi Mkuu wa 2020 upinzani utaambulia anguko kubwa na la aibu la kihistoria.

Ni anguko la kihistoria kwa sababu baada ya hapo upinzani hautatamalaki tena katika ubora wake na sababu za kutotamalaki ni: CHADEMA pumzi imekata na itakata kabisa, ACT hakiaminiki na kitapoteza uaminifu kabisa na vyama vingine vitakosa mvuto. Kwa hali hii nani atashindana na CCM na akashinda?

Ambao wanafuatilia siasa za upinzani kwa karibu hasa za CHADEMA watakubaliana na mimi CHADEMA ya sasa siyo ile ya enzi zile, sio ile ya Balozi Dkt. Slaa, siyo ile ya hoja mkazo, siyo ile ya kuchakarika. CHADEMA ya sasa ni ya John Mnyika kijana aliyejificha kusaka fursa za kisiasa kwa maslahi yake binafsi, ni ya hoja nyepesi zisizo na mashiko wala uhalisia na hii ndio ishara ya kuonesha CHADEMA pumzi imekata. Haina pumzi ya kusimama tena mbele ya CCM.

CHADEMA imekimbiwa na kila mwanachama mwenye kujielewa na kila anayehama anatoa sababu zilezile ya kukubaliana na anayofanya Rais Magufuli na kutokubaliana na yanayoendelea CHADEMA. Ni yapi hayo? Kuna mengi ya kutaka kuyasikia kutoka huko ambayo yanakimbiwa? Je, ni suala la nafasi ya mwenyekti ambayo haiguswi na yeyote anayegusa anaambiwa usijaribu kuonja sumu kwa kulamba? Je, ni kuhusu kuhoji suala la ruzuku? Au ni ile sababu nyingine ambayo inasemwa sana?

Leo CHADEMA haipo kwenye ubora wake, CHADEMA imepoteza watu muhimu kama watu ambao wangekuwa kiungo muhimu kwa kujengea uwezo chama na wanachama wake. Mtu kama Sumaye ambaye angekuwa kiungo muhimu kuwafunda namna ya kuendesha chama na serikali kutokana na uzoefu wake hayupo tena, mtu kama Lowassa ambao wangewafunda uvumilivu na hekima katika siasa na uongozi hayupo, mtu kama Balozi Slaa ambaye angewafunda kujenga hoja nzito hayupo.

Kuksekana kwa watu kama hao ni ishara nyingine kubwa ya kukata pumzi kwa CHADEMA. Watu kama hao si wa kupatikana leo wala kesho ndani ya CHADEMA hasa ukizingatia watu hao wametokana na CCM. Je, watapambana vipi na CCM kama wanawategemea wanaCCM? CHADEMA bila wanaCCM pumzi inakata haraka na tumeona baada ya hao niliowataja kurudi CCM.

ACT na Zitto hawaaminiki wala hawakubaliki sana. Zitto anaonekana ni mtu asiye na misimamo linapokuja suala la kulinda na kutetea maslahi ya nchi yake. Ni msaka fursa kama ilivyo kwa Mnyika; anachokiangalia ni maslahi yake kulindwa kabla ya maslahi ya nchi.

Nasema maslahi yake kwa sababu ACT hakijababa maslahi yoyote kwa taifa na Zitto hajababa maaslahi ya ACT ila ACT ndio imebeba maslahi ya Zitto. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 Zitto kudhihirisha uchu wake ulivyo hatari. Kiongozi wa chama ambaye haaminiki yupo upande upi linapokuja suala la maslahi ya taifa, ataamikaje yeye na chama chake kupewa ridhaa ya kuongoza nchi yetu? Kwa ACT hii ya Zitto ndio inawaza kushindana na CCM kweli?

Ukiachana na CCM, ACT, CUF na CHADEMA ambavyo vina wanachama na mvuto kwa watanzania, vyama vingine havina mvuto kabisa. Ni vyama vya uchaguzi. Vinaibuka nyakati wa uchaguzi. Havina wagombea wakuwasimamisha kwa walau 20% kwa nafasi zote za uongozi.

Ni kama wanasubiri muujiza utokee lakini wanachoamini ni kimyume cha neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Mathayo 25:29 inasema ‘kwa maana kila mwenye kitu ataongezewa, naye atakuwa navyo kwa wingi. Lakini yule asiye na kitu hata kidogo alicho nacho atanyang’anywa. Ni vizuri watambue hilo.

Kwa mtazamo huu, kuna wa kushindana na CCM Uchaguzi Mkuu wa 2020 akashinda?
Labda pumzi ya hiki chama cha wauaji
IMG_20200204_085031.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom