Kwa kuzingatia sheria na kanuni zinazotawala maandamano ya amani kimataifa, kikanda na kitaifa pamoja na ushahidi uliowasilishwa mbele ya Tume, ni maoni ya Tume kuwa kilichotokea wakati na baada...
Watanzania sijui mna shida gani , Kuna familia nyingi mno zimetendewa vibaya sana na watawala na vyombo vya usalama, waliowatendea unyama wanajulikana lakini hakuna anaelipa kisasi.
Uonevu...
Wanabodi,
Kupitia TBC, matangazo ya moja kwa moja, live Mubashara kutoke Tunguu Zanzibar: Nawaletea Kongamano la Vijana la kuadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania lililoandaliwa na Umoja wa...
Watu wamwambia watateteaje uongo.
Hawajui kilichomo kwenye ripoti watatetea vipi.
Waziri wa Habari Makonda ajitafakari pamoja na kupewa B2 za content creators hajaisaidia serikali.
Trump kakoswa koswa hii ni awamu ya pili,
Je Rais WENU you salama kiasi Gani?
Kama chande anasema vijana walikuwa na silaha je Rais WENU you salama kiasi Gani?
Utawala ulio mwaga damu kuwa...
Miaka ya karibuni, hasa kuanzia mwaka 1979, baada ya Iran kuanza kutawaliwa na Ayatollah, ambaye alitangaza kuwa Taifa la Israel liangamzwe, na kuwa Serikali zote za nchi za kiarabu zinazoongozwa...
Wakuu naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Yafuatayo ni mambo nyeti ambayo tume ya uchunguzi wa mauaji ya MO29 imeyaepuka kwa sababu ambazo wanazijua wao wenyewe:
1...
Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.
Kitu kinachonitisha ni...
"...tume ilipata ushahidi usio na mashaka kwamba matukio ya oktoba 29, 2025 yalipangwa, yaliratibiwa, yalifadhiliwa na kutekelezwa na watu waliopata mafunzo...huku wakihakikisha vitendo vya ghasia...
Cha ajabu sijaona wasomi wengi kutoka Zanzibar wakizungumzia swala la muungano kwa umakini. Sababu ambazo nazisikia kwenye upande wa faida ni
1. Wataweka bandari huru: Hii ilishawahi kutokea...
Ndugu zangu Watanzania,
Itoshe Kusema Ya Kuwa Rais wetu Mpendwa ameendelea kuonyesha Namna anavyothamini ,kujali, kuheshimu na kuwa na uchungu sana na Uhai na Maisha ya Mtanzania mmoja mmoja na...
Yaani wameshindwa kabisa kuficha udhaifu wao kiasi kwamba hata wale waliokuwa hawaamini kuwa hii kesi no ya mchongo, sasa watakuwa wameamini.
Tundu Lissu anaingia katika kundi la watu maarufu wa...
Wanabodi
Mimi mwanabodi mwenzenu,pamoja na mambo mengine yote,mimi pia ni Mkristo Mkatoliki, ila Ukatoliki wangu, ni wale Wakatoliki tulioendelea endelea, kwa Lugha ya Baba wa Taifa, Mwalimu...
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Aprili 21, 2026, wakati akifungua Kongamano la Kitaifa la Mamalishe na Babalishe, Rais Samia wafanyabiashara wadogo wa chakula, maarufu kama Mamalishe na...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Taifa). John Heche, ametoa kauli nzito leo Aprili 26, 2026, akidai kuwa ukombozi wa kweli wa maisha ya vijana nchini, ikiwemo uwezo wa kumiliki nyumba, magari na...
Hivi huyu Bibi kweli anaitakia Mema Tanzania? Ile ni meli ya kuzinduliwa na Rais? 🤣🤣🤣
Yaani Tanzania ndo tujivunie ile Meli? Hii awamu inatia aibu hadi wamekosa vya kuzindua
White Elephant...
Sikilizenikwenu-
Ningekuwa na akili timamu, ningewahurumia.
Lakini bahati nzuri nimetoka nje ya mduara wa akili zenu ndogo, sasa naona kile ambacho mlikipuuza kwa miaka 60 mkisema “Amani! Utulivu...
Wanabodi
Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo miongoni mwetu sisi wana JF, pale inapotokea serikali yetu imeshindwa jambo fulani, kwa wale wenzetu wenye uwezo, jee tuwajibike kuisaidia serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.