Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Mahakama Masjala Ndogo ya Dar es salaam April 30, 2026 imekataa ombi la Tundu Lissu la kuunganishwa katika shauri namba 8323/2025 lililofunguliwa na Said Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya...
0 Reactions
Replies
Views
Sote tunajua kuwa tume ya Chande ilijaa watu walioenda shule, lakini report waliyoitoa, ni aheri hata tungewatafuta wanakijiji wanaojua kusoma na kuandika, wanakijiji waadilifu, wafanye uchunguzi...
11 Reactions
25 Replies
417 Views
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu, Aboubakar Assenga amesema ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa wananchi, taasisi za serikali ni suala la kipaumbele katika ustawi wa nchi pamoja na ulinzi na...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angela Kairuki, amebainisha kuwa sekta ya mawasiliano nchini imeendelea kushuhudia ukuaji mkubwa na kuendelea kuchangia pato la Taifa. Waziri Kairuki...
0 Reactions
1 Replies
137 Views
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari yaomba yaomba Tsh Bilioni 222.5 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Mchanganuo Tsh bilioni 13.1 kwa matumizi ya...
0 Reactions
0 Replies
148 Views
Nilimsikia Rais Samia akisema ataunda tume ya maridhiano nchini ya kuwaleta watanzania pamoja kabla ya kuanza mchakato wa kuandika Katiba mpya. Nimewasikia chadema wakisema hawatahusika wala...
4 Reactions
34 Replies
786 Views
Hii Mimi sijawahi kuona kuweweseka kwa namna hii kwa viongozi wa serikali popote duniani kama wanavyoweweseka wa serikali haramu ya Samia Suluhu Hassan na CCM... Just see what has happened...
5 Reactions
9 Replies
322 Views
Yani inakuwa Leo mahakamani kesho hukumu (kifungo na fine kwa pamoja) hawa watukanaji mitandaoni wataisha wote nakwambia tunawalea sana. Kesi zikimbizwe watu wataacha tu, yani unatukana Leo...
0 Reactions
10 Replies
154 Views
Aliyejenga hapo Kijitonyama kota za usalama wa Taifa alilikosea sana Taifa maana hao walitakiwa kuishi mitaani na sisi, ingekuwa hivyo wasingeshindwa kupata TAARIFA kama kweli zilikuwepo za vijana...
3 Reactions
10 Replies
416 Views
Na Waandishi WETU SIKU saba zinaisha leo tangu kuwasilishwa kwa ripoti ya kuchunguza matukio mabaya yaliyoharibu taswira ya Tanzania yaliyosababisha watu zaidi ya 500 kuuawa, lakini hakuna...
1 Reactions
0 Replies
209 Views
CCM wakimsimamisha Emanuel na Lissu nafasi ya urais nitaondoka na Lissu sio Emma japokua mwana ccm mwenzangu nina sababu za msingi kama tatu. Emanuel ni mtu mwenye misimamo Ila ni mtu muoga...
4 Reactions
46 Replies
592 Views
https://youtu.be/DmMvTZn92Cs?si=Pdj11TtTgLHCmAPc Tazama na sikiliza hii mpaka mwisho. Ameanza kwa kunukuu maadiko haya toka katika Biblia - Neno la Mungu ambayo ni Habari Njema kwa Watu Wote...
1 Reactions
0 Replies
150 Views
Aliyàhalalisha na yakashika mizizi mpaka leo. Kwangu mimi hilo linatosha kumtupa kapuni! Kwanini? It is because it involves merciless killing of human life .na mengine yaliyofuata!
19 Reactions
133 Replies
2K Views
  • Redirect
Ripoti inasisitiza bila huruma kuwa hitimisho lake halikutokana na mawazo au tuhuma, bali ushahidi wa moja kwa moja kutoka kwa wale waliohusika. Metrics za ushiriki mkubwa zilimsaidia Tume...
0 Reactions
Replies
Views
Wajinga wakitamalaki ,Dunia inakua sehemu ya kichekesho. Hata hivo, HATUWEZI KAMWE KUSAMEHEE MAUAJI HAYA. Yeye amuombe Mungu msamaha, sisi hatusamehe, NA HILI LITAKUA JUU YAO NA VIZAZI VYAO HATA...
7 Reactions
6 Replies
316 Views
IGP mstaafu Said Mwema ameyasema hayo wakati tume ikitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali katika ripoti hiyo iliyowasilishwa Aprili 23, 2026
0 Reactions
33 Replies
1K Views
Inawezekanaje TCRA na JAB kuruhusu Diwani wa CCM Kata ya Kariakoo Haji Sunday Manara kufanya kazi za utangazaji wakati bado ni mwanasiasa active mwenye nafasi ya uongozi? Je, sheria inaruhusu...
10 Reactions
17 Replies
490 Views
Aliyekuwa mgombea nafasi ya Urais mwaka 2025 kupitia chama cha NLD, Doyo Hassan amewaasa Watanzania kuacha kuwatukana na kuwakejeli Wajumbe wa Tume ya Uchunguzi kwani kwanza ni wakubwa wa umri na...
0 Reactions
2 Replies
179 Views
Mjumbe wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, Balozi Radhia Msuya, ametoa ufafanuzi kuhusu idadi ya vifo iliyobainishwa katika ripoti ya tume hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari leo...
0 Reactions
8 Replies
228 Views
Wakuu, Angalia tofauti ya jumbe hizi jinsi Marekani ilivyowatakia heri nchi hizi halafu linganisha na kwetu, jua linakaribia kukucha bana! Serikali ya Sakia na genge lake haikubaliki kokote, ni...
5 Reactions
13 Replies
374 Views
Back
Top Bottom