Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, amewataka Watumishi wa Serikali kuheshimu ajira zao mara wanapozipata na kuacha kutafuta visingizio vya kuhamishwa kutoka maeneo yao ya kazi, hususan mikoani...
1 Reactions
5 Replies
224 Views
  • Redirect
Hutuba ya ripot zio jambo la kushangaza sana mshangao uko hapa 182+90+80+53=518 Niacheni nachabganyikiwa
1 Reactions
Replies
Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Jasusi Kama taifa lina vyombo vya intelligence kulinda mipaka, uchumi na taasisi zake, basi familia nayo lazima iwe na intelligence ya kulinda maadili, uchumi...
1 Reactions
5 Replies
204 Views
china wameamua kuweka soko lao wazi kwa nchi za kiafrika kuingiza bidhaa zao bila ya ushuru (zero tariffs) kuanzia sasa. Pamoja na kuwa bidhaa nyingi kutoka afrika ni mali ghafi. ikiwa ni pamoja...
0 Reactions
2 Replies
168 Views
Tukubali "ghasia" zilipangwa, kuratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa. Tukubali watu 518 tu ndio waliouwawa, 758 wamepotea na 448 hawajulikani walipo ( 518+758+448=1,724! Namba 8 imependwa sana na...
18 Reactions
43 Replies
1K Views
Nimemsikia msemaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa miongoni mwa agenda za kamati kuu wanayokutana ni pamoja na kujadili ripoti ya tume ya Jaji Mstaafu Chande, nimeshangaa sana...
3 Reactions
32 Replies
524 Views
Katika hotuba ya bajeti ya mwaka wa fedha 2024/25, Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba alieleza kuwa deni la taifa sasa limefikia shilingi trilioni 107.7. Kati ya kiasi hicho, deni la nje ni...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Sasshivi wanamiradi iko Tanga na wanaiuza kwa raia wa Zanzibar, nimekwenda kuuliza endapo wana miradi Zanzibar wameniambia ipo, baada ya kuonesha nia ya kununua wakaniambia siruhusiwi maana mimi...
3 Reactions
3 Replies
186 Views
Wanabodi, Mimi ni mmoja wa wanabodi, mara moja moja siku za Jumapili, nitakuwa nawaletea nyuzi za mambo ya powers. Mamlaka Kuu kabisa ulimwenguni ni Mungu, kwa majina tofauti tofauti, Mungu...
3 Reactions
15 Replies
415 Views
Mwenyekiti wa Chama cha ADC Hammad Rashid amesema kuwa Tume ya Uchunguzi imefanya kazi nzuri ya kuleta ripoti ambayo imeonesha wapi kama taifa lilikosea na namna gani ya kusonga mbele kwa sasa...
1 Reactions
8 Replies
273 Views
Ukweli utabaki kuwa ukweli na Uongo utabaki kuwa uongo. Tume ya Jaji Chande kwa kweli haijapokelewa vizuri na wananchi. Ripoti imekuja na maswali mengi kuliko majibu na mkutano wao wa jana tarehe...
11 Reactions
13 Replies
443 Views
Kuna hotuba moja ambayo Mwalimu Nyerere aliwahi kuitoa akasema mabadiliko ya siasa za dunia na usalama wake unamaanisha kuwa vita vya nchi kwa nchi hasa zile kubwa vitapungua sana hadi kuisha...
2 Reactions
3 Replies
269 Views
Wote tunajua kuwa kwa Chadema matusi ni sehemu ya Siasa zake. Lakini jueni kuwa ulimwengu wa sasa umehama kutoka kwenye siasa za matusi kwenda kwenye siasa za hoja. Hii tabia za kuwatukana...
-1 Reactions
17 Replies
345 Views
Gazeti la The Economist la Aprili 30, 2026 limechapisha makala yenye kichwa: "Is Samia Suluhu Hassan Africa's most disappointing president?" — yaani "Je, Samia Suluhu Hassan ndiye rais...
3 Reactions
8 Replies
422 Views
Nenda kwenye ofisi mbalimbali za umma. Watumishi wengi wanaiponda sana serikali hii iliyopo madarakani. Tofauti na kipindi alipokuwepo hayati JPM maana aliaimamia nidhamu na mabosi kama...
1 Reactions
12 Replies
243 Views
Kumbukumbu yaonyesha kwama yale maneno ya tume kama 1. Wanajiteka 2. Wanatekana sababu mapenz 3. Wameenda kutafuta maisha 4. Hakuna utekaji 5. Walilipwa kuandamana 6. Namengineyo Soma pia...
8 Reactions
6 Replies
256 Views
= Hiki ndicho alichoandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila kwenye Ukura wake wa X, amekumbusha kuwa, "Kwa kipindi cha miaka 62 mfululizo, Tanzania imekuwa...
5 Reactions
37 Replies
440 Views
Kuna mtu kakataliwa na Mungu aliyemuumba, Mungu anatumia umma kumwadhibu, Farao yule wa Misiri, alifanywa moyo wake kuwa mgumu ili aendelee na ushetani wake ili aje kujionea ukuu wa Mungu kwa...
0 Reactions
1 Replies
134 Views
Anonymous
Mimi ninaitwa Athumani, Ninaandika kueleza kero yangu kubwa na usumbufu ninaoupata kuhusiana na matumizi yasiyo sahihi ya taarifa zangu binafsi, hasa namba yangu ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA)...
1 Reactions
15 Replies
556 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…