CHADEMA na kujichanganya kwao kama watu wasiojielewa

CHADEMA na kujichanganya kwao kama watu wasiojielewa

PeterwaPerer

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2024
Posts
262
Reaction score
295
Nimemsikia msemaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa miongoni mwa agenda za kamati kuu wanayokutana ni pamoja na kujadili ripoti ya tume ya Jaji Mstaafu Chande, nimeshangaa sana kwa hoja zifuatazo

1. CDM mpaka leo hawatambui kama kuna uchaguzi ulifanyika Tanzania

2. CDM mpaka leo hawamtambui Mh Rais Samia Suluhu Hassan kama Rais halali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

3. Tangu awali waliikataa na kuinyima uhalali tume iliyoundwa na Rais ambae wao hawamtambui na kusema hawatashirikiana nayo kwa namna yoyote

Kwa mtazamo huo wanapata wapi legitimacy ya kuijadili ripoti ambayo wao wanaita TAKATAKA? Na kuipa muda kabisa kwenye kamati kuu, chombo kinachotakiwa kujadili mambo ya kwenda mbele lakini badala yake kinakwenda kujadili mambo hewa?

Watu wenye mambo ya kitoto toto namna hii wanaweza kuendesha nchi kweli?

Au bamna agenda za kukutana wala hamna timetable ya mambo yenu?

Au ni watu wa matukio na kiki?

Utoto mtupu
 
Hilo neno hapo mwishonii kabisa linaloanza na utoto mtu….,
Lilitakiwa kaaa pale mwanzo wa uzi


Ungekua umeongea ukweli
 
Kwa hiyo unataka kusema Oktoba 29, 2025 kulifanyika uchaguzi huru na wa haki! Na washindi wote walipatikana kihalali akiwemo yule aliyepata kura milioni 31+ (sawa na 97.66%) kati ya wapiga kura (hewa) milioni 32+ waliojitokeza siku hiyo!

Ulizisikia/ulizisoma ripoti za wachunguzi wa huo uchaguzi? Na hasa wale wachunguzi kutoka nje? Mtaendelea kutuletea maigizo yenu mpaka lini? Mnafikiri mnatawala misukule?
 
Swali. Kwani ukigoma kushiriki msiba wa mchawi, then ukawaona wachawi wenzie na marehemu wanakutuhumu wewe ndio mchawi, utawaacha tu wakutuhumu ili uonekane wewe ndo mchawi uliyeua huyo mchawi mwenzao?
 
CHADEMA imekosa dira kwa sasa. Kwa sasa wamejikita kuchangisha michango inayoishia kutafunwa na genge la Heche.
 
Kwa hiyo unataka kusema Oktoba 29, 2025 kulifanyika uchaguzi huru na wa haki! Na washindi wote walipatikana kihalali akiwemo yule aliyepata kura milioni 31+ (sawa na 97.66%) kati ya wapiga kura (hewa) milioni 32+ waliojitokeza siku hiyo!

Ulizisikia/ulizisoma ripoti za wachunguzi wa huo uchaguzi? Na hasa wale wachunguzi kutoka nje? Mtaendelea kutuletea maigizo yenu mpaka lini? Mnafikiri mnatawala misukule?

View: https://www.facebook.com/share/v/1EApZHsQ5h/
 
Kwa hiyo unataka kusema Oktoba 29, 2025 kulifanyika uchaguzi huru na wa haki! Na washindi wote walipatikana kihalali akiwemo yule aliyepata kura milioni 31+ (sawa na 97.66%) kati ya wapiga kura (hewa) milioni 32+ waliojitokeza siku hiyo!

Ulizisikia/ulizisoma ripoti za wachunguzi wa huo uchaguzi? Na hasa wale wachunguzi kutoka nje? Mtaendelea kutuletea maigizo yenu mpaka lini? Mnafikiri mnatawala misukule?
Hayo yite nayafahamu na kwa maoni yangu uchaguzi uliofanyika ulikuwa nibkwa mujibu wa katiba

Kwa namna gani au kiwango gani sio concern yangu, concern yangu ni CDM kujihusisha na jambo ambalo hawalitambui na kulifanya ni rasmi, hapo ndio natatizika na ukomavu wao
 
Swali. Kwani ukigoma kushiriki msiba wa mchawi, then ukawaona wachawi wenzie na marehemu wanakutuhumu wewe ndio mchawi, utawaacha tu wakutuhumu ili uonekane wewe ndo mchawi uliyeua huyo mchawi mwenzao?
Ndio uingie kwenye propaganda zao wakati wewe hazikusaidii chochote kwenye mbio zako za kushika dola?
 
Hayo yite nayafahamu na kwa maoni yangu uchaguzi uliofanyika ulikuwa nibkwa mujibu wa katiba

Kwa namna gani au kiwango gani sio concern yangu, concern yangu ni CDM kujihusisha na jambo ambalo hawalitambui na kulifanya ni rasmi, hapo ndio natatizika na ukomavu wao
kujadili jambo lolote lenye maslahi ya watanzania siyo kosa hata kama hulikubali. wanasema kubali kutokubaliana nayo ni hatua ya kizalendo
 
Kwa hiyo kama kinyesi kimemwagwa ndani kwako au takataka utaacha tu ubaki na harufu? Hivi vijana wa kisasa mnatumia akili sawasawa? Kwani chadema inaishi mwezini ifunge mdomo? Na wewe una legitimacy gani ya kupangia watu namna ya kufikiria na kuongea? Umekariri maisha?

Uchafu umewamwagwa ndani ya nchi na kila wananchi ana haki ya kusema lolote ikiwemo chadema, una haki ya kukubali au kusikiliza na kufuatilia au kumsikiliza Makonda, dunia ina mambo mengi tu ya kufanya
 
Nimemsikia msemaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa miongoni mwa agenda za kamati kuu wanayokutana ni pamoja na kujadili ripoti ya tume ya Jaji Mstaafu Chande, nimeshangaa sana kwa hoja zifuatazo

1. CDM mpaka leo hawatambui kama kuna uchaguzi ulifanyika Tanzania

2. CDM mpaka leo hawamtambui Mh Rais Samia Suluhu Hassan kama Rais halali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

3. Tangu awali waliikataa na kuinyima uhalali tume iliyoundwa na Rais ambae wao hawamtambui na kusema hawatashirikiana nayo kwa namna yoyote

Kwa mtazamo huo wanapata wapi legitimacy ya kuijadili ripoti ambayo wao wanaita TAKATAKA? Na kuipa muda kabisa kwenye kamati kuu, chombo kinachotakiwa kujadili mambo ya kwenda mbele lakini badala yake kinakwenda kujadili mambo hewa?

Watu wenye mambo ya kitoto toto namna hii wanaweza kuendesha nchi kweli?

Au bamna agenda za kukutana wala hamna timetable ya mambo yenu?

Au ni watu wa matukio na kiki?

Utoto mtupu
Huna akili
 
Kwa hiyo kama kinyesi kimemwagwa ndani kwako au takataka utaacha tu ubaki na harufu? Hivi vijana wa kisasa mnatumia akili sawasawa? Kwani chadema inaishi mwezini ifunge mdomo? Na wewe una legitimacy gani ya kupangia watu namna ya kufikiria na kuongea? Umekariri maisha?

Uchafu umewamwagwa ndani ya nchi na kila wananchi ana haki ya kusema lolote ikiwemo chadema, una haki ya kukubali au kusikiliza na kufuatilia au kumsikiliza Makonda, dunia ina mambo mengi tu ya kufanya
Sidhani kama umeelewa nilichoandika
 
Sidhani kama umeelewa nilichoandika

Kifupi umeandika ujinga tu, chadema kama watanzania wengine wana kila haki ya kuongelea uchafu wowote unaotokea ndani ya nchi yao, hamna mwenye hatimiliki ya kuzungumzia tume chafu hii na barua yao waliyomuandikia mamaduro akasome, period

So wasipoongelea unataka nani aongee? wasira? yani muue watu, muunde tume ya kisanii (toilet paper), mtengeneze barua badala na report mumpe mama yenu (in public) then mzuie na watu kuongea? Who are you?
 
Kifupi umeandika ujinga tu, chadema kama watanzania wengine wana kila haki ya kuongelea uchafu wowote unaotokea ndani ya nchi yao, hamna mwenye hatimiliki ya kuzungumzia tume chafu hii na barua yao waliyomuandikia mamaduro akasome, period

So wasipoongelea unataka nani aongee? wasira? yani muue watu, muunde tume ya kisanii (toilet paper), mtengeneze barua badala na report mumpe mama yenu (in public) then mzuie na watu kuongea? Who are you?
Lengo lao wapate nini? Ina mileage gani kisiasa kila mara kucheza ngoma sio yao?

Au wanafanya spinning kwa sababu ni miongoni mwa wahusika wakuu wa hizo vurugu na wamepenyezewa kuwa wametajwa hivyo wanawahi kujiliza liza kama kawaida yao siku zote


Au wewe ndio mshauri wao
 
Nimemsikia msemaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa miongoni mwa agenda za kamati kuu wanayokutana ni pamoja na kujadili ripoti ya tume ya Jaji Mstaafu Chande, nimeshangaa sana kwa hoja zifuatazo

1. CDM mpaka leo hawatambui kama kuna uchaguzi ulifanyika Tanzania

2. CDM mpaka leo hawamtambui Mh Rais Samia Suluhu Hassan kama Rais halali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

3. Tangu awali waliikataa na kuinyima uhalali tume iliyoundwa na Rais ambae wao hawamtambui na kusema hawatashirikiana nayo kwa namna yoyote

Kwa mtazamo huo wanapata wapi legitimacy ya kuijadili ripoti ambayo wao wanaita TAKATAKA? Na kuipa muda kabisa kwenye kamati kuu, chombo kinachotakiwa kujadili mambo ya kwenda mbele lakini badala yake kinakwenda kujadili mambo hewa?

Watu wenye mambo ya kitoto toto namna hii wanaweza kuendesha nchi kweli?

Au bamna agenda za kukutana wala hamna timetable ya mambo yenu?

Au ni watu wa matukio na kiki?

Utoto mtupu
Wewe ndio unajichanganya. Kuijadili hiyo report ndiyo kunawawezesha kuja na msimamo wa pamoja wa kuipinga.
 
Lengo lao wapate nini? Ina mileage gani kisiasa kila mara kucheza ngoma sio yao?

Au wanafanya spinning kwa sababu ni miongoni mwa wahusika wakuu wa hizo vurugu na wamepenyezewa kuwa wametajwa hivyo wanawahi kujiliza liza kama kawaida yao siku zote


Au wewe ndio mshauri wao

Kwa kuwa hujui na wala haikuhusu waachie tu, kuna mengi ya kufanya kijana! Kaimbe mapambio kwa mama yenu na majaji walioandika barua ya mama baaasi, utakuwa busy tu na watakulipa siku zitaenda!

Yani kutajwa tu ndo inakushughulisha? Wametajwa kwa mangapi na waliowataja wakaumbuka? Watajwe tu kwa kuwa mnajua bado kizazi cha mbumbumbu hiki, mtashaa! Barua yenu si imesema walilipwa watu na kuna vikundi vilifundishwa? Wananchi wamekataa hata mje na lipi hamna mjinga tena.

Kuna spinning inayofanywa na mtu mwingine zaidi ya baba chande? Chadema haihitaji mileage kupitia uchafu huu, ina nyenzo za kutosha
 
SAMIA KMA YULE ANATULETEA UGUMU HADI KUINGIA JF.

VILAZA WAKE MMEKAA HAPA KUMSIFIA MKNDU YULE.

PUMBAVU KABISA.
 
Back
Top Bottom