Hizi sura za hawa watu zinatia kinyaa sana hata kuziangalia tu!This is sView attachment 3581631ad....😪
Habari za kiuchunguzi ni kwamba,anavaa pampas.Chupi zinapwaya.Pampas oyeeee!Hapo ni lazima pupu imgonge mtu kwenye chupi take.
Na,italeta heshima kubwa sana.Bado kuna watu wanasubiri ICC?
Hii ni kazi tunayoimaliza wenyewe hapahapa nyumbani
Kuna faida muhimu sana za sisi wenyewe kumaliza matatizo yanayotokana na janga hili kuliko kutegemea hao wa huko nje..
Moja ya sababu hizo ni kuondokana na mfumo mbovu unaofanya kazi ndani ya CCM.
Kwamba huyu naye alikuwa jaji mkuu ni aibu kwa mhimili mzima wa Mahakama.This is sView attachment 3581631ad....😪
Kaka mkubwa Pascal Mayalla uwe unapitia kuchukua notes na huku mkuuKwamba huyu naye alikuwa jaji mkuu ni aibu kwa mhimili mzima wa Mahakama.
Huwa nashangaa wito unaotolewa mara kwa mara kuwa iundwe Tume ya Kijaji kuchunguza mauaji ya halaiki ya Samia ya Oktoba, 2025.
Kama majaji wenyewe ndiyo kama hawa Juma na Chande ni hakuna tija kabisa, labda waagizwe majaji wenye weledi kutoka Malawi, Kenya, nk.
Aibu kubwa mnoo!Hayo majina yao tunayatafutia namna yatumike kiaibuaibu kama "kihiyo"!Samahani lakini kwa makwazo.Kwamba huyu naye alikuwa jaji mkuu ni aibu kwa mhimili mzima wa Mahakama.
Huwa nashangaa wito unaotolewa mara kwa mara kuwa iundwe Tume ya Kijaji kuchunguza mauaji ya halaiki ya Samia ya Oktoba, 2025.
Kama majaji wenyewe ndiyo kama hawa Juma na Chande ni hakuna tija kabisa, labda waagizwe majaji wenye weledi kutoka Malawi, Kenya, nk.
Ni kweli tunatakiwa tumalizane wenyewe ndani kwa ndani lkn mmoja akizidiwa kuna wakati hutakiwa kuomba msaada kutoka nje.Bado kuna watu wanasubiri ICC?
Hii ni kazi tunayoimaliza wenyewe hapahapa nyumbani
Kuna faida muhimu sana za sisi wenyewe kumaliza matatizo yanayotokana na janga hili kuliko kutegemea hao wa huko nje..
Moja ya sababu hizo ni kuondokana na mfumo mbovu unaofanya kazi ndani ya CCM.
asanteKaka mkubwa Pascal Mayalla uwe unapitia kuchukua notes na huku mkuu
Huyu **** kweli 🙌😄 Gaza ndio Kuna idadi ya watu weusi wengi kiasi kile !?This is sView attachment 3581631ad....😪
This is sView attachment 3581631ad....😪
Unapokuwa unadili na KIKUNDI CHA KIGAIDI CHA KIDOLA.Bado kuna watu wanasubiri ICC?
Hii ni kazi tunayoimaliza wenyewe hapahapa nyumbani
Kuna faida muhimu sana za sisi wenyewe kumaliza matatizo yanayotokana na janga hili kuliko kutegemea hao wa huko nje..
Moja ya sababu hizo ni kuondokana na mfumo mbovu unaofanya kazi ndani ya CCM.