Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Aione Samia Aione Wambura Aione Mombo Aione Abdul ,Mafwele, Kizigha, na genge lao lote. KAMWE ,HAMNA SERIKALI CHINI YA JUA ITAKAYOYUMBISHA KANISA !!..
10 Reactions
19 Replies
957 Views
Nyerere akaondoshwa, Mkapa akaondoshwa, Magufuli akaondoshwa , Makamo Isidori akaponea chupuchupu, Sahizi kabakia Nchimbi ambaye kama Kanisa kwa kutumia Vyombo vyake, likishindwa kumlinda, naye...
0 Reactions
5 Replies
179 Views
Ama kweli Heri Nguo kuraruka kuliko Akili. Ujinga mnaoufanya dhidi ya Catholic,ni sawa Kuwaambia VATICAN wawe Serious na Tanzania. Unaposema VATICAN Kwa Uhuni wako ili uwachafue, ni kusema...
12 Reactions
63 Replies
1K Views
Wakati tukiendelea Kushuhudia Matukio ya Utekaji na Mauaji yanayoendelea nchini, Mimi binafsi nilitumia Akili yangu na kipawa KIKUBWA nilichojaaliwa cha kutizama mambo kwa UPANDE wa pili, na...
15 Reactions
20 Replies
810 Views
Jambo nalowahakikishia kama Mh Polepole , Balozi, alifika Nchini hawakujua, Kakaa miezi yote hiyo hawakujua, Utasema wana INTELIJENSIA??. Bisho Gwajima Kakaa Dar , muda wake wotee huo mpaka...
1 Reactions
3 Replies
254 Views
Chimbi kukutana na JK kuna mambo mengi ya kujifunza na kuweka akiba ya Maneno
1 Reactions
9 Replies
222 Views
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amewahakikishia Watanzania na viongozi wa kitaifa kuwa chama hicho kinasimama kidete nyuma ya Rais wa Jamhuri ya...
8 Reactions
41 Replies
528 Views
Leo TEC imekutana na Rais ikulu ya DODOMA Tunaomba mrejesho,? Naomba KUJUa Faza Kitima kama umemuuliza amili kesho mkuu mlinzi wa Raia na mali zao, walio taka kukuaau VYOMBO vyake vimefikia wapi?
1 Reactions
3 Replies
153 Views
Nakuombeni sana mlio karibu na Heche!!!! Britanicca
49 Reactions
159 Replies
6K Views
Na vipi kuhusu michango waliokusudia kuomba kuchangiwa na waTanzania. kuna mwenye updates yoyote kwamba wamefikia wapi mpaka sasa?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
1 Reactions
8 Replies
110 Views
Wanabodi, Kwanza sote tunalaani kwa dhati kabisa, kitendo alichofanyiwa Mhe. Tundu Lissu cha kumiminiwa risasi 38 na watu wasiojulikana, kati ya hizo risasi 16 zikampata!, kitendo ambacho...
28 Reactions
230 Replies
25K Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili...
26 Reactions
310 Replies
31K Views
  • Redirect
Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania kupitia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Ikulu Chamwino mkoani...
1 Reactions
Replies
Views
Mikopo yote tuliyokopa tumeshindwa kweli kumalizia kipande cha SGR mwanza Dar kweli? Tutakuza vipi uchumi kama miradi ya maendeleo inasuasua hivi?
5 Reactions
16 Replies
300 Views
Katiba ya Jamhuri ya Muungano ibara ya 20(1) inasema, “Kila mtu anao uhuru wa kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika, kushirikiana na watu wengine, na kwa ajili hiyo...
3 Reactions
26 Replies
438 Views
Mimi si Mchaga lakini nilibahatika kusoma na kuishi Moshi. Kumekuwa na maoni mengi humu kuwa ni haki pesa ya kodi iendeleze Chato kwakuwa kaskazini kulipendelewa awamu ya kwanza, kuna lami hadi...
72 Reactions
320 Replies
24K Views
Lissu bado anazidi kushikiliwa na kuburutwa mahakamani bila kosa ambalo litaweza kuthibitika.Siku thelathini walizotoa jumuia ya madola zinaisha leo.👇
2 Reactions
8 Replies
185 Views
Idadi ya usajili wa intaneti nchini Tanzania imepata ukuaji mkubwa na kufikia 62,793,986 kufikia mwezi Juni 2026. Ukuaji huo unadhihirisha kasi ya mabadiliko ya kidijitali na kuongezeka kwa...
0 Reactions
2 Replies
38 Views
Sasa hivi huwezi kutuma hela za Tonetone kupitia NMB. Ukituma hela haiendi. Ni mpango wa kukwamisha CHADEMA isifikie lengo la Milioni 334. Je, na Vodacom watagoma kutumia huduma yao?
15 Reactions
68 Replies
1K Views
Zanzibar inatunyonya sana jaribu kufikiria eti wabunge 10 wanawakilisha watu milioni 7 hadi 8 na wazanzibari wapatao 50 wako bunge la Dodoma kuwakilisha wazanzibari wapatao milioni 1. Hapa...
10 Reactions
23 Replies
280 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…