Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,635
Reaction score
58,276
Sidhani Kama ametuzidi akili watu wote milioni 70

Sidhani kama ni kweli sizani ni vile tunamchukulia poa hatumchukulii serious kulingana na haiba yake ya nje but kwa ndani anafanya mambo ya hatari.

Bado namsoma soma huyu jamaa kuelekea siku za mwisho mwisho za kiutawala toka mwaka 1985-2026.

Ingawa file lake ni zito ni zito mno mno.

Who si Kikwete je Kikwete ni nani tunaomba historia yake kwa mtu anayemjua vizuri kabla hajaondoka madarakani.
 
Jamaa amekua madarakani kama raisi wa JMT from 2005- 2015 halafu amerudi madarakani Tena 2021 - mpakaa sasa na Kuna Kila dalili akaaendelea mpaka 2040
 
Sidhani Kama ametuzidi akili watu wote milioni 70

Sidhani kama ni kweli sizani ni vile tunamchukulia poa hatumchukulii serious kulingana na haiba yake ya nje but kwa ndani anafanya mambo ya hatari.

Bado namsoma soma huyu jamaa kuelekea siku za mwisho mwisho za kiutawala toka mwaka 1985-2026.

Ingawa file lake ni zito ni zito mno mno.

Who si Kikwete je Kikwete ni nani tunaomba historia yake kwa mtu anayemjua vizuri kabla hajaondoka madarakani.
Ni Remote Control.

Sorry, umeuliza ni nani?
Ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa JMT.
 
Sidhani Kama ametuzidi akili watu wote milioni 70

Sidhani kama ni kweli sizani ni vile tunamchukulia poa hatumchukulii serious kulingana na haiba yake ya nje but kwa ndani anafanya mambo ya hatari.

Bado namsoma soma huyu jamaa kuelekea siku za mwisho mwisho za kiutawala toka mwaka 1985-2026.

Ingawa file lake ni zito ni zito mno mno.

Who si Kikwete je Kikwete ni nani tunaomba historia yake kwa mtu anayemjua vizuri kabla hajaondoka madarakani.
Ni mtanzania mzalendo aliyeiongoza Tanzania kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2005 hadi 2015.
Katika uongozi wake nchi ilishuhudia mapinduzi ya ukuaji wa demokrasia, uanzishaji wa viwanda vipya pamoja ukuaji mkubwa wa ajira kwa vijana wa kitanzania.
Hakika ni kiongozi ambaye watz wengi wanamkumbuka kama ambavyo atakumbukwa Dr Samia S Hassan.
 
Ni mtanzania mzalendo aliyeitwala Tanzania kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2005 hadi 2015.
Katika uongozi wake nchi ilishuhudia mapinduzi ya ukuaji wa demokrasia, uanzishaji wa viwanda vipya pamoja ukuaji mkubwa wa ajira kwa vijana wa kitanzania.
Hakika ni kiongozi ambaye watz wengi wanamkumbuka kama ambavyo atakumbukwa Dr Samia S Hassan.
Aliongoza hakutawala, hatuchagui mtawala bali kiongozi. Rekebisha hapo.
 
Ni mtu ambae amekaa kwenye system mda mrefu pia kua Rais wa Tanzania na
kutengeneza marafiki wengi kwenye system ambao wako loyal kwake nje ya nchi inakiwa huwe umejipanga kweli kweli nje ya nchi ana system na marafiki kweli kweli tunasema ulaya mpaka MUNGU mapenzi yatimie huyu amepita jeshini then akaja kua Rais na amekua waziri wa sekta zote nyeti na Pia ana ukwasi anaweza mnunua yoyote yule
 
Sidhani Kama ametuzidi akili watu wote milioni 70

Sidhani kama ni kweli sizani ni vile tunamchukulia poa hatumchukulii serious kulingana na haiba yake ya nje but kwa ndani anafanya mambo ya hatari.

Bado namsoma soma huyu jamaa kuelekea siku za mwisho mwisho za kiutawala toka mwaka 1985-2026.

Ingawa file lake ni zito ni zito mno mno.

Who si Kikwete je Kikwete ni nani tunaomba historia yake kwa mtu anayemjua vizuri kabla hajaondoka madarakani.
No jamaa mmoja mafia sana anaye kuua huku mnacheka pamoja
 
Back
Top Bottom