Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Friends and Our Enemies, Serikali kupitia wizara ya mambo ya nje imetuma ujumbe kwenda kwa kiongozi wa kanisa katoliki duniani. Ingawa hajifahamika zaidi undani wa mazungumzo katika ujumbe huo...
6 Reactions
121 Replies
2K Views
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya vurugu za Oktoba 29, mwaka jana, huku akidokeza amewahi kuishi nchini katika mikoa ya...
7 Reactions
44 Replies
1K Views
Tunaandika hukumu, wenye interest nazo wanazisoma, mahakimu wana hekima hawa, acha tu. Majaji mkiwaona muwaheshimu, halafu wengine wameanzisha tabia ya kuwatukana Majaji, mahakimu na nini, si...
4 Reactions
72 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche amesema hana tatizo binafsi na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Heche ameyasema hayo jijini Mwanza wakati...
1 Reactions
2 Replies
179 Views
Nilifurahi kuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya kuwa Kinara wa Dhana ya Urekebishaji wa Wafungwa Magerezani kutoka kwa...
0 Reactions
3 Replies
107 Views
Hivi ni nani Huwa anapanga vipaombele vya Serikali? Je haya magorofa ya serikali ambayo sehemu nyingi sana hayatumiki eg NSSF Moshi,Soko la Ndugai Dom,Machinga Complex Huwa yanajengwa Kwa faida...
2 Reactions
32 Replies
447 Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro, Esther Maleko amelipongeza Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa hatua ya kujitegemea na kujiendesha bila kutegemea ruzuku ya Serikali kwa asilimia 100...
1 Reactions
1 Replies
110 Views
  • Redirect
OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA IDHIBITIWE KABLA HAIJASABABISHA MAAFA KWA MARA YA PILI. Tumeshauri sana na tunaendelea kushauri Ofisi ya Msajili wa Vyama ndiyo chemichemi ya vurugu za...
1 Reactions
Replies
Views
Maandamano ya kesho hayatafanikiwa. Hii ni sababu watanzania wengi hawajawa desperate enough kufikia ile hali ya kuwa tayari ku risk maisha yao. Wengi hawajafikia hatua ya kutokuwa na cha kupoteza...
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Baada ya kusikiliza hotuba za Goodbles Lema na Boniface Jacob walizozitoa mkoani Arusha kwenye mkutano mmoja wa hadhara hivi karibuni, napata mashaka kama watawala wataweza vumillia spana...
17 Reactions
37 Replies
830 Views
Sasa tunamuona mtu wa porojo tu hana vitendo https://youtu.be/lyoVfSR3phI?si=IN5MIIeSdjM0qi3n
0 Reactions
6 Replies
248 Views
Kwa watanzania wa sasa hakuna watu wawili wanaheshimika kama Mzee Warioba na Lissu kwa uzalendo wao uliopitiliza kwa taifa. Cha kusikitisha waliopo madarakani hata awamu za nyuma wanafikiria...
10 Reactions
7 Replies
220 Views
Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown FM amesema uchaguzi wa mwaka 2025 ulionekana kuwa ni wa kati ya Jeshi la Polisi na vyama vya upinzani, akidai kuwa vyombo vya...
3 Reactions
6 Replies
187 Views
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Ludovick Utouh, amesema mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) umekuwa ukipingwa kimyakimya na baadhi ya watendaji...
1 Reactions
9 Replies
362 Views
Tayari chali! CCM imebaki sasa kutegemea vyombo tu hata kampeni hawawezi
10 Reactions
19 Replies
312 Views
Yawezekana mbeleni wale wanaojificha kuukwepa mkono wa sheria za mabavu ya Serikali iliyoko madarakani ndo baadae wakashika madaraka ! Yawezekana hapo baadae tunaowa abudu madarakani itatokea...
37 Reactions
45 Replies
2K Views
Ripoti ya Tume ya Jaji Chande ilitambua kuwa taasisi za kidini zilicheza jukumu muhimu na chanya wakati na baada ya ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Viongozi wa dini mbalimbali walilaani...
0 Reactions
0 Replies
120 Views
𝗗𝗸𝘁. 𝗠𝘄𝗶𝗴𝘂𝗹𝘂 𝗡𝗰𝗵𝗲𝗺𝗯𝗮: 𝗞𝗶𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗶 𝘄𝗮 𝗞𝗮𝘇𝗶, 𝗞𝗮𝘀𝗶 𝗻𝗮 𝗠𝘇𝗮𝗹𝗲𝗻𝗱𝗼 𝗮𝘀𝗶𝘆𝗲𝗰𝗵𝗼𝗸𝗮 Mussa Saidi-Dar es Salaam Katika kipindi cha siku chache tu, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba...
2 Reactions
8 Replies
172 Views
Unataka kuiingiza nchi kwenye moto. Nimesoma barua uliyowandikia Chadema, unataka kuleta machafukjitafakari!
5 Reactions
27 Replies
520 Views
Nauliza tu. Rwanda, Burundi, Tanzania, Uganda, Kenya, Zanzibar, Wote ni madikiteita, Nani katili kuliko wote
0 Reactions
6 Replies
156 Views
Back
Top Bottom