Ni muhimu sana kwa viongozi wa chadema kuacha viburi na kutii wito wa kisheria wa msajili bila shuruti.Unataka kuiingiza nchi kwenye moto. Nimesoma barua uliyowandikia Chadema, unataka kuleta machafukjitafakari!
Tuwekee hapa nasi tuitafakari tafadhali.Unataka kuiingiza nchi kwenye moto. Nimesoma barua uliyowandikia Chadema, unataka kuleta machafukjitafakari!
Wenye akili wanapoongea, nyie ng’ombe wa Mama fanyeni kunyamaza!Ni muhimu sana kwa viongozi wa chadema kuacha viburi na kutii wito wa kisheria wa msajili bila shuruti.
Halafu gentleman,
hakuna machafuko yatakayotokea nchini, huenda ukachafuka wewe mwenyewe tu 🐒
Ni afadhari tuingie kwenye mapigano tu . Wewe huwezi kusema CCM ikivunja sheria ni sawa tu lakini wengine hata hawavunji sheria unalazima eti wamevunja. Aisee machafuko yatokee tu. Hatuwezi kulazimishwa kuipenda na kuitumikia CCMUnataka kuiingiza nchi kwenye moto. Nimesoma barua uliyowandikia Chadema, unataka kuleta machafukjitafakari!
Nyinyi wajinga na wapumbafu wa Samia tulieni werevu na wenye akili timamu wakiongea,Nyinyi nendeni mkaimbe nyimbo za mapambio mkimsifu na kumuabudu mungu wenu SamuyaNi muhimu sana kwa viongozi wa chadema kuacha viburi na kutii wito wa kisheria wa msajili bila shuruti.
Halafu gentleman,
hakuna machafuko yatakayotokea nchini, huenda ukachafuka wewe mwenyewe tu 🐒
Mtaiondoa CCM ndotoni.Huyu ni miongoni mwa watakaojinyonga wenyewe baada ya ccm kuondolewa, ni Mjinga kuliko ujinga wenyewe
Wenye akili wanapoongea, ng'ombe wa mama fanyeni kutulia.Mtaiondoa CCM ndotoni.
Hicho chama kifutweCHADEMA mkileta ujinga mtafutwa na hakuna kitu mtafanya. Msidhani mnaweza kuitunishia serikali misuli mkachekewa.
Nyinyi ni swala la muda tu,Mark maneno yanguHicho chama kifutwe
yan mtu haelew anatetea ujinga bora kunyamaza tu !Nyinyi wajinga na wapumbafu wa Samia tulieni werevu na wenye akili timamu wakiongea,Nyinyi nendeni mkaimbe nyimbo za mapambio mkimsifu na kumuabudu mungu wenu Samuya
Nothing lasts longerMtaiondoa CCM ndotoni.
Naona wanatafute nchi isikalike,wajaribuWaambie mabasha yako yafute chadema halafu muone.
[emoji108][emoji817]Nothing lasts longer
Nyie hamna akili... CHADEMA imebaki na waropokaji. Na mtafutwa kimasikharaWenye akili wanapoongea, ng'ombe wa mama fanyeni kutulia.
Jifariji kwa kutukana hapa JF kwa sababu nje ya hapa JF huwezi thubutu kunitukana.Kwa fikra za machoko ya mama haiwezekani kuiondoa ccm lakini Kwa fikra za wenye akili muda mfupi umebaki.