PostGE2025 Shekh Ponda: Uchaguzi wa 2025 unaweza kusema ulikuwa baina ya polisi na vyama vya upinzani

PostGE2025 Shekh Ponda: Uchaguzi wa 2025 unaweza kusema ulikuwa baina ya polisi na vyama vya upinzani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,785
Reaction score
6,106
Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown FM amesema uchaguzi wa mwaka 2025 ulionekana kuwa ni wa kati ya Jeshi la Polisi na vyama vya upinzani, akidai kuwa vyombo vya dola vilijihusisha moja kwa moja na masuala mengi ya kisiasa.

Soma Pia: Sheikh Ponda: Tume ya Jaji Chande ilipaswa iseme mauaji ya Oktoba 29 yalikuwa halali au ya jinai

Amesema hali hiyo imefanya hata sasa vyombo vya usalama kuonekana vinaweza kuingilia masuala ya kisiasa moja kwa moja.

 
Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown FM amesema uchaguzi wa mwaka 2025 ulionekana kuwa ni wa kati ya Jeshi la Polisi na vyama vya upinzani, akidai kuwa vyombo vya dola vilijihusisha moja kwa moja na masuala mengi ya kisiasa.

Soma Pia: Sheikh Ponda: Tume ya Jaji Chande ilipaswa iseme mauaji ya Oktoba 29 yalikuwa halali au ya jinai

Amesema hali hiyo imefanya hata sasa vyombo vya usalama kuonekana vinaweza kuingilia masuala ya kisiasa moja kwa moja.

kwamba nae alikua ni mgombe ubunge right?

alidhani ni peremende ile sio, kwamba akikurupuka na kuibuka from no where anaweza kuupata, right? :pedroP:

Chaguzi huru, za haki na za wazi zitaendelea kufanyika Tanzania kwa mujibu wa katiba na sheria kama kawaida, hata kama kuna mtu tena alieshindwa vibaya uchaguzi huo, eti ajaribu kuleta porojo, uongo na uzushi wa namna gani kuhusu chaguzi za Tanzania, buti ukweli utabaki kua chaguzi za Tanzania zitaendelea kufanyika tu, hakuna wa kuzuia hilo ndugu zangu.

waambieni na wafuata mkumbo wengine kuhusu ukweli huu na ni vizuri kumpuuza huyo kafiri anae wapiga kamba na wengi msivyojitambua mnasifia uongo na kubebwa ufala wa kifikra na mtu aliepoteza uelekeo wa kisiasa na ambae hajawahi kushinda uchaguzi na hata wahi kushinda uchaguzi humu nchini kamwe.
 
Shekhe Ponda ni miongoni mwa viongozi wa dini wanaoheshimika, kwa sababu ni kiongozi aliyenyoka, na ndiye anayeifanya shura ya maimamu iheshimike na kuaminika, tofauti na ile taasisi inayoitwa BAKWATA iliyofanywa kuwa jumuia ya chama.
 
Shekhe Ponda ni miongoni mwa viongozi wa dini wanaoheshimika, kwa sababu ni kiongozi aliyenyoka, na ndiye anayeifanya shura ya maimamu iheshimike na kuaminika, tofauti na ile taasisi inayoitwa BAKWATA iliyofanywa kuwa jumuia ya chama.
acha uongo na upotoshaji kama kafiri ponda mwenyewe gentleman, plz
 
Back
Top Bottom