Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Zamani tulikua tunafundishwa majukumu ya ulinzi yalivyogawanyika. Kwa kumbukumbu zangu mgawanyo ulikuwa hivi: 1. Usalama walikua na jukumu la kukusanya kuchakata na kushare taarifa kwa jamii na...
13 Reactions
92 Replies
8K Views
Mimi Daddo mkazi wa Dar es salaam na mtumishi wa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania katika moja mashirika ya umma yaliyopo. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifatilia kwa karibu mwenendo...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Baba askofu Ruwaich wa Kanisa Katoliki jimbo la DSM anawaalika wananchi wote wenye mapenzi mema kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani tukizingatia ukomavu wetu, Upendo wetu na nidhamu ya hali ya juu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu wanajukwaa wasalaam, Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ninahakika unayesoma uzi huu unafahamu kwanini umeufungua ili uusome. Kwa muda wote ambao serikali ya awamu ya tano imekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mawakala wa CHAUMA bado wanasota ofisi ya DED ARUMERU. Siku ya kwanza waliambiwa fomu zimepotea. Baada ya muda kuongezwa sasa DED anadai mawakala wametoka wapi wakati chama hakina mgombea ubunge...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Mgombea urais kupitia Chadema, Tundu Lissu amewataka Watanzania kuchagua viongozi ambao hawatakwenda kwenye mabaraza ya madiwani na bungeni kusaka fedha. Lissu ambaye ni makamu mwenyekiti wa...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya watu humu JF wamekuwa wakihoji idadi ya wapiga kura kuwa milioni 29 mwaka huu na kueneza dhana potofu ya kuwepo kwa wapiga kura hewa. Si kweli hata kidogo. Idadi ya wapiga kura...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Nchi yetu ipo right below the microscope - hachomoki mtu mwaka huu haki ya nani
35 Reactions
113 Replies
11K Views
Napenda niwataarifu Watanzania kama bado unajiuliza kura yako ya Rais umpe nani basi Magufuli ni chaguo sahihi kabisa kwa kweli miaka hii mitano ametuongoza vzuri kimaendeleo zaid naamini hii...
0 Reactions
4 Replies
950 Views
Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye...
41 Reactions
165 Replies
17K Views
Habari wakuu, Awali ya yote nawahimiza watanzania kesho tujitokeze kwa wingi tukapige kura za kimbunga ata mwizi wa kura ashindwe namna ya kuiba. Tangu kampeni za urais zilipozinduliwa mpaka leo...
9 Reactions
29 Replies
3K Views
Kadri tunavyokaribia uchaguzi idadi ya wapiga debe wa CHADEMA mitandaoni inazidi kupungua siyo tu hapa JF bali hata huko facebook, twitter na sehemu zinginezo. Inaonekana wamepima upepo na kuona...
17 Reactions
52 Replies
6K Views
Ikiwa leo ni siku ya Maombi, Sala na Shukrani nchi nzima, Mgombea Urais anayesubiriwa kwa hamu kupigiwa kura na wananchi walio wengi ambapo anatarajiwa kushinda kwa zaidi ya 75%, anaendelea na...
21 Reactions
77 Replies
10K Views
Kufuatia kubandikwa kwa majina ya Wapiga kura kwenye Vituo vya kupigia kura, imebainika kuna Wapiga kura hewa(Ghost voters) na Vituo hewa vya kupigia Kura(Ghost Voters stations). Hii ni katika...
25 Reactions
91 Replies
9K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akiwa Nachingwea Mkoani Lindi amesema watakaoleta maendeleo ni Viongozi wa CCM. Amesema, "Tumeanza kuona watu wanakuja...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni maoni yangu kuelekea hitimisho la Kampeni leo 28/10/2020. Lengo kuu ni ili Wananchi wawasikie kwa lugha moja katika kuhitimisha na kesho wafanye maamuzi sahihi. Naamini leo hakuna pumba au...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salama wana JF? Awali ya yote tujipe pole na pongezi ya kuyashugulikia maisha kwasababu bila ya hivyo basi tambua mkono hauta enda kinywani. maada kuu pasipo ya kupoteza mda nadhani wote...
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Nadhani walibanwa mno, na ukiangalia uongozi wao utajua kwanini? Hata nyuso za watangazaji, ilikua unaona kabisa hawana raha kushindwa kutangaza taarifa za upinzani. Ilikua unaona kabisa nini...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Naamini kuwa Rais Magufuli anastahili kupewa nafasi nyingine ya kuliongoza Taifa letu kwa miaka mingine mitano. Hoja zinazotolewa bado hazijatosha kuwafanya Watanzania wengi kutokumuunga mkono...
14 Reactions
94 Replies
7K Views
Back
Top Bottom