Habari wakuu,
Awali ya yote nawahimiza watanzania kesho tujitokeze kwa wingi tukapige kura za kimbunga ata mwizi wa kura ashindwe namna ya kuiba.
Tangu kampeni za urais zilipozinduliwa mpaka leo hii siku ya mwisho wa kampeni za uchaguzi.
Ni muheshimiwa Tundu Lissu wa CHADEMA pekee aliyezunguka nchi nzima kupiga kampeni za kistaarabu, za kisasa ma kisayansi pia zilizojaa neema, ahadi, baraka na matumaini tele kwa Watanzania.
Hakika kampeni za Tundu Lissu zimefanikiwa, kila Mtanzania amefikiwa na Lissu kata kwa kata mkoa kwa mkoa.
Haitakuwa ajabu Tundu Lissu kuzoa kura zote za wananchi wa kusini, kanda ya ziwa na kwingineko nchi nzima.
Hakika kampeni za awamu hii zimefanikiwa na kesho Tundu Lissu anaenda kuibuka kidedea kwani washwahili walishasema utavuna ulichopanda!
Awali ya yote nawahimiza watanzania kesho tujitokeze kwa wingi tukapige kura za kimbunga ata mwizi wa kura ashindwe namna ya kuiba.
Tangu kampeni za urais zilipozinduliwa mpaka leo hii siku ya mwisho wa kampeni za uchaguzi.
Ni muheshimiwa Tundu Lissu wa CHADEMA pekee aliyezunguka nchi nzima kupiga kampeni za kistaarabu, za kisasa ma kisayansi pia zilizojaa neema, ahadi, baraka na matumaini tele kwa Watanzania.
Hakika kampeni za Tundu Lissu zimefanikiwa, kila Mtanzania amefikiwa na Lissu kata kwa kata mkoa kwa mkoa.
Haitakuwa ajabu Tundu Lissu kuzoa kura zote za wananchi wa kusini, kanda ya ziwa na kwingineko nchi nzima.
Hakika kampeni za awamu hii zimefanikiwa na kesho Tundu Lissu anaenda kuibuka kidedea kwani washwahili walishasema utavuna ulichopanda!