Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Kufuatia kubandikwa kwa majina ya Wapiga kura kwenye Vituo vya kupigia kura, imebainika kuna Wapiga kura hewa(Ghost voters) na Vituo hewa vya kupigia Kura(Ghost Voters stations). Hii ni katika mbinu za kufanikisha Ushindi wa Chama TAWALA CCM.
CHADEMA hima waanze kukusanya orodha ya majina ya Wapiga kura hewa na Vituo hewa vya kupigia kura with vivid evidences.
Wakti huohuo wamtake Mkurugenzi na Mwenyekiti wa NEC wajitokeze na kukanusha habari hizi with vivid evidences.
Lakini pia CHADEMA wakishirikiana na vyama vingine pinzani waitake Tume iweke hadharani mfumo itakao utumia kujumulisha matokeo ya kura nchi nzima. Mara nyingi hii mifumo Kuna ujanja wa kuweka formula/KANUNI inayokuwa na multiplier or devider effect.
Kwamba kila kura 1 inayoingia kwa Mgombea A inakuwa X4(Kuongeza Kura)na kila kura inayoingia kwa Mgombea B inagawanywa kwa 2 au 4 n.k. (Kupunguza idadi ya Kura)!
Shime CHADEMA WAKATI NI HUU!
CHADEMA hima waanze kukusanya orodha ya majina ya Wapiga kura hewa na Vituo hewa vya kupigia kura with vivid evidences.
Wakti huohuo wamtake Mkurugenzi na Mwenyekiti wa NEC wajitokeze na kukanusha habari hizi with vivid evidences.
Lakini pia CHADEMA wakishirikiana na vyama vingine pinzani waitake Tume iweke hadharani mfumo itakao utumia kujumulisha matokeo ya kura nchi nzima. Mara nyingi hii mifumo Kuna ujanja wa kuweka formula/KANUNI inayokuwa na multiplier or devider effect.
Kwamba kila kura 1 inayoingia kwa Mgombea A inakuwa X4(Kuongeza Kura)na kila kura inayoingia kwa Mgombea B inagawanywa kwa 2 au 4 n.k. (Kupunguza idadi ya Kura)!
Shime CHADEMA WAKATI NI HUU!