Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,497
- 9,278
Hakuna. Anayeenda kupiga kura anaenda kwa gharama zake binafsi. Hapo cha msingi ni ruhusaVipi kutakuwa na "kiposho" cha safari?
Let's meet at the top, cheers 🍻
Hakuna. Anayeenda kupiga kura anaenda kwa gharama zake binafsi. Hapo cha msingi ni ruhusa
Walimu tokeni vijijini huko tukamnyooshe mtu huyuu...dhalimu
Sisi walimu tunaenda na Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
CCM imebanwa vibaya hahah hahah hahhWalimu tumedhulumiwa miaka 5! Tuna jambo letu kesho
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mwalimu wewe.Sisi walimu tunaenda na Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Walimu tumedhulumiwa miaka 5! Tuna jambo letu kesho
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
.Huyu anayesemwa ni mtetezi no moja wa mashoga au siyo???
Hahahaaa,
Wewe nawe ni mwalimu! Labda utakua ni mwalimu wa wale madansa wa FM Academia.Sisi walimu tunaenda na Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
CreepySisi walimu tunaenda na Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu