Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama kichwa Cha habari kinavyosema,...ntawashangaa Sana wafanyakazi watakaowapigia kura hawa viongozi wanaoendelea kuwakandamiza kwa kupigia debe ulipaji kwa njia ya kikotoo ambAcho Ni kandamizi...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwenye nchi ya watu makini, haiwezi kuruhusu kuwa na aina ya sipika kama huyu! Sipika asiye na uchungu wa mali za nchi na kodi zetu??? Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa...
22 Reactions
90 Replies
5K Views
Katika wimbo wake mpya, Mwanamuziki Roma Mkatoliki amekilinganisha Chama Cha Mapinduzi na Maandazi na kudai ikiwa atatakiwa kuchagua, atachagua Maandazi badala ya CCM. Siyo lengo kumjadili Roma...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
"Ni aibu mbunge anaposimama bungeni na kushangaa..eti ni kwa nini hakuna hata waziri wetu mmoja anayemiliki hata ndege moja nchini?" Je, kwa pato lipi kama sio kuusifia wizi,ufisafi na ubadhirifu...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Sasa tunao walamba asali, walamba shubiri, walala hoi na pia mafisadi papa na machawa wao! Mnajitoa akili sababu ya shibe haramu, mnasifia mlipostahili kukemea! Wabunge mmegeuka "wabonge". Mbunge...
41 Reactions
134 Replies
8K Views
Nadhani kuna ukimya umetawala Kwa Sababu Tu wanaoongoza nchi wote wanatoka sehemu moja. Nafurahi kuona upo ufanisi na mabadiliko makubwa yaliyofanywa na Marais wawili waliopo. Changamoto...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Sijawahi kupiga ramli wala si mtabiri ila kwa yanayoendelea nchini na kwa manung'uniko ya wananchi kila mahala ,si ajabu hiki chama kiko mbioni kuvifuata vyama vyenzake vya ukombozi huko mahala...
16 Reactions
81 Replies
4K Views
Mtu anayetenda Wizi au Ubadhirifu hiyo ni Jinai na Wanaohusika nao ni DCI, DPP na Takukuru Bungeni yanafanyika maamuzi ya kisiasa na kisera, swala la nani ashtakiwe kwa mujibu wa sheria ni la...
0 Reactions
3 Replies
432 Views
Leo nimesoma habari ya Uteuzi wa Naibu Gavana Dk. Natu, najua alikua kwy bodi ya BOT kwa kipindi kirefu na ni mwadhiri katika Chuo chetu kikuu, but akiwa kama mjumbe wa bodi ya BOT kwa kipindi...
3 Reactions
151 Replies
32K Views
Ndugu zangu Rais Samia anahangaika huku na kule kutafuta fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo, anahangaika kila mahali kutafuta wawekezaji , anashindwa kupata hata...
7 Reactions
91 Replies
4K Views
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa na Balozi wa Ujerumani nchini, Regine Hess, wameshuhudia kusainiwa kwa Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Bilioni 15 (Euro milioni 6), Kusaidia...
0 Reactions
0 Replies
448 Views
RAIS SAMIA NI KIONGOZI WA VITENDO Na.Amon Nguma Tumetimiza miaka miwili kwa mafanikio makubwa na sasa tumeingia mwaka wa tatu kwa kishindo kikubwa zaidi chini ya Uongozi wa Mama Mhe. Rais. Dkt...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii ndio Hali inayoendelea Kwa Sasa ,Mwenye shibe hamjui mwenye njaa. Nchi Ina Vipaombele vya hovyo sana hii. --- Waziri wa TAMISEMi, Angellah Jasmine Kairuki amewasilisha Bungeni Makadirio ya...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Akiwa ziarani hata sitaki kujua ni wapi makamu wa rais alitoa tamko na kuomba msmaha kwa watu kukasimamishwa barabarani kupisha msafara wake upite. Hili kwa maoni yangu hata kama halikumfurahisha...
6 Reactions
88 Replies
7K Views
Tumeshuhudia kanisa la mfalme Zumaridi, Word of Reconciliation Ministries (WRM) la anayejiita Nabii Suguye na Spirit Word Ministry la Ceasar Masisi yakifungiwa kwa sababu mbalimbali ambazo hasa...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Hivi huyu kijana mwenzetu ana usafi gani hata achafuliwe binafsi na kwa wafuatiliaji wenzangu wa siasa ndani ya ccm watatambua ridhiwani kikwete hana usafi wowote hata kuwa katika nafasi ya...
0 Reactions
70 Replies
12K Views
Ni vizuri kama hao watu wangepatana, kwa sababu they are on the same side. Inaoŋyesha kwamba makachero wanagombana wenyewe kwa wenyewe. Mimi napinga hili ambalo naliona kama jaribio la kuwatisha...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
Nimejiuliza sana tena sana, kwanini tunadanganyagwa na wanasiasa tusiowapenda kwa kupewa vijizawadi visivyo na tija maishani? Wanasiasa hao huja na vijizawadi vya kipuuzi kama vile chumvi ya...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
HOTUBA YA WAZIRI KIVULI WA UTUMISHI WA UMMA, UTAWALA BORA NA MUUNGANO-ACT WAZALENDO NDG. PAVU ABDALLAH JUMA KUHUSU MPANGO WA BAJETI WA OFISI YA RAIS- MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA...
0 Reactions
3 Replies
850 Views
Katika kusikiliza kipindi cha kuchangia mada ya kuhusiana na swala la ardhi ya Loliondo kupitia BBC leo Tarehe 10/04/2013 saa 7:15 jioni idhaa ya Kiswahili balozi waziri Kagasheki ameapa na kudai...
0 Reactions
146 Replies
13K Views
Back
Top Bottom