Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati wa Mkapa Kanali Nsa Kaisi na mzee Kingunge walikuwa Washauri upande wa Uchumi na Siasa Awamu ya Shujaa Magufuli sijawahi kusikia kama ana Washauri ama wa Uchumi au hata Siasa Naomba...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kimsingi Law School of Tanzania inapaswa kushughulika na kuwawezesha wanafunzi kupata ujuzi kwa vitendo ndiyo maana inaitwa LEGAL PRACTICAL TRAINING! Inalenga kuwapatia wanafunzi weledi katika...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kijana huyu kabadilika sana, baada ya kupata Madaraka, amelewa na Madaraka. Yaani kijana huyu kila mtu anamuongea kuwa hasalimii watu na hata wanapomsalimia haitikii. Kijana badilika, acha...
11 Reactions
47 Replies
6K Views
Eid Mubarak. Mara kadhaa nimewahi kusikia kuhusu uhusiano wa CCM n BAKWATA. Hili suala lina ukweli gani? Na kama lina ukweli nani anafaidika na uhusiano huo? Lakini pia inakuwaje mara kadhaa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu zangu watanzania. Ulimi Ni kiungo kidogo Sana katika mwili wa binadamu lakini chenye madhara makubwa Sana kikitumiwa vibaya,Katika uongozi na kwa kiongozi hasa kwa nafasi ya Urais ulimi Ni...
4 Reactions
58 Replies
2K Views
Mbunge wa Ngara ameiomba serikali kuanzisha mtaala mpya wa Utajiri mashuleni ili kuwezesha Wahitimu kuwa na ari ya uwekezaji wanapomaliza masomo yao , amesema jambo hilo ni muhimu likafanyika ili...
6 Reactions
47 Replies
4K Views
Balozi Dk slaa amerudi kibabe tena kibabe akiwa na kiapo cha ubalozi moyoni mwake ameona aje kuwatetea wananchi wa Tanzania licha ya kiapo. Dk slaa ana kiapo cha utii ila ameamua kusema ukweli...
7 Reactions
56 Replies
3K Views
Hatari sana habari imesomwa kutoka UHAI Tv. Inasikitisha hawa ndugu zetu 80 kutolewa kafara baada ya mfungo. Wamekufa wakikanyagana kugombea misaada ya Eid.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, anawatakia Kheri ya sikukuu ya Eid al Fitr Waislamu wote, na kuwakumbusha kuendeleza misingi waliyoiishi katika siku 30 za mwezi mtukufu wa Ramadhani, kwa kutenda...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kimeendelea kunuka Kenya. Hakuna anayekioanisha na ukabila isipokuwa kutokea Tanzania. Leo Raila alikuwa kapigwa kalamu kufanya vitu vyake Murang'a Ukikuyuni huko. Unamsimamisha vipi Tutu...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwanza nitoe pole kwa polisi Tanzania kwa kifo cha shemeji yao NURYA MKONDA (18) aliyefariki na mwanao Joas Oscar (2) kwa ajali ya moto wilayani kiteto mkoani manyara,Mungu wahifadhi waliko...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama mpaka leo hamjajifunza, basi wadanganyika mna laana. Mamba haya hayana tofauti na yale ya kuchota hela kwenye mifuko ya sandarusi na kelele zilipozidi, mkaambiwa na Mamlaka ya juu kuwa zile...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Mishahara ya watumishi ni midogo saaana kuliko huduma/jasho wanayoitoa kipindi chote Cha ujana yao. Mishahara ya watumishi haiwatoshi kuishi, kuSomesha, na kujenga nyumba. Kima Cha chini cha...
15 Reactions
44 Replies
4K Views
Ukiangalia Bungeni Live kwa sasa! Utakachokiona ni mashindano ya wabunge wa CCM kusifia na kupongezana! Utakachokiona ni picha ya Unafiki uliopitiliza kwa asilimia kubwa ndani ya jengo la bunge...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Katika hili bunge la bajeti linaloendelea sasa hivi, pamoja na kwamba limekosa mvuto kutoka kwa jamii ya watanzania, kuna mambo matatu nimeyagundua. Kwanza, huu utaratibu wa kuondoa shilingi...
3 Reactions
41 Replies
11K Views
Kwamba Mheshimiwa Rais anapongezwa kwa kuifungua Demokrasia nchini. Lakini maandamano ya kupinga Ufisadi, Ubadhirifu na hujuma zilizotajwa na CAG yakipigwa marufuku? Kwamba Serikali inayopinga...
1 Reactions
7 Replies
786 Views
Ukiachana na uelewa, kitu kikubwa kinachotutesa Tanzania ni "utengano wa ujumla", watanzania hatuna common ground ambayo itatufanya tu "think and feel" pain or pleasure at the same moment in...
4 Reactions
8 Replies
885 Views
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameishukuru Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia Jimbo lake la Muhambwe gari kwa ajili ya usimamizi...
0 Reactions
1 Replies
747 Views
Spika anakataliwa kila kona kisa kugomea report ya CAG kujadiliwa katika vikao vya bajeti vinavyoendelea sasa na kusema watajadili mwezi November leo asubuhi amebadili gia angani na kurejesha...
7 Reactions
109 Replies
8K Views
Kuna mazingira wananchi wametengenezewa na CCM kuwalazimu wao kusifia tu kusifia tu hata kama yeye na ukoo wao wote ni masikini wa kutupwa na hawana mbele wala nyuma CCM, yenyewe imejitengenezea...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom