Je polisi Oscar Joash ashtakiwe kwa ubakaji?

Je polisi Oscar Joash ashtakiwe kwa ubakaji?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
12,018
Reaction score
28,395
Kwanza nitoe pole kwa polisi Tanzania kwa kifo cha shemeji yao NURYA MKONDA (18) aliyefariki na mwanao Joas Oscar (2) kwa ajali ya moto wilayani kiteto mkoani manyara,Mungu wahifadhi waliko jiandalia,

Marehemu Nurya Mkonda alikuwa na miaka 18 wakati umautu unamkuta huku tayari akiwa na mtoto wa miaka 2 ikiwa na maana kuwa aliolewa akiwa na chini ya miaka 18 ikiwa na maana alikuwa anabakwa katika maisha yake yote ya ndoa kulingana na sheria zetu za ndoa na mahusiano ambazo askari Osca Joash aliapa kuzilinda .

Hii inawezekana kuwa hata wakati wa mahusiano kuwa marehemu umri wake ungeweza kuanzia chini ya hiyo miaka 16 ya mimba na ndoa ya chini ya umri wa kiserikali wa miaka 18 umri ambao huyo mtoto alipaswa kuwa shule,chuo hasa vyuo vya kati kulingana na sera ya taifa ,

Huu ulikuwa ubakaji uliofanywa na mtu aliyepaswa kusimamia sheria, kuwalinda watoto dhidi ya unyanyasaji wa kingono ,kama polisi ndio watakuwa wanabaka je raia wafanye nini?

Polisi mje na majibu ya maswali haya

USSR
 
Sheria za Tanzania za watoto zinawahusu hasa wanaosoma.

Kama hasomi hata miaka 12 anaolewa bila shida. Hapo ndio kuna mapungufu makubwa ya sheria.

Sheria ilipaswa kutamka wazi kwamba mtu mzima wa miaka 18 na kuendelea hapaswi kua na mahusiano ya aina yoyote na mtoto ama mtu ambae hajafikisha miaka 18.

Kwa sheria za Tanzania zinamlinda tu mwanafunzi, asie mwanafunzi hazimhusu.

Hata kama ni mimi, binti amerembuka, yuko kwao ana miaka 16 na hasomi kisheria ni halali yangu.
 
Kashaondokewa na wapendwa wake! Mke na mtoto tena kwa ajali ya moto.. Haya si mapito madogo hata kidogo.. Itakuwa ni roho ya kishetani kabisa kumuongezea mashaka mengine! ASAMEHEWE apewe faraja...
Uandika kidini/kiimani sana ila sheria huwa haina hilo kabisa mzee mwenzangu

USSR
 
Sheria za Tanzania za watoto zinawahusu hasa wanaosoma.

Kama hasomi hata miaka 12 anaolewa bila shida. Hapo ndio kuna mapungufu makubwa ya sheria.

Sheria ilipaswa kutamka wazi kwamba mtu mzima wa miaka 18 na kuendelea hapaswi kua na mahusiano ya aina yoyote na mtoto ama mtu ambae hajafikisha miaka 18.

Kwa sheria za Tanzania zinamlinda tu mwanafunzi, asie mwanafunzi hazimhusu.

Hata kama ni mimi, binti amerembuka, yuko kwao ana miaka 16 na hasomi kisheria ni halali yangu.
Bush lawyer in indeed

USSR
 
Hapo mwanzo umekosea kuandika,sheria ya ndoa ina ruhusu kuolewa katika umri huo ila sheria ya mtoto ndo ni kosa kisheria
 
Sheria ya tanzania haijafanyiwa marekebisha mtoto anaweza kuolewa akiwa na miaka 25 kwa ridhaa ya wazazi. Ila kuna sheria ingine hairuhusu kufanya mapenzi na mtoto chini ya miaka 18
 
Mlalamikaji alipaswa kuwa huyo unayedai alikuwa anabakwa, lkn yeye hakuona shida yoyote. Wazazi/walezi wake hawakuona shida yoyote.

Sheria ya ndoa imeruhusu mtoto wa miaka 15 kuolewa endapo wazazi wake watakubali. Sasa wewe mwanaharakati unapata wapi "locus" ya kuibua shutuma na tuhuma hizi?
 
Kwanza nitoe pole kwa polisi Tanzania kwa kifo cha shemeji yao NURYA MKONDA (18) aliyefariki na mwanao Joas Oscar (2) kwa ajali ya moto wilayani kiteto mkoani manyara,Mungu wahifadhi waliko jiandalia,

Marehemu Nurya Mkonda alikuwa na miaka 18 wakati umautu unamkuta huku tayari akiwa na mtoto wa miaka 2 ikiwa na maana kuwa aliolewa akiwa na chini ya miaka 18 ikiwa na maana alikuwa anabakwa katika maisha yake yote ya ndoa kulingana na sheria zetu za ndoa na mahusiano ambazo askari Osca Joash aliapa kuzilinda .

Hii inawezekana kuwa hata wakati wa mahusiano kuwa marehemu umri wake ungeweza kuanzia chini ya hiyo miaka 16 ya mimba na ndoa ya chini ya umri wa kiserikali wa miaka 18 umri ambao huyo mtoto alipaswa kuwa shule,chuo hasa vyuo vya kati kulingana na sera ya taifa ,

Huu ulikuwa ubakaji uliofanywa na mtu aliyepaswa kusimamia sheria, kuwalinda watoto dhidi ya unyanyasaji wa kingono ,kama polisi ndio watakuwa wanabaka je raia wafanye nini?

Polisi mje na majibu ya maswali haya

USSR
Sheria ya ndoa Tanzania inaruhusu mwanamke kuolewa akiwa na miaka 14

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nitoe pole kwa polisi Tanzania kwa kifo cha shemeji yao NURYA MKONDA (18) aliyefariki na mwanao Joas Oscar (2) kwa ajali ya moto wilayani kiteto mkoani manyara,Mungu wahifadhi waliko jiandalia,

Marehemu Nurya Mkonda alikuwa na miaka 18 wakati umautu unamkuta huku tayari akiwa na mtoto wa miaka 2 ikiwa na maana kuwa aliolewa akiwa na chini ya miaka 18 ikiwa na maana alikuwa anabakwa katika maisha yake yote ya ndoa kulingana na sheria zetu za ndoa na mahusiano ambazo askari Osca Joash aliapa kuzilinda .

Hii inawezekana kuwa hata wakati wa mahusiano kuwa marehemu umri wake ungeweza kuanzia chini ya hiyo miaka 16 ya mimba na ndoa ya chini ya umri wa kiserikali wa miaka 18 umri ambao huyo mtoto alipaswa kuwa shule,chuo hasa vyuo vya kati kulingana na sera ya taifa ,

Huu ulikuwa ubakaji uliofanywa na mtu aliyepaswa kusimamia sheria, kuwalinda watoto dhidi ya unyanyasaji wa kingono ,kama polisi ndio watakuwa wanabaka je raia wafanye nini?

Polisi mje na majibu ya maswali haya

USSR
Kwa mara ya kwanza umeandika kitu chenye maana.
Kongole sana.

Kiukweli TanPol ndio wavunja sheria wa kwanza ndani ya hii nchi.

Nani wa kumfunga paka kengele!!??
 
Back
Top Bottom