Ni kama vile Wabunge wameleweshwa na Pesa za mgao Bungeni, Wamewasahau wapiga kura wao!

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,467
11,603
Ukiangalia Bungeni Live kwa sasa!

Utakachokiona ni mashindano ya wabunge wa CCM kusifia na kupongezana!

Utakachokiona ni picha ya Unafiki uliopitiliza kwa asilimia kubwa ndani ya jengo la bunge letu tukufu!

Wabunge wameleweshwa na pesa za mgao,ambazo zinagawiwa kwao,na kuishia kufujwa na watendaji wasio waadilifu nchini.

Ni kama vile wabunge wamelewa pesa za mheshimiwa Rais na kuwasahau wananchi wao na madhila wanayokutana nayo huko mitaani kwa sasa!

Kila mbunge anatumia muda mwingi kusifia,kupongeza na kisha kudhukuru kwa mgao alioupata jimboni kwake!

Maana yake ni nini?:

Ni kwamba,wanachokijali na kukipa umuhimu kwa sasa,ni wao kupata mgao na walau kujenga au kukamilisha mradi mmojawapo jimboni.

Jambo ambalo wanaamini wabunge wengi huko bungeni, kwamba,watalitumia kama mtaji kisiasa na kuweza kutetea nafasi zao kwenye uchaguxi mkuu 2025.

Lakini wanachokisahau ni kwamba,wananchi wanapitia wakati mgumu sana huko mitaani!
Na wanajaa hasira kupitiliza,pale wanapowaona wabunge wao,ambao ndio waliostahili kuwasemea,wamebadilika na kuwa wasakatonge na wasaka uteuzi huko bungeni.

Wameuguza ukumbi wa bunge,kama sehemu ya kumsalimia rais,na kushindana kumsifia wakitarajia kukumbukwa nae,pale ambapo kuna fursa ya uteuzi itakapojitokeza!

Wabunge wetu,ukiwasikiliza wanachokiongea bungeni,na ukaulinganisha uhalisia uliopo mitaani kote nchini,unaeza ukadhani hso wabunge ni wageni waikwa ndani ya mjengo wa bunge.

Wabunge wetu....wanacheka pale walipostahili kulia!
Na...Wanalia pale walipstahili kucheka!
Ni kama vile wako "Upside-down"...
Ni nini kimewakumba wabunge wetu jamani?

Mimi nimepita tu!

Ijumaa Kareem!..

Kesho ndio Eid na sio leo(Kwa mujibu na maelekezo ya mufti).
 
Umeanza kuliona leo? Hawa ni wabunge ambao hawajuchaguliwa na wananchi bali waliingia kwa utashi binafsi wa yule dikteta. Maana hata wale mmoja mmoja ndani ya CCM ambao hakuwataka aliwachomoa nakuweka mizigo yake.
Ndugu yako mwendazake ametuharibia nchi na itachukua miaka kadhaa kuondoa ujinga wake alio uingeji.
 
Ukiangalia Bungeni Live kwa sasa!

Utakachokiona ni mashindano ya wabunge wa CCM kusifia na kupongezana!

Utakachokiona ni picha ya Unafiki uliopitiliza kwa asilimia kubwa ndani ya jengo la bunge letu tukufu!

Wabunge wameleweshwa na pesa za mgao,ambazo zinagawiwa kwao,na kuishia kufujwa na watendaji wasio waadilifu nchini.

Ni kama vile wabunge wamelewa pesa za mheshimiwa Rais na kuwasahau wananchi wao na madhila wanayokutana nayo huko mitaani kwa sasa!

Kila mbunge anatumia muda mwingi kusifia,kupongeza na kisha kudhukuru kwa mgao alioupata jimboni kwake!

Maana yake ni nini?:

Ni kwamba,wanachokijali na kukipa umuhimu kwa sasa,ni wao kupata mgao na walau kujenga au kukamilisha mradi mmojawapo jimboni.

Jambo ambalo wanaamini wabunge wengi huko bungeni, kwamba,watalitumia kama mtaji kisiasa na kuweza kutetea nafasi zao kwenye uchaguxi mkuu 2025.

Lakini wanachokisahau ni kwamba,wananchi wanapitia wakati mgumu sana huko mitaani!
Na wanajaa hasira kupitiliza,pale wanapowaona wabunge wao,ambao ndio waliostahili kuwasemea,wamebadilika na kuwa wasakatonge na wasaka uteuzi huko bungeni.

Wameuguza ukumbi wa bunge,kama sehemu ya kumsalimia rais,na kushindana kumsifia wakitarajia kukumbukwa nae,pale ambapo kuna fursa ya uteuzi itakapojitokeza!

Wabunge wetu,ukiwasikiliza wanachokiongea bungeni,na ukaulinganisha uhalisia uliopo mitaani kote nchini,unaeza ukadhani hso wabunge ni wageni waikwa ndani ya mjengo wa bunge.

Wabunge wetu....wanacheka pale walipostahili kulia!
Na...Wanalia pale walipstahili kucheka!
Ni kama vile wako "Upside-down"...
Ni nini kimewakumba wabunge wetu jamani?

Mimi nimepita tu!

Ijumaa Kareem!..

Kesho ndio Eid na sio leo(Kwa mujibu na maelekezo ya mufti).
Wabunge wa Mwendazake hao hawana impact katika jamii umesahau hilo kiongozi?
 
Ukiangalia Bungeni Live kwa sasa!

Utakachokiona ni mashindano ya wabunge wa CCM kusifia na kupongezana!

Utakachokiona ni picha ya Unafiki uliopitiliza kwa asilimia kubwa ndani ya jengo la bunge letu tukufu!

Wabunge wameleweshwa na pesa za mgao,ambazo zinagawiwa kwao,na kuishia kufujwa na watendaji wasio waadilifu nchini.

Ni kama vile wabunge wamelewa pesa za mheshimiwa Rais na kuwasahau wananchi wao na madhila wanayokutana nayo huko mitaani kwa sasa!

Kila mbunge anatumia muda mwingi kusifia,kupongeza na kisha kudhukuru kwa mgao alioupata jimboni kwake!

Maana yake ni nini?:

Ni kwamba,wanachokijali na kukipa umuhimu kwa sasa,ni wao kupata mgao na walau kujenga au kukamilisha mradi mmojawapo jimboni.

Jambo ambalo wanaamini wabunge wengi huko bungeni, kwamba,watalitumia kama mtaji kisiasa na kuweza kutetea nafasi zao kwenye uchaguxi mkuu 2025.

Lakini wanachokisahau ni kwamba,wananchi wanapitia wakati mgumu sana huko mitaani!
Na wanajaa hasira kupitiliza,pale wanapowaona wabunge wao,ambao ndio waliostahili kuwasemea,wamebadilika na kuwa wasakatonge na wasaka uteuzi huko bungeni.

Wameuguza ukumbi wa bunge,kama sehemu ya kumsalimia rais,na kushindana kumsifia wakitarajia kukumbukwa nae,pale ambapo kuna fursa ya uteuzi itakapojitokeza!

Wabunge wetu,ukiwasikiliza wanachokiongea bungeni,na ukaulinganisha uhalisia uliopo mitaani kote nchini,unaeza ukadhani hso wabunge ni wageni waikwa ndani ya mjengo wa bunge.

Wabunge wetu....wanacheka pale walipostahili kulia!
Na...Wanalia pale walipstahili kucheka!
Ni kama vile wako "Upside-down"...
Ni nini kimewakumba wabunge wetu jamani?

Mimi nimepita tu!

Ijumaa Kareem!..

Kesho ndio Eid na sio leo(Kwa mujibu na maelekezo ya mufti).
Kwani Tanzania ina bunge?

Mbunge anasimama na kulalamika juu ya hoja fulani, mwishoni anaunga mkono hoja.
 
Ukiangalia Bungeni Live kwa sasa!

Utakachokiona ni mashindano ya wabunge wa CCM kusifia na kupongezana!

Utakachokiona ni picha ya Unafiki uliopitiliza kwa asilimia kubwa ndani ya jengo la bunge letu tukufu!

Wabunge wameleweshwa na pesa za mgao,ambazo zinagawiwa kwao,na kuishia kufujwa na watendaji wasio waadilifu nchini.

Ni kama vile wabunge wamelewa pesa za mheshimiwa Rais na kuwasahau wananchi wao na madhila wanayokutana nayo huko mitaani kwa sasa!

Kila mbunge anatumia muda mwingi kusifia,kupongeza na kisha kudhukuru kwa mgao alioupata jimboni kwake!

Maana yake ni nini?:

Ni kwamba,wanachokijali na kukipa umuhimu kwa sasa,ni wao kupata mgao na walau kujenga au kukamilisha mradi mmojawapo jimboni.

Jambo ambalo wanaamini wabunge wengi huko bungeni, kwamba,watalitumia kama mtaji kisiasa na kuweza kutetea nafasi zao kwenye uchaguxi mkuu 2025.

Lakini wanachokisahau ni kwamba,wananchi wanapitia wakati mgumu sana huko mitaani!
Na wanajaa hasira kupitiliza,pale wanapowaona wabunge wao,ambao ndio waliostahili kuwasemea,wamebadilika na kuwa wasakatonge na wasaka uteuzi huko bungeni.

Wameuguza ukumbi wa bunge,kama sehemu ya kumsalimia rais,na kushindana kumsifia wakitarajia kukumbukwa nae,pale ambapo kuna fursa ya uteuzi itakapojitokeza!

Wabunge wetu,ukiwasikiliza wanachokiongea bungeni,na ukaulinganisha uhalisia uliopo mitaani kote nchini,unaeza ukadhani hso wabunge ni wageni waikwa ndani ya mjengo wa bunge.

Wabunge wetu....wanacheka pale walipostahili kulia!
Na...Wanalia pale walipstahili kucheka!
Ni kama vile wako "Upside-down"...
Ni nini kimewakumba wabunge wetu jamani?

Mimi nimepita tu!

Ijumaa Kareem!..

Kesho ndio Eid na sio leo(Kwa mujibu na maelekezo ya mufti).

Walipigiwa kura ama waliingizwa bungeni na dhalimu?
 
Hivi ndiyo namna wabunge wa CCM wanavyomuona mpiga kura wao
8C7987A1-8D63-4A6F-9F42-54E38B668E89.jpeg
 
Ukiangalia Bungeni Live kwa sasa!

Utakachokiona ni mashindano ya wabunge wa CCM kusifia na kupongezana!

Utakachokiona ni picha ya Unafiki uliopitiliza kwa asilimia kubwa ndani ya jengo la bunge letu tukufu!

Wabunge wameleweshwa na pesa za mgao,ambazo zinagawiwa kwao,na kuishia kufujwa na watendaji wasio waadilifu nchini.

Ni kama vile wabunge wamelewa pesa za mheshimiwa Rais na kuwasahau wananchi wao na madhila wanayokutana nayo huko mitaani kwa sasa!

Kila mbunge anatumia muda mwingi kusifia,kupongeza na kisha kudhukuru kwa mgao alioupata jimboni kwake!

Maana yake ni nini?:

Ni kwamba,wanachokijali na kukipa umuhimu kwa sasa,ni wao kupata mgao na walau kujenga au kukamilisha mradi mmojawapo jimboni.

Jambo ambalo wanaamini wabunge wengi huko bungeni, kwamba,watalitumia kama mtaji kisiasa na kuweza kutetea nafasi zao kwenye uchaguxi mkuu 2025.

Lakini wanachokisahau ni kwamba,wananchi wanapitia wakati mgumu sana huko mitaani!
Na wanajaa hasira kupitiliza,pale wanapowaona wabunge wao,ambao ndio waliostahili kuwasemea,wamebadilika na kuwa wasakatonge na wasaka uteuzi huko bungeni.

Wameuguza ukumbi wa bunge,kama sehemu ya kumsalimia rais,na kushindana kumsifia wakitarajia kukumbukwa nae,pale ambapo kuna fursa ya uteuzi itakapojitokeza!

Wabunge wetu,ukiwasikiliza wanachokiongea bungeni,na ukaulinganisha uhalisia uliopo mitaani kote nchini,unaeza ukadhani hso wabunge ni wageni waikwa ndani ya mjengo wa bunge.

Wabunge wetu....wanacheka pale walipostahili kulia!
Na...Wanalia pale walipstahili kucheka!
Ni kama vile wako "Upside-down"...
Ni nini kimewakumba wabunge wetu jamani?

Mimi nimepita tu!

Ijumaa Kareem!..

Kesho ndio Eid na sio leo(Kwa mujibu na maelekezo ya mufti).

Eti wamelewa pesa za muheshimiwa rais, rais katoa wapi pesa, unakosoa katika hali ya unafiki!
 
Ujio wa "vyama vingi " uliambatana na kuanzishwa utaratibu wa kuwahonga wabunge. Kuanzia hapo ndipo siasa ikawa ni biashara yenye mrejesho mkubwa.
Wakaanza kukopeshwa magari, kiinua mgongo kinono kila baada ya miaka mitano na posho za vikao.
Haya yanaambatana na tishio la kutolewa bungeni ukikengeuka.
 
Ukiangalia Bungeni Live kwa sasa!

Utakachokiona ni mashindano ya wabunge wa CCM kusifia na kupongezana!

Utakachokiona ni picha ya Unafiki uliopitiliza kwa asilimia kubwa ndani ya jengo la bunge letu tukufu!

Wabunge wameleweshwa na pesa za mgao,ambazo zinagawiwa kwao,na kuishia kufujwa na watendaji wasio waadilifu nchini.

Ni kama vile wabunge wamelewa pesa za mheshimiwa Rais na kuwasahau wananchi wao na madhila wanayokutana nayo huko mitaani kwa sasa!

Kila mbunge anatumia muda mwingi kusifia,kupongeza na kisha kudhukuru kwa mgao alioupata jimboni kwake!

Maana yake ni nini?:

Ni kwamba,wanachokijali na kukipa umuhimu kwa sasa,ni wao kupata mgao na walau kujenga au kukamilisha mradi mmojawapo jimboni.

Jambo ambalo wanaamini wabunge wengi huko bungeni, kwamba,watalitumia kama mtaji kisiasa na kuweza kutetea nafasi zao kwenye uchaguxi mkuu 2025.

Lakini wanachokisahau ni kwamba,wananchi wanapitia wakati mgumu sana huko mitaani!
Na wanajaa hasira kupitiliza,pale wanapowaona wabunge wao,ambao ndio waliostahili kuwasemea,wamebadilika na kuwa wasakatonge na wasaka uteuzi huko bungeni.

Wameuguza ukumbi wa bunge,kama sehemu ya kumsalimia rais,na kushindana kumsifia wakitarajia kukumbukwa nae,pale ambapo kuna fursa ya uteuzi itakapojitokeza!

Wabunge wetu,ukiwasikiliza wanachokiongea bungeni,na ukaulinganisha uhalisia uliopo mitaani kote nchini,unaeza ukadhani hso wabunge ni wageni waikwa ndani ya mjengo wa bunge.

Wabunge wetu....wanacheka pale walipostahili kulia!
Na...Wanalia pale walipstahili kucheka!
Ni kama vile wako "Upside-down"...
Ni nini kimewakumba wabunge wetu jamani?

Mimi nimepita tu!

Ijumaa Kareem!..

Kesho ndio Eid na sio leo(Kwa mujibu na maelekezo ya mufti).
Hao mazwazwa wameingia hapo kwa kokomo la yule kichaa wa chato aliyeko motoni ndiyo maana hawana buruma na wananchi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom