Ni kweli kuna uhusiano kati ya CCM na BAKWATA?

maiyanga1

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
1,317
1,790
Eid Mubarak.

Mara kadhaa nimewahi kusikia kuhusu uhusiano wa CCM n BAKWATA. Hili suala lina ukweli gani? Na kama lina ukweli nani anafaidika na uhusiano huo?

Lakini pia inakuwaje mara kadhaa BAKWATA huwa wanaadhimisha sikukuu ya Idd tofauti na waislam wengine duniani, ukizingatia tofauti ya muda kati ya Tanzania na Uarabuni ni masaa tu.

Sehemu kubwa ya waislam duniani walisherehekea sikukuu ya Idd jana, ikiwemo Kenya ambao walitangaza jana kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya sikukuu hiyo.
 
BAKWATA huwa wananishangaza miaka yote, wao tu ndio huwa hawauoni mwezi? Isn't that strange? 🤔

BTW, kuna uhusiano kati ya taasisi zote kubwa za kidini na dola (sio CCM), hii ni muhimu kwa usalama na ustawi wa nchi.

Dini ni moja kati ya mambo ya kiendawazimu kuwahi kutokea, nchi isipokuwa makini unaweza kushtuka watu wanachinjana mitaani kisa kundi moja limemkashifu mungu gani sijui wa huko mashariki ya kati!
 
Eid Mubarak.

Mara kadhaa nimewahi kusikia kuhusu uhusiano wa CCM n BAKWATA. Hili suala lina ukweli gani? Na kama lina ukweli nani anafaidika na uhusiano huo?

Lakini pia inakuwaje mara kadhaa BAKWATA huwa wanaadhimisha sikukuu ya Idd tofauti na waislam wengine duniani, ukizingatia tofauti ya muda kati ya Tanzania na Uarabuni ni masaa tu.

Sehemu kubwa ya waislam duniani walisherehekea sikukuu ya Idd jana, ikiwemo Kenya ambao walitangaza jana kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya sikukuu hiyo.
Sikukuu haitangazwi kwa utashi wa mtu au kikundi cha watu au kuiga watu, lazima vigezo vya kisheria wajiridhishe kuwa vimetimia.
 
Bakwata ndiyo chama kilichoundwa na Nyerere,CCM imenyumbulika toka A.A,TAA,TANU, CCM...A.A iliundwa na mzee Sykes
 
BAKWATA ni Taasisi iliyoanzishwa na Julius Nyerere akishirikiana na Paulo Bomani

1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Eid Mubarak.

Mara kadhaa nimewahi kusikia kuhusu uhusiano wa CCM n BAKWATA. Hili suala lina ukweli gani? Na kama lina ukweli nani anafaidika na uhusiano huo?

Lakini pia inakuwaje mara kadhaa BAKWATA huwa wanaadhimisha sikukuu ya Idd tofauti na waislam wengine duniani, ukizingatia tofauti ya muda kati ya Tanzania na Uarabuni ni masaa tu.

Sehemu kubwa ya waislam duniani walisherehekea sikukuu ya Idd jana, ikiwemo Kenya ambao walitangaza jana kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya sikukuu hiyo.
Unavyoona Uvccm Uwt ndio na bakwata
 
Back
Top Bottom