johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,134
Wakati wa Mkapa Kanali Nsa Kaisi na mzee Kingunge walikuwa Washauri upande wa Uchumi na Siasa
Awamu ya Shujaa Magufuli sijawahi kusikia kama ana Washauri ama wa Uchumi au hata Siasa
Naomba kuelimishwa umuhimu wa hawa Washauri
Eid mubarak!
Awamu ya Shujaa Magufuli sijawahi kusikia kama ana Washauri ama wa Uchumi au hata Siasa
Naomba kuelimishwa umuhimu wa hawa Washauri
Eid mubarak!