Ni bora umoja wa ukabila kuliko utengano wa ujumla

sanalii

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,434
5,099
Ukiachana na uelewa, kitu kikubwa kinachotutesa Tanzania ni "utengano wa ujumla", watanzania hatuna common ground ambayo itatufanya tu "think and feel" pain or pleasure at the same moment in response to what is happening in the country. Na huo ndio utengano wa ujumla

Tuko more individualized, yaani as long as mtu yeye yake yanamuendea, hawezi kufikiria wengine wengine hayamhusu.

Na hii iko kuanzia wananchi wa chini hadi viongozi wa juu kabisa, na ukiona kiongozi analishikilia jambo sana, wawezakuta kuna maslahi binafsi nyuma yake.

Kwenye nchi kunapokosekama kundi kubwa lililo na umoja madhubuti, ni ngumu kupata watu watakao simama pamoja juu ya jambo fulani,

Kila nikiiangalia Tanzania naona kabisa hakuna kundi lenye umoja madhubuti kuweza kusimia kitu kwa maslahi ya taifa.

Kila mtu anajali yakwakwe, sisemi siasa zenye ukabila Kenya ni nzuri, ila nasema umoja wao unaleta heshima kwa viongozi walio serikalini.

Utengano wa ujumla wa Watanzania ndiyo unafanya kila anaepata nafasi anajipimia.
 
Ukiachana na uelewa, kitu kikubwa kinachotutesa Tanzania ni "utengano wa ujumla", watanzania hatuna common ground ambayo itatufanya tu "think and feel" pain or pleasure at the same moment in response to what is happening in the country. Na huo ndio utengano wa ujumla

Tuko more individualized, yaani as long as mtu yeye yake yanamuendea, hawezi kufikiria wengine wengine hayamhusu.

Na hii iko kuanzia wananchi wa chini hadi viongozi wa juu kabisa, na ukiona kiongozi analishikilia jambo sana, wawezakuta kuna maslahi binafsi nyuma yake.

Kwenye nchi kunapokosekama kundi kubwa lililo na umoja madhubuti, ni ngumu kupata watu watakao simama pamoja juu ya jambo fulani,

Kila nikiiangalia Tanzania naona kabisa hakuna kundi lenye umoja madhubuti kuweza kusimia kitu kwa maslahi ya taifa.

Kila mtu anajali yakwakwe, sisemi siasa zenye ukabila Kenya ni nzuri, ila nasema umoja wao unaleta heshima kwa viongozi walio serikalini.

Utengano wa ujumla wa Watanzania ndiyo unafanya kila anaepata nafasi anajipimia.
Kwanza, futa kauli yako kushadadia umoja wa kikabila. Hii ni dhambi mbaya sana, rejea kilichotokea Rwanda, rejea kazi wanayopata wa-Kenya kuondokana na Ujaluo na Ukikuyu. Mungu atuepushe mbali na balaa hilo la ukabila Tanzania.
Pili, hilo la "common understanding and focusing" nakubaliana nawe. Kama taifa tunatakiwa tuwe wamoja katika mambo yote ya ki-Taifa. Angalia Marekani, husahau vyama vyao linakuwa jambo kubwa linalohusu interest za Marekani kama nchi. Sisi kama Taifa, tunatakiwa tukubaliane na kuziheshimu norms na interests za ki-Taifa ili kila anayeingia madarakani bila kujali chama chake ataziheshimu na kuzisimamia kwa nguvu, akili na moyo wake wote norms na ineterest hizo bila kupindisha au kuzilegeza. Na iwe ni jambo la aibu, fedheha, usaliti na dhalimu kwa yeyote kuenenda dhidhi ya misingi hiyo ya ki-Taifa.
 
Kanuni ya kikoloni ya "divide and rule" hutumiwa na watawala wengi hasa katika bara la kiza ili kuendeleza utawala dhalimi,kimabavu,rushwa nk hii ndio ngao imara ya kulinda tawala zao

Uzuzu wa mtanzania ni faida kwa ccm
 
You are excessively consuming Kenyan contents. Zile siasa za vikundi vidogo vidogo ni hatari sana. Si unaona wana uchumi mkubwa lakn wanashindwa menejimenti yake kwa sababu ya kukaa kivikundi vya kikabila na vya kirafiki.
Tanzania ina makundi mengi tu yenye common goals. Mfano:
1. CCM
2. Kanisa Katoliki
3. CHADEMA
4. CCT
5. TLS
6. Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi
7. TPSF
Bora kuwa na vikundi kama hivi kuliko vya kikabila.
Siasa za Tanzania ni nzuri sana. Ndio maana unaona tunaongozwa na mtu(Mshiraz)ambaye angetegemea kabila lake kumweka madarakani, isingewezekana, PM(Mmakua/Mmwera) ambaye kwa nchi kama Kenya, kupata PM au DP nje ya makabila makubwa isingewezekana.
Tuliwahi kuongozwa na mkwere ambapo kabila lake ni dogo na halina nguvu za kisiasa wala za kiuchumi.

Labda wewe ni wale ambao hujua thamani na umuhimu wa kitu baada ya hicho kiti kuondoka.
Ukiachana na uelewa, kitu kikubwa kinachotutesa Tanzania ni "utengano wa ujumla", watanzania hatuna common ground ambayo itatufanya tu "think and feel" pain or pleasure at the same moment in response to what is happening in the country. Na huo ndio utengano wa ujumla

Tuko more individualized, yaani as long as mtu yeye yake yanamuendea, hawezi kufikiria wengine wengine hayamhusu.

Na hii iko kuanzia wananchi wa chini hadi viongozi wa juu kabisa, na ukiona kiongozi analishikilia jambo sana, wawezakuta kuna maslahi binafsi nyuma yake.

Kwenye nchi kunapokosekama kundi kubwa lililo na umoja madhubuti, ni ngumu kupata watu watakao simama pamoja juu ya jambo fulani,

Kila nikiiangalia Tanzania naona kabisa hakuna kundi lenye umoja madhubuti kuweza kusimia kitu kwa maslahi ya taifa.

Kila mtu anajali yakwakwe, sisemi siasa zenye ukabila Kenya ni nzuri, ila nasema umoja wao unaleta heshima kwa viongozi walio serikalini.

Utengano wa ujumla wa Watanzania ndiyo unafanya kila anaepata nafasi anajipimia.
 
Tukiondoa tu Utanzania, udhaifu unakuwa mkubwa zaidi kuliko sasa. Usidhani kwamba kabila fulani wakisimama kama kabila, ina nguvu yoyote. Na kwa nchi yenye social cohesion kama Tanzania, hicho kikundi kitakuwa kituko. Kitateteaje maslahi ya kabila lake wakati makabila ya Tanzania yamechanganyikana kutoka Kusini hadi Kaskazini, kutoka Mashariki hadi Magharibi. Kitafanya sorting out?
 
Mwaka 1861 Massimo D'Azeglio alisema, "We have made Italy. Now we must make the Italians "
Je sisi tushawatengeneza Watanzania? Tanzania ni nchi ya kutengenezwa. Hata Tanganyika. Huko visiwani mvutano wa Unguja na Pemba pia upo.
 
Si ndo vizuri
Ndo mana hatuna vita wala maandamano
Misimamo mikali kwenye mambo mengi sio kitu kizuri sana
 
Back
Top Bottom