Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,628
- 218,059
Kabla ya kusaliti , Ibrahim Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha Cuf ilikuwa ni kawaida kumuona hadharani akishiriki shughuli za kijamii , ikiwemo kushiriki Ibada misikitini , Kwa Mtoro na kwingineko .
Lakini sasa baada ya kubainika Wazi Usaliti wake anaswalia ndani mwake kwa kuona aibu kujitokeza hadharani , hata siku akijitokeza basi ni kwa kujifichaficha tu !
Hatuandiki haya kama majungu , tunaandika kama masomo ya kufundishia vijana ili kuepuka Aibu za Uzeeni .
Lakini sasa baada ya kubainika Wazi Usaliti wake anaswalia ndani mwake kwa kuona aibu kujitokeza hadharani , hata siku akijitokeza basi ni kwa kujifichaficha tu !
Hatuandiki haya kama majungu , tunaandika kama masomo ya kufundishia vijana ili kuepuka Aibu za Uzeeni .