MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,444
Heri ya idd ndugu zangu.
Tanzania ni moja ya nchi chache Sana duniani ambazo tunatengeneza Magari halafu official state car bado tunatumia gari za nchi nyingine.
Viongozi wakuu wa nchi za Marekani, ujerumani, Japan na Uingereza viongozi wao wanatumia kampuni za nyumbani.
Bibi la Bibi Elizabeth akipush Land Rover.
Gari yakansela wa Ujerumani
Gari ya kijapani kwa ajili ya waziri mkuu. Kuna faida zaidi ya moja kwa mama Samia kutumia Gari ya Kipanya.
1. Kutoa ajira kwa vijana wa Kitanzania na kulinda fedha zetu za kigeni
2. Kuepuka njama ovu za mabeberu- huwezi kupima marinda Watanzania halafu kesho unaenda Marekani kununua gari ya rais Detroit . Hii inaweza kuwanya mabeberu- kukupa gari inayotumia nusu saa kufunga breki na hivyo kuhatarisha usalama wa mama.
3. Kupunguza gharama. Gari ya Kipanya Mwanza Dar inatumia luku ya elfu 20.
4. Kuendana na viwanda vingine-baada ya mama kumsaini mkataba wa uchimbaji Cobalt kwa ajili ya utengenezaji betri za gari, hii itasaidia upatikanaji kwa urahisi malighafi nchini pia kukamilika kwa bwawa la Nyrere kutahakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika.
5. Kusupport royal tour kwa njia ya indirect.
6. Rangi ya Gari kuendana na rangi ya ushungi wa mama. Kama utani lkn rangi ya Gari kufanana na mavazi ya mama inaongeza usalama. Gari ikiwa nyekundu na mama akavaa ushungi mwekundu inam camouflage, pia inaongeza unadhifu.
Mama anakuwa ana Gari la tano standby.
Tanzania ni moja ya nchi chache Sana duniani ambazo tunatengeneza Magari halafu official state car bado tunatumia gari za nchi nyingine.
Viongozi wakuu wa nchi za Marekani, ujerumani, Japan na Uingereza viongozi wao wanatumia kampuni za nyumbani.
Bibi la Bibi Elizabeth akipush Land Rover.
Gari yakansela wa Ujerumani
Gari ya kijapani kwa ajili ya waziri mkuu. Kuna faida zaidi ya moja kwa mama Samia kutumia Gari ya Kipanya.
1. Kutoa ajira kwa vijana wa Kitanzania na kulinda fedha zetu za kigeni
2. Kuepuka njama ovu za mabeberu- huwezi kupima marinda Watanzania halafu kesho unaenda Marekani kununua gari ya rais Detroit . Hii inaweza kuwanya mabeberu- kukupa gari inayotumia nusu saa kufunga breki na hivyo kuhatarisha usalama wa mama.
3. Kupunguza gharama. Gari ya Kipanya Mwanza Dar inatumia luku ya elfu 20.
4. Kuendana na viwanda vingine-baada ya mama kumsaini mkataba wa uchimbaji Cobalt kwa ajili ya utengenezaji betri za gari, hii itasaidia upatikanaji kwa urahisi malighafi nchini pia kukamilika kwa bwawa la Nyrere kutahakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika.
5. Kusupport royal tour kwa njia ya indirect.
6. Rangi ya Gari kuendana na rangi ya ushungi wa mama. Kama utani lkn rangi ya Gari kufanana na mavazi ya mama inaongeza usalama. Gari ikiwa nyekundu na mama akavaa ushungi mwekundu inam camouflage, pia inaongeza unadhifu.
Mama anakuwa ana Gari la tano standby.