Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbunge wa Gairo amesema Viongozi wa Serikal Wana mtindo wa kuajiri walimu na kuwapangia vijijini kisha wanatuma vimemo wahamishiwe Mjini Shabiby amesema Utaratibu Huu siyo mzuri na ikibidi...
3 Reactions
105 Replies
8K Views
Wakuu Salam, Hata kama nchi haina vipaumbele, hata umasikini wa watu wetu hatuuoni? Katikati ya kutupa magari tunanunua megine...? Kairuki kaomba mengine ya bil 16, magar 81. Tizama video ya...
8 Reactions
95 Replies
8K Views
Siku moja baada ya mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA kuwakaribisha kwenye chama chake kipya waliofukuzwa CCM kwenye mkutano maalum, aliyekuwa mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba amesema amekua kwenye...
20 Reactions
141 Replies
19K Views
Bila shaka kila Mtanzania anajua madudu yanayofanyika na viongozi wengi katika Nchi hii. Kuna mambo ya Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa fedha za umma, uzembe makazini, wizi wa mali za umma nk. Kwa...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakati maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakisubiriwa hapo Aprili 26 mwaka huu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameahirisha sherehe za...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mbunge wa Kawe mh Askofu Dr Gwajima amezuru kaburi la hayati Mkapa kijijini Lupaso Masasi Mtwara na kufagia na kuweka Shada la maua Hayati Mkapa alikuwa Rais wa JMT serikali ya Awamu ya 3...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kwa heshima na taadhima you need a more elite salutation before your name . Your name should be preceded by a more scholarly salutation, that is Doctor (Dr.). Avoid hizi PhD za kugawiàna kama...
15 Reactions
65 Replies
3K Views
Nilitegemea kwenye mikutano ya hadhara iliyoanza, CHADEMA wangekuja na orodha ndefu sana yenye kila aina ya ufisadi alioufanya hayati Rais Magufuli kipindi yupo madarakani, kwa sababu wamekuwa...
24 Reactions
59 Replies
7K Views
Jumapili njema Hata mjinga naye ana mawazo, mtanisamehe Kwa kweli Leo Nina Anika ujinga wangu hadharani. Ukiacha tamaa na uchu wa MADARAKA Kwa viongozi wengi wa afrika, Kuna mambo mengi sana...
2 Reactions
0 Replies
573 Views
Ndugu zangu watanzania, Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema kuwa Rais Samia na serikali yake ya CCM amefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana katika kuleta Amani na utulivu katika mioyo ya watanzania,watu...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Mh Judge Biswalo ni kiongozi muadilifu, mchapakazi, mtenda haki. Aliopokuwa DPP aliifanya kazi yake kwa weledi mkubwa. Alihakikisha mafisadi wanaonja uchungu wa kuiba mali za watanzania bila...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Jana Jumamosi 15/04/2023 Waziri Mkuu alikuwa Zanzibar akizindua kitabu cha taarifa ya Sensa iliyopita, kwenye uzinduzi huo walikuwepo wananchi ukumbini ambao walikuwa wakipepea bendera za taifa...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Tumeona katika ripoti ya CAG kuwepo kwa mdafudu mengi na hasa katika mashirika ya Umma, jambo hili pamoja na mambo mengine limesababishwa na yafuatayo; MOSI: Mashirika kunyanganywa uhuru wa...
1 Reactions
0 Replies
647 Views
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda ovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa...
12 Reactions
72 Replies
3K Views
Mzee Kawawa alikuwa mbunge wa Liwale ( ukweni) na akasemwa sana amesahau kwao Songea Vita Kawawa ( mwanae) ndio karudi nyumbani Namtumbo na kaukuta Umaskini Ule Ule wa mwaka 47 Mimi nampongeza...
14 Reactions
25 Replies
1K Views
Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajili ya nchi yake. Mzalendo wa kweli daima anaweka maslahi ya nchi mbele na ya kwake binafsi nyuma. Kwa maana hiyo hapo juu, mzalendo...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Mbowe anasema Watumishi Umma wachunguzwe maisha wanayo ishi kama Yana ualisia na mishahara tunayowalipa? Mimi nitakuwepo kwenye Maandamano ya ACT wazalendo nashauri yalindwe na Polisi wasio na vyeo.
1 Reactions
3 Replies
955 Views
Leo Bungeni wakati wa maswali na Majibu, Kuna swali lililohusu mabadiliko ya mitaala ya Elimu ili kuendana na hali ilivyo. Naibu waziri wa elimu alikiri kuwa mfumo wetu wa Elimu uliopo haumsaidii...
11 Reactions
26 Replies
3K Views
DITOPILE AUNGANA NA WANA CHAMWINO KWA IFTAR, WAMUOMBEA DUA RAIS SAMIA Katika Muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Ditopile ameungana na...
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Mbunge wa Viti Maalum Wanawake (UWT) Mkoa wa Songwe Mhe. Juliana Daniel Shonza ametoa Tracks Sut 64 na Pedi 128 zenye thamani ya Milioni 1,600,000 kwa Wanafunzi wakike 64 waliounguliwa na Bweni...
1 Reactions
4 Replies
710 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…