Ushauri Kwa Tundu Lissu

Ushauri Kwa Tundu Lissu

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,796
Reaction score
100,917
Kwa heshima na taadhima you need a more elite salutation before your name . Your name should be preceded by a more scholarly salutation, that is Doctor (Dr.).

Avoid hizi PhD za kugawiàna kama maandazi za akina Kikwete and Co. Ltd.

Please embark on PhD studies in Law!

Angalizo: Usithubutu kusoma PhD Kwenye vyuo vya hapa. Watakusumbua!
 
Kama anapewa muacheni Apewe , kuwa na PhD au kutokuwa nayo all are fine
 
He can get all the PhD's you want him to get, lakini kwenye uongozi wa aina yoyote nchi hii hafai. Anaweza kuwa lecturer mzuri chuo fulani, lakini hafai kuwa kiongozi. Uongozi ni kwa watu wenye intelligence, siyo kwa watu wenye academic excellence peke yake!
 
Wewe fanya study kwanini hapa Tanga mnaishi kwenye magofu utapewa PhD ya heshima na Machame University!
 
Ushauri ni mzuri tu.

Huko mbeleni au kama si hivi karibuni ataanza kuitwa Mzee, kwa mila na tamaduni za Mtanzania hii inatosha.

Na ataitwa hivyo kwakuwa ni kweli atakuwa anafikia umri fulani wa kuitwa Mzee-ila kuna hili Mzeee, Ni heshima kubwa sana ambayo mtu huwa anapewa hata pale akiwa kijana....tunajipindisha tu lakini huo ndio Ukweli, sio rahisi mtu kupachikwa jina Mzee alimtmradi tu. Mara nyingi hufuatiwa kwa mambo,vitu, maneno, vitendo vinayoambatana na tabia fulani..ambayo anayeitwa huwa inamfuata, hata ikiwa alikuwa mtongozaji maarufu mtaani, au mcheza bao maarufu wa mtaani..au mtu mwenye upendo na watu mtaani au mtu mwenye pesa mtaani ambaye utamkuta ndie mwenye gesti mtaani au nyumba kadhaa n.k n.k Yaani watu wenye heshima fulani....

sasa haya mambo ya kuiga wenzetu yanaboa....Daktari, Sheikh, Professor, millionea , bilionea n.k yote ngeni tu na ndio tunazidi kuchanganyikiwa....

....Kuna utamu fulani vile kwa Kiswahili mtu kuitwa Mzee na mara nyingi huwa inafuatia na tabasamu....umeona wapi Unamwita mtu Doctor au Shehe au Bilionea na mtu akatabasamu?/ukatabasamu(najichekesha hapa) wapi? Ikiwa hivyo basi kwa namna moja au nyingine inakuwa kejeli ya kidizaini tuu! Kha

'Mzeee bwana'! Hapo lazima uta tabasamu.

'Mzeee Lissu'.

..wee wacha wee Kiswahili kitamu.

Ninapinga Tundu Lissu kuitwa Daktari au kuongezewa title yeyote ile ya Kidhungu! Napendekeza Mzeee Tundu au Mzeee Lissu.
 
Ushauri ni mzuri tu.

Huko mbeleni au kama si hivi karibuni ataanza kuitwa Mzee, kwa mila na tamaduni za Mtanzania hii inatosha.

Na ataitwa hivyo kwakuwa ni kweli atakuwa anafikia umri fulani wa kuitwa Mzee-ila kuna hili Mzeee, Ni heshima kubwa sana ambayo mtu huwa anapewa hata pale akiwa kijana....tunajipindisha tu lakini huo ndio Ukweli, sio rahisi mtu kupachikwa jina Mzee alimtmradi tu. Mara nyingi hufuatiwa kwa mambo,vitu, maneno, vitendo vinayoambatana na tabia fulani..ambayo anayeitwa huwa inamfuata, hata ikiwa alikuwa mtongozaji maarufu mtaani, au mcheza bao maarufu wa mtaani..au mtu mwenye upendo na watu mtaani au mtu mwenye pesa mtaani ambaye utamkuta ndie mwenye gesti mtaani au nyumba kadhaa n.k n.k Yaani watu wenye heshima fulani....

sasa haya mambo ya kuiga wenzetu yanaboa....Daktari, Sheikh, Professor, millionea , bilionea n.k yote ngeni tu na ndio tunazidi kuchanganyikiwa....

....Kuna utamu fulani vile kwa Kiswahili mtu kuitwa Mzee na mara nyingi huwa inafuatia na tabasamu....umeona wapi Unamwita mtu Doctor au Shehe au Bilionea na mtu akatabasamu?/ukatabasamu(najichekesha hapa) wapi? Ikiwa hivyo basi kwa namna moja au nyingine inakuwa kejeli ya kidizaini tuu! Kha

'Mzeee bwana'! Hapo lazima uta tabasamu.

'Mzeee Lissu'.

..wee wacha wee Kiswahili kitamu.

Ninapinga Tundu Lissu kuitwa Daktari au kuongezewa title yeyote ile ya Kidhungu! Napendekeza Mzeee Tundu au Mzeee Lissu.
Mzee Tundu 😂😂😂
 
Kwa heshima na taadhima you need a more elite salutation before your name . Your name should be preceded by a more scholarly salutation, that is Doctor (Dr.).

Avoid hizi PhD za kugawiàna kama maandazi za akina Kikwete and Co. Ltd.

Please embark on PhD studies in Law!

Angalizo: Usithubutu kusoma PhD Kwenye vyuo vya hapa. Watakusumbua!
Kwa msomi aina ya Lissu akisoma PhD kwa njia ya "sandwich program" ingalimfaa zaidi kutokana uelewa wake mpana kwa vitendo katika masuala ya sheria.
 
Kwani CHENGE ana Doctorate? Mbona ni Nguli wa SHERIA?

Ngozi nyeusi Kwa kupenda sifa za kijinga hamjambo.

Mbona Mbowe ni kidato Cha nne, aligombea Urais? Angeshinda angekuwa Rais.

Wananchi tunaangalia AKILI na maono ya kiongozi Si vyeti feki kama vya Mwigu anayejiita mchumi.

Msitake Lissu awe kama idd amini dada ambaye Kila cheo kikubwa alijipachika!!!!

Akiitwa NDUGU, TUNDU ANTIPAS LISSU inatosha.

Msimjaze ujinga.
 


Kwani CHENGE ana Doctorate? Mbona ni Nguli wa SHERIA?

Ngozi nyeusi Kwa kupenda sifa za kijinga hamjambo.

Mbona Mbowe ni kidato Cha nne, aligombea Urais? Angeshinda angekuwa Rais.

Wananchi tunaangalia AKILI na maono ya kiongozi Si vyeti feki kama vya Mwigu anayejiita mchumi.

Msitake Lissu awe kama idd amini dada ambaye Kila cheo kikubwa alijipachika!!!!

Akiitwa NDUGU, TUNDU ANTIPAS LISSU inatosha.

Msimjaze ujinga.
Haswa. Nakazia.
Bila haya hasi chini
Ngozi nyeusi Kwa kupenda sifa za kijinga hamjambo.
 
Kwa heshima na taadhima you need a more elite salutation before your name . Your name should be preceded by a more scholarly salutation, that is Doctor (Dr.).

Avoid hizi PhD za kugawiàna kama maandazi za akina Kikwete and Co. Ltd.

Please embark on PhD studies in Law!

Angalizo: Usithubutu kusoma PhD Kwenye vyuo vya hapa. Watakusumbua!
Mmh TL hahitaji PhD ili awe vizuri vile alivyo.

Anyway kama ni Phd ya Show off sawa
 
Back
Top Bottom