Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,293
- 9,723
Ndugu zangu watanzania,
Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema kuwa Rais Samia na serikali yake ya CCM amefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana katika kuleta Amani na utulivu katika mioyo ya watanzania,watu Wana amani na utulivu mkubwa Sana katika mioyo Yao inayotokana na usikivu wa Rais Samia na serikali yake,kutoa majibu kwa wakati kwa kero na changamoto,kuwa karibu ya wananchi, kufanya maamuzi yanayogusa maisha ya watu,kutoa kipaombele katika Mambo yanayoleta Tabasamu na matumaini katika maisha ya watu wengi,kuwekeza maeneo yenye kuleta tija kwa watu.
Watu Wana matumaini ya kutimiza na kufikia ndoto zao kwa kuwa wanaona milango ya fursa ikifunguka kila Siku,Hakuna anayeishi kwa hofu Wala kukata Tamaa,Hakuna anayeona serikali ikiwa kikwazo katika shughuli zake,kila mtanzania anajiona Anayo nafasi ya kuaga umasikini,kila mmoja anaona serikali ipo kwa ajili yake na kwa ajili ya kumsaidia,kila mmoja anaiona serikali ya Rais Samia Kama muwezeshaji na siyo mkwamishaji na mnyonyaji wa jasho lake.
Watanzania wanafurahishwa na kuguswa na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali yao ya CCM ambazo zimekuwa zikileta nuru na matumaini katika maisha yao,wanaiona kesho iliyo njema na yenye kupendeza, wanaona watoto na wajukuu zao wakija kuishi katika Taifa lenye pumzi Safi,wanaiona Tanzania yenye kutiririsha fursa katika kila Kaya yenye kujishughulisha.
Ndio sababu ya Mioyo Yao kuwa yenye amani na utulivu,ndio sababu ya Kuendelea kuiunga mkono serikali yao ya CCM,ndio sababu ya Kuendelea kuwa bega kwa bega na Rais wao,ndio sababu ya kutokubali kushawishika na yeyote kuvuruga amani ya Taifa letu na ndio sababu ya Kuendelea kuwa wenye utulivu na Subira wakati wote.
Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema kuwa Rais Samia na serikali yake ya CCM amefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana katika kuleta Amani na utulivu katika mioyo ya watanzania,watu Wana amani na utulivu mkubwa Sana katika mioyo Yao inayotokana na usikivu wa Rais Samia na serikali yake,kutoa majibu kwa wakati kwa kero na changamoto,kuwa karibu ya wananchi, kufanya maamuzi yanayogusa maisha ya watu,kutoa kipaombele katika Mambo yanayoleta Tabasamu na matumaini katika maisha ya watu wengi,kuwekeza maeneo yenye kuleta tija kwa watu.
Watu Wana matumaini ya kutimiza na kufikia ndoto zao kwa kuwa wanaona milango ya fursa ikifunguka kila Siku,Hakuna anayeishi kwa hofu Wala kukata Tamaa,Hakuna anayeona serikali ikiwa kikwazo katika shughuli zake,kila mtanzania anajiona Anayo nafasi ya kuaga umasikini,kila mmoja anaona serikali ipo kwa ajili yake na kwa ajili ya kumsaidia,kila mmoja anaiona serikali ya Rais Samia Kama muwezeshaji na siyo mkwamishaji na mnyonyaji wa jasho lake.
Watanzania wanafurahishwa na kuguswa na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali yao ya CCM ambazo zimekuwa zikileta nuru na matumaini katika maisha yao,wanaiona kesho iliyo njema na yenye kupendeza, wanaona watoto na wajukuu zao wakija kuishi katika Taifa lenye pumzi Safi,wanaiona Tanzania yenye kutiririsha fursa katika kila Kaya yenye kujishughulisha.
Ndio sababu ya Mioyo Yao kuwa yenye amani na utulivu,ndio sababu ya Kuendelea kuiunga mkono serikali yao ya CCM,ndio sababu ya Kuendelea kuwa bega kwa bega na Rais wao,ndio sababu ya kutokubali kushawishika na yeyote kuvuruga amani ya Taifa letu na ndio sababu ya Kuendelea kuwa wenye utulivu na Subira wakati wote.
Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627