Bila shaka kila Mtanzania anajua madudu yanayofanyika na viongozi wengi katika Nchi hii.
Kuna mambo ya Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa fedha za umma, uzembe makazini, wizi wa mali za umma nk.
Kwa awamu hii, vitendo hivyo vyote vinafanyika bila kificho. Yaani wanaofanya hayo hawaogopi mtu isipokuwa wao ndo wanaoogopwa.
Kwa kifupi kabisa ni kwamba:-
•Wabunge(isipokuwa wachache wao) wamewekwa mfukoni na Genge hilo, hivyo hawawezi kuchukua hatua madhubuti.
•WATU WA HAKI ZA BINADAMU wamewekwa mfukoni na Genge hilo, hivyo hawawezi kupaza sauti zao kukemea uovu huo.
•Bad enough, inaonekana hata MHIMILI MKUU umepigwa mfukoni na Genge hilo, ndo maana huwezi kuona unachukua hatua kali na za wazi kwa wahujumu hao.
Je, Watanzania wamwamini nani anayeweza kuwasaidia/kuwapigania?
Kuna mambo ya Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa fedha za umma, uzembe makazini, wizi wa mali za umma nk.
Kwa awamu hii, vitendo hivyo vyote vinafanyika bila kificho. Yaani wanaofanya hayo hawaogopi mtu isipokuwa wao ndo wanaoogopwa.
Kwa kifupi kabisa ni kwamba:-
•Wabunge(isipokuwa wachache wao) wamewekwa mfukoni na Genge hilo, hivyo hawawezi kuchukua hatua madhubuti.
•WATU WA HAKI ZA BINADAMU wamewekwa mfukoni na Genge hilo, hivyo hawawezi kupaza sauti zao kukemea uovu huo.
•Bad enough, inaonekana hata MHIMILI MKUU umepigwa mfukoni na Genge hilo, ndo maana huwezi kuona unachukua hatua kali na za wazi kwa wahujumu hao.
Je, Watanzania wamwamini nani anayeweza kuwasaidia/kuwapigania?