Nilitarajia kuona kila mtanzania amekasirika na kuonyesha hisia zake hasaa kwenye mambo yafuatayo;
Ufisadi
Kwanini kuwachekelea waliopewa mamlaka kusimamia haki za wananchi pamoja na kulinda...
Serikali imeokoa Tsh. trilioni 7.57 kwa kumaliza kwa njia mbadala ikiwemo usuluhishi, majadiliano na maridhiano katika kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana (2022) hadi mwezi uliopita Machi 2023...
Najiuliza juu ya viongozi wanaolaumiwa kwa ukatili na mateso kwa raia. Viongozi kama Iddi Amin , Jean Bokasa na wengine wengi wanalaumiwa.
Lakini kiuhalisia Je yupo ambaye hajawahi kufanya ukatili?
Haya ndiyo madhara ya kuchaguliwa wabunge na jiwe.
Tozo zipo juu,umeme ni wa mgao, gharama za maisha zipo juu,barabara ni mbovu.
Hivi vyote hukuviona hadi unakuja na picha ya mama Samia...
Life expectancy Kwa Tanzania Sasa ni miaka 70 kutokana na kuimarika Kwa Huduma za jamii na kupungua Kwa ugonjwa wa Malaria ambao ndio ulikuwa unasababisha vifo vingi Kwa Watu hasa Watoto chini ya...
Shalomu Tanzania'
Kwanza, itasaidia sana, pesa nyingi zilizoelekezwa kununua magari ya viongozi, bajeti yake ielekezwe kwenye maendeleo.
Bajeti ya kunywesha mafuta magari hayo kwa mwaka mzima...
Hata Mandela alifungwa miaka 30 ila akawa Rais, kuna wengi waliokwisha fungwa kihuni uhuni ila baadaye wanakuwa wakubwa wa watesi wao,NB mwanadamu hana uwezo wa kuuwa hatima ya mtu.
Binafsi kama...
You go to the hospital mama kijacho kapata uchungu you need to give bribe to buy nurses attention.
You are peacefully driving and just ahead of you kunguru mweupe gives you a hand signal, My...
Serikali chini ya Rais Samia katika juhudi za kuwawezesha vijana kiuchumi inaendesha program maalum ya mafunzo ya ufugaji wa kisasa ikiwa ni pamoja na unenepeshaji kwa muda wa mwaka mmoja ambapo...
Kama wanavyopelekwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Watendaji wengine nashauri pia watu watakaotaka kugombea Urais baada ya majina yao kupitishwa na tume waende kozi ya NDC hata kwa wiki tatu.
Hii...
Wakati umma ukiendelea kusubiri ripoti ya Kamati ya Mwakyembe baada ya muda iliopewa ile kamati hiyo kuchunguza nini kinachosababisha wanafunzi wa Shule ya Sheria Tanzania kufeli kwa kiwango cha...
Mbunge, Luhaga Mpina amesema bungeni kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewasilisha taarifa ya uongo bungeni na kulisingizia Bunge kuwa lilipitisha Azimio la Bunge la kusamehe...
Jambo Jambo?
Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linalotawaliwa na wabunge wa CCM, huwa linanishangaza kiasi kwenye uchagiaji wa upitishajishwaji wa bajeti za wizara kadha wa kadha za...
Kumeanza kuibuka wimbi la utolewaji wa ripoti za fedha za miradi ambazo zimekuwa na mashaka makubwa sana na hasa zinaumiza walipa kodi, kuna harufu ya rushwa na ibadhirifu mkubwa tu tena kwa...
Hivi kama siasa ingekua ni Kwa ajili ya watu hivi Kuna haja ya kuwa na viongozi rundo sehemu Moja mfano. Wilayani Kuna mkurugenzi, mkuu wa wilaya, katibu tawala, Mwenyekiti wa halmashauri, wakuu...
JamboJambo?
Kumekuwa na tabia inayokua au iliyoshamiri kwa muda sasa juu ya kusifia sifia inayofanywa na wenzetu wa habari.
Huwa nakereka kuangalia baadhi ya jarida, ripoti au habari mbalimbali...
Ndugu zangu watanzania,
Panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu, Rais wetu Samia atakapokuwa anastaafu na kumaliza muda wake wa kulitumikia Taifa letu mwaka 2030, kwa hakika atakumbukwa sana na...
Viongozi na Mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania TANROADS Wamepatiwa mafunzo ili kuwaongezea uwezo, kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kutimiza malengo ya Serikali ya awamu ya sita...
Nani asiyejua kilio cha watu kutoka nchi ya Zanzibar kuhusu kutozwa ushuru wakati wanaingiza bidhaa nchi ya Tanganyika?
Vilio vyao vimekuwa vingi mara Sukari yetu imezuiwa, mara mafuta...
Kiukweli mh Mpina kila akisimama bungeni hanaga mambo ya kupoteza muda kwa maneno ya utani na masikhara kama akina Kibajaj, Yeye ni kumwaga pweinti tu
Mungu wa mbinguni mbariki sana huyu mbunge...