Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nchi yetu sio ya demokrasia, hili tuliseme wazi bila kudanganya Rais wa nchi hii anaamuliwa na kikao cha kamati kuu ya CCM na wazee, amboa ndio huamua nani akatwe jina na nani apitishwe kwenda...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Kutokana na mijadala mitandaoni inaonekana tuna SHERIA zinazokinzana au kupora mamlaka ya kifungu cha KATIBA. Ipasavyo ni kuwa kifungu cha KATIBA kinapaswa kuenziwa/kusujudiwa/ na SHERIA sio...
0 Reactions
0 Replies
458 Views
Ndugu Watanzania, umekuwa ni wimbo usiokuwa na mwisho,kila siku ni maneno tu,"tutakarabati,tutajenga uwanja Dodoma wa KISASA " lakini wapi. Wimbo huu toka mwaka 2020 Hadi sasa unaimbwa tu...
1 Reactions
2 Replies
910 Views
Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu amesema suala la bunge kujadili hali ya usalama wa nchi na kutaka kamati iundwe kuchuguza matukio mbalimbali ya kihalifu kutasababisha hali ya taharuki...
3 Reactions
128 Replies
59K Views
Tunakubaliana wote yaani CCM na upinzani kwamba Bunge la sasa halina uhalali kutokana na uharibifu uliofanywa kwenye uchaguzi 2020. Tunakubaliana wote kwamba dhamira ya Mhe. Rais aitengenezi...
0 Reactions
4 Replies
569 Views
Changamoto kubwa iliyopo serikalini ni pale watumishi wa Umma kujiona kuwa wao wanajua kuliko waliopo nje ya serikali ilo ni tatzo kubali ukatae Mh Rais na msomaji wangu mpendwa lipo kubwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana mkuu wa Wilaya ya Lushoto Kamanda Lazaro ametangaza kupokelewa kwa Mahindi ya Msaada Kutoka ghala la Serikali. Bei yake ni tsh 930/= kwa kilo. Sikuwahi kufikiria kuna siku Lushoto, Bumbuli...
1 Reactions
4 Replies
946 Views
Baada ya kifo cha Rais Magufuli Chama cha Mapinduzi kimeingia katika Mtego mzito sana katika Siasa yake. Mtego huu unatokana na Kifo cha Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Mhe. Waziri Mkuu aliwatuma Mawaziri wa kisekta kubaini mpaka halali wa Hifadhi ya Serengeti na Wilaya ya Tarime maeneo ya Gorong'a na Gibaso baada ya kilio cha muda mrefu kutoka kwa wananchi...
0 Reactions
10 Replies
837 Views
MBUNGE: UKAGUZI KWA WATUHUMIWA GEREZANI UNADHALILISHA WANAWAKE Naibu Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini amesema “Tunawasisitiza RPC, OCD na Wakuu wa Vituo kuzingatia Sheria kwa makosa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Huku nyuma awamu ya 5 kila jaribio la wale nawaita wahuni kushika ndege za ATCL ili kulipwa madeni ya mchongo na Tanzania yamekua yanashindwa na ndege zimekua zinaachiwa baada ya muda mfupi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa mwenendo huu wa kisiasa ni dhahiri sasa anahitajika kupatikana Mwenyekiti mpya wa kuitoa CHADEMA kutoka sehemu moja kwenda mbele zaidi . Fikra zilezile na mawazo yaleyale ya Mwenyekiti wa...
3 Reactions
84 Replies
4K Views
Serekali iruhusu uraia wa nchi mbili kwa sababu unafaida nyingi sana, ila usingatie vegezo vifuatavyo ambavyo vigeuzwe kuwa sheria Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea urais Ukiwa raia wa...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Baraza la Wanawake Chadema limeandaa maandamano ya kumshinikiza Spika wa bunge Dr Tulia awaondoe bungeni Wabunge 19 wanaodaiwa ni wa Chadema yaani Halima James Mdee na wenzake 18 Maandamo hayo...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimetumia muda mwingi kufiatilia vikao vya mabunge ya nchi nyingi Duniani, Mabunge ja Nchi za Jumuia ya Madola na oia Mabunge ya nchi zingine zikiwemo za West Africa, North Africa, Asia na hata...
1 Reactions
9 Replies
849 Views
Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono amelishwa sumu wakati akiwa kwenye safari ya kikazi jijini London nchini Uingereza, imeelezwa. Kwa mujibu wa tovuti ya The Citizen, Mkono ambaye pia ni...
20 Reactions
222 Replies
86K Views
Ukisoma upuuzi mwingi humu unaona kabisa hii nchi ni ya hovyo. Lakini ukipekua na kuwasikiliza wakurugenzi wengi wa wizara na idara za serikali (wanapokuwa wageni waalikwa kwenye mijadala); wengi...
0 Reactions
7 Replies
816 Views
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amewalaani Viongozi wa CCM kwa kugawana rasilimali za nchi vikiwemo viwanda na kumtaja mmoja wa wanufaika wa ubazazi huo ni mbunge wa Morogoro...
9 Reactions
53 Replies
4K Views
Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao. Si hivyo tu hata majaji wetu...
25 Reactions
159 Replies
8K Views
Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu...
22 Reactions
201 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…