Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!! CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
5 Reactions
87 Replies
5K Views
Hiki ndicho naweza kusema kuhusu huu mgao wa umeme hapa mkoani Arusha. Nimefika hapa juzi mida ya saa moja usiku na kukutana na giza nene maeneo ya Usa-River.Umeme ulirudi saa 5 usiku na asubuhi...
21 Reactions
119 Replies
5K Views
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa, wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP, wakati si kweli. Kigoma wamezima majenerata, umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu...
22 Reactions
163 Replies
8K Views
Baraza la vijana (Bavicha) la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) linaendelea na uchaguzi wake leo kwa ngazi ya kitaifa. Muda mfupi uliopita katika ukumbi wa Mlimani City limewapata...
21 Reactions
195 Replies
25K Views
MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
SUALA la Luhaga Mpina kukatwa jina lake kwenye nafasi ya mgombea wa NEC Mkoa wa Simiyu kwa mwaka huu wa 2022 kuwa amekosa sifa ya kuteuliwa limetuachia maswali mengi hasa sababu 11 zinazodaiwa...
23 Reactions
85 Replies
7K Views
Habari za jioni wadau, nimeuliza hilo swali baada ya kuona post huko Instagram kutoka kwa Milard Ayo, unaweza kusoma alichoandika Mh.then tukajadili.
3 Reactions
64 Replies
5K Views
“ Kwa wale ambao wana mashaka mwanamke huyu ataweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nataka niwaambie aliyesimama hapa ni Rais, nataka nirudie kwamba aliyesimama hapa ni Rais wa...
1 Reactions
3 Replies
473 Views
Nani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010? Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema. Upinzani ulipata madiwani...
15 Reactions
137 Replies
7K Views
Namshika mkono wa heri na shukurani nyingi Rais Samia Hassan kwa mabadiliko mazuri ya elimu anayoyaleta nchini. Namshukuru sana Rais Samia kwa kutatua kero moja iliyotutesa sana miaka nenda rudi...
2 Reactions
3 Replies
986 Views
Kupata katiba mpya ni shughuli pevu dhidi ya walamba asali, vibaraka na chawa wao. Vipi kuwatemesha matonge midomoni? Katiba mpya haitakuja kwa maneno Matupu mezani au mitandaoni. Katiba mpya...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Fikra ni namna mtu anavyochukulia jambo fulani, fikra ni mawazo ya mtu juu ya kitu fulani katika maisha kwa ujumla wake, mara nyingi kabla ya kumshauri mtu, tunaanza na fikra, start with mindset...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukurasa wa mbele wa Gazeti la Raia Mwema, Novemba 19, 2022 Dr. Bashitu alipuka Awavaa wanaosifu utawala wa Samia Akerwa na kauli za “Anaupiga mwingi”
9 Reactions
49 Replies
8K Views
DR. BASHIRU ALLY WAKULIMA WAMEMUELEWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ACHA WAMSIFIE ANAUPIGA MWINGI CHUKI YA NINI? DR. BASHIRU ALLY Acha serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais SAMIA SULUHU HASSAN...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Sijashangazwa na kauli ya katibu mkuu UVCCM leo aliyoitoa kwenye media ya kumwita aliyekua katibu mkuu CCM ndugu Bashiru Ali kuwa ni mnafiki kwakua amepuuzilia mbali sifa za kijinga wanazopewa...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Bakwata Wanaupiga Mwingi. By the way Inafikirisha Sana Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
12 Reactions
138 Replies
6K Views
Wakuu tumeshamuona Bashiru Ally akirusha mawe gizani huko aliko. Hii imenifanya nimkumbuke huyu jamaa hasa kipindi chake kile cha "Shule ya Uongozi". Sina mengi zaidi.
0 Reactions
4 Replies
732 Views
Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehe bila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe. Ulimi hauna mfupa. Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva...
24 Reactions
203 Replies
20K Views
Mara ya mwisho niliposafiri na kutua uwanja wa ndege wa Bukoba nilikaa na mama mmoja wa kihaya aliniambia hali ya hewa uwa mbaya kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka around saa sita...
7 Reactions
45 Replies
6K Views
Moja ya sifa za Rais Samia Suluhu Hassan ni muumini mzuri wa mageuzi yenye lengo la kubadili fikra, dhana na mitizamo ambayo imekuwa kikwazo kwa jitihada za vijana katika kufikia mafanikio katika...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…