Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

mwananyaso

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
2,843
3,128
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa, wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP, wakati si kweli.

Kigoma wamezima majenerata, umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.

Mkurugenzi hilo la kigoma ni jipya kwakwe, kweli? Pia gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme, hapo Tanesco wamebinafsisha customer care services, hivi kweli walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo customer care?,wakawaboreshea maslahi na mikataba mizuri?, wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,

Hawa acha wamuingize chaka rais Samia, au pengine n na yeye ni mnufaika,

Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,

Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
 
Nimemfuatilia hata CEO hajapata challenge kabisa
Ina wezekana ni utaalamu wa kupanga matokeo ya mechi
Ingawa CEO maswali anayoulizwa angeweza kujenga sana na KUONESHA uwezo wake
Nadhani he is neither a politician nor dramatic
Kuna issue ya kufungulia mabwawa ameleisi mwandishi mmoja, anasema hakuwepo na ni ngumu kufungulia mabwawa kwa sababu za kiusalama,ya kwamba haiwezekani, issue hapo ni kwamba yalifanyika ya kufungulia maji taratibu kwa lengo la kulowa levo za mabwawa hasa mtela,hawa wanataka kumprove wrong hayati Magufuli lakini wanaishia maneno mengi perform poor
 
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo unakatika na kusuasua,

Mkurugenzi hilo ni jipya kwakwe, gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme,wamebinafsisha customer care services, walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo?,wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,

Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine ni mnufaika,

Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,

Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.


Magufuli aliweza nini?sasa kama aliweza mbona tuna mgao sasa hivi?
 
Kuna issue ya kufungulia mabwawa ameleisi mwandishi mmoja, anasema hakuwepo na ni ngumu kufungulia mabwawa kwa sababu za kiusalama,ya kwamba haiwezekani, issue hapo ni kwamba yalifanyika ya kufungulia maji taratibu kwa lengo la kulowa levo za mabwawa hasa mtela,hawa wanataka kumprove wrong hayati Magufuli lakini wanaishia maneno mengi perform poor
Shujaa Magufuli ni mwanasayansi tofauti na zile degree za Sindimba!
 
Back
Top Bottom