mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa, wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP, wakati si kweli.
Kigoma wamezima majenerata, umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo la kigoma ni jipya kwakwe, kweli? Pia gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme, hapo Tanesco wamebinafsisha customer care services, hivi kweli walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo customer care?,wakawaboreshea maslahi na mikataba mizuri?, wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,
Hawa acha wamuingize chaka rais Samia, au pengine n na yeye ni mnufaika,
Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,
Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Kigoma wamezima majenerata, umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo la kigoma ni jipya kwakwe, kweli? Pia gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme, hapo Tanesco wamebinafsisha customer care services, hivi kweli walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo customer care?,wakawaboreshea maslahi na mikataba mizuri?, wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,
Hawa acha wamuingize chaka rais Samia, au pengine n na yeye ni mnufaika,
Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,
Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.