sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Naomba niseme kweli nayo kweli iniweke huru,sifileo simpendi Baba yangu hata akifa kama nitakuwa hai stoshiriki mazishi yake na hata nikishiriki ntamZika Kwa hasira.
Baba wa sifi Leo yupo hai, ni Dakitari bingwa wa binadamu, tajiri mmoja hapo jijini Dsm.
Sina haja ya kumzungumzia sana ila itoshe kusema yakuwa baba mzazi aliniandaa nimchukie Kwa kuto timiza wajibu wa ubaba dhidi yangu na mpaka leo Mimi na yeye ni paka na chui.
Nataka nikwambie wale wanangu wa kuchovya life sio kuloweka na kusepa unapo loweka tambua matokeo ya mloweko na uyatunze la sivyo fresh tumia kifao umwage upite hivi.
Sio agenda ya Leo hii ila Iko Siku ntaeleza kiundani Kwa Nini nipo tayari kati ya mzee wangu na andazi mi ntachagua andazi.
Ndugu zangu watanzania SIE sote hakuna anae penda kuisema mahiti kamwe,hasa marehemu hii ni Kwa sababu ya Mila na desturi zetu.
Binafsi niwe mkweli yakuwa Marehemu Magufuli sikukubaliana na Kila jambo aliro lifanya enzi za madaraka yake na sikusita na sikuogopa kumsema enzi za uhai wake nilisema na ninashukuru Kuna pahala nilimsema wazi wazi ila kwa kajina ka.Sifileo weeee ningetumia jina la kweli najua lazima angenizimisha hakika ingawa Mimi binafs Nina uamini uongozi wa Jamii forum yakuwa hata umfenyeje Max Mero hawezi disclose source ya andiko lolote
Big up kwako bwana mkubwa Max na Bwana Mushi na watendaji wote wa jukwaa Ili hakika mnatusitiri.
Pamoja na kutokunaliana na Kila jambo lake m kumsema lazima tukubaliane yapo mazuri alifanya mwana WA mawe mzira nkende!
Najiuliza ndani ya familia yake Magufuli hakuanda mtoto au ndugu hata mmoja wa kumtetea anapotumika visivyo?
Wiki tatu zilizo pita nilipata nafasi ya kujadiri jambo Ili na mmoja wa watu WA karbu aa marehemu nalo ni
Matumizi ya picha ya Rais Magufuli akiwa amevalia gwanda la jeshi kwenye kitabu Cha I am the State kama familia ililiridhia au la?
Jibu ni kuwa haikuridhia na hawajui lolote je Dora iliyopo madarakani Kwa Nini iruhusu picha ya Rais itumike Kwa matendo hasi tu aliyoyafanya na sio hasi na chanya?je Dora yausika?
Natambua Rais mkapa na magufuli yawezekkana ndo marahisi ambao hawajandaa familia za kuwasemea au kuwatetea.
Baba wa sifi Leo yupo hai, ni Dakitari bingwa wa binadamu, tajiri mmoja hapo jijini Dsm.
Sina haja ya kumzungumzia sana ila itoshe kusema yakuwa baba mzazi aliniandaa nimchukie Kwa kuto timiza wajibu wa ubaba dhidi yangu na mpaka leo Mimi na yeye ni paka na chui.
Nataka nikwambie wale wanangu wa kuchovya life sio kuloweka na kusepa unapo loweka tambua matokeo ya mloweko na uyatunze la sivyo fresh tumia kifao umwage upite hivi.
Sio agenda ya Leo hii ila Iko Siku ntaeleza kiundani Kwa Nini nipo tayari kati ya mzee wangu na andazi mi ntachagua andazi.
Ndugu zangu watanzania SIE sote hakuna anae penda kuisema mahiti kamwe,hasa marehemu hii ni Kwa sababu ya Mila na desturi zetu.
Binafsi niwe mkweli yakuwa Marehemu Magufuli sikukubaliana na Kila jambo aliro lifanya enzi za madaraka yake na sikusita na sikuogopa kumsema enzi za uhai wake nilisema na ninashukuru Kuna pahala nilimsema wazi wazi ila kwa kajina ka.Sifileo weeee ningetumia jina la kweli najua lazima angenizimisha hakika ingawa Mimi binafs Nina uamini uongozi wa Jamii forum yakuwa hata umfenyeje Max Mero hawezi disclose source ya andiko lolote
Big up kwako bwana mkubwa Max na Bwana Mushi na watendaji wote wa jukwaa Ili hakika mnatusitiri.
Pamoja na kutokunaliana na Kila jambo lake m kumsema lazima tukubaliane yapo mazuri alifanya mwana WA mawe mzira nkende!
Najiuliza ndani ya familia yake Magufuli hakuanda mtoto au ndugu hata mmoja wa kumtetea anapotumika visivyo?
Wiki tatu zilizo pita nilipata nafasi ya kujadiri jambo Ili na mmoja wa watu WA karbu aa marehemu nalo ni
Matumizi ya picha ya Rais Magufuli akiwa amevalia gwanda la jeshi kwenye kitabu Cha I am the State kama familia ililiridhia au la?
Jibu ni kuwa haikuridhia na hawajui lolote je Dora iliyopo madarakani Kwa Nini iruhusu picha ya Rais itumike Kwa matendo hasi tu aliyoyafanya na sio hasi na chanya?je Dora yausika?
Natambua Rais mkapa na magufuli yawezekkana ndo marahisi ambao hawajandaa familia za kuwasemea au kuwatetea.