Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Uwanja wa Ndege wa sasa wa Bukoba ulivyo ni uwanja hatarishi sana na hii ndege ya @precisionairtz kupata ajali ni ndege ya 4 . Zingine zimewahi pata ajali kwenye mawe kutokana na ufinyu wa uwanja...
10 Reactions
136 Replies
9K Views
Good afternoon jamiiforums Ndugu zangu mnaofanya kazi ubalozi wa Tanzania huko mjini Doha nchini Qatar, kombe la dunia la mwaka 2022 lipo njiani linakuja, tunaomba mjipange hata kama budget ni...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Ilani ya CCM inasema kwamba CCM itapambana na Rushwa na ufisadi kwa nguvu zake zote Sasa Hawa mawakala wa wanyonyaji wanatoka chama gani kama siyo ushamba tu wanaoulekeza yaani watu wengi...
0 Reactions
2 Replies
505 Views
Mwanasaikolojia Dr Elly amesema Elimu ya Tanzania hadi leo ni ile tuliyoletewa na Mkoloni ili waweze kututawala kirahisi. Ndio sababu hadi leo Mtanzania hujiona bora anapokuwa na rundo la Vyeti...
16 Reactions
78 Replies
4K Views
Ili kuweza kufikia kupanda na kukuza miti angalau bilioni 50 baada ya miaka kumi kutoka sasa, ambapo hali ya ukame inaweza kuwa ni mbaya zaidi kuwahi kutokea ni muda sahihi Serikali ikaazisha...
6 Reactions
78 Replies
3K Views
Ethiopia imeanza kuzalisha umeme kutoka kwenye bwawa kubwa zaidi la kuzalisha umeme barani Afrika maarufu kama 'Grand Ethiopian Renaissance Dam (Gerd)' likitarajiwa kuzalisha megawatts 5000 ambayo...
12 Reactions
40 Replies
6K Views
UMATI UCHAGUZI WA CCM NI SALAMU ZA SUNAMI 2024-2025. Shaka asema idadi hiyo kubwa inatokana na uongozi bora wa Rais Samia Asisitiza uchaguzi wa mwaka huu umevunja rekodi kwa kuwa haijawahi...
0 Reactions
4 Replies
697 Views
“Najua kuna Maafisa wa Usalama wa Taifa hapa kwenye Mkutano wetu Ruangwa, nawatuma wakamwambie Waziri Mkuu kuwa Zitto anasema maliza hofu Ruangwa. “Watu wako hawawezi kukupenda kama wana hofu ya...
12 Reactions
82 Replies
6K Views
KWA MKATABA MBOVU WA Tanzania Liquefied Natural Gas Project KWA MIAKA 30 IJAYO HATUTAKUWA NA GESI TANZANIA." Na, John Mnyika #NguvuYaKusini Songo Songo ya Lindi imewaathiri, limekuja bomba la...
30 Reactions
154 Replies
10K Views
Wasifu wa hawa Waheshimiwa Watatu niliowataja hapo Juu ni wa kipekee kwa kila mmoja wao na watabaki kuwa nao wao tu Mungu akikupa amekupa hauhitaji nguvu kubwa Mlale unono kesho Kanisani!
8 Reactions
67 Replies
5K Views
Kwa kuangalia kuanzia mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa daresalaam na wa chini yake kimuundo utagundua ni kama kuna mahali hapo sawa kwani dini moja imechukua hatamu nachojiuliza wengine hawakuwa na...
11 Reactions
150 Replies
9K Views
Huyu ni Maharage. Huyu ni Byabato
0 Reactions
7 Replies
587 Views
Maisha ni mipango. Na kila aliyefanikiwa leo ujue alipanga na kutekeleza mipango yake vizuri siku nyingi nyuma Leo Ethiopia wametangaza kutimiza malengo yao waliyojiwekea mwaka 2019 kupanda miti...
4 Reactions
61 Replies
3K Views
Ndugu zangu Natumai nyote muwazima wa afya Tunapoelekea katika Chaguzi za Jumuiya na Chama kama Vijana na wanachama tunao wajibu wa kukisaidia Chama na Jumuiya zake kupata Viongozi wenye sifa za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je ni kweli kuwa kile kikosi kazi kilichoundwa na Msajili wa Vyama kujadili Masuala ya Katiba Tume huru na Mikutano ya Vyama vya Siasa HAKIPO KISHERIA kutokana na kutotungiwa Sheria na BUNGE na...
3 Reactions
1 Replies
785 Views
Mbunge Luhaga Mpina Kada wa CCM anashambuliwa na wana CCM wenzake hadi kufikia kukatwa jina lake kugombea nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu yA tAIFA nEC kwa kosa la kusimamamia Ilani ya...
0 Reactions
9 Replies
743 Views
Tanzania usiposifia viongozi hata uwe na madaraka makubwa kiasi gani watatokea watu watakushambulia kwa maneno na matusi na mwisho watakuambia jitathimini Tumeshuhudia kwa Spika Ndugai licha ya...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
The power Game, Anaeweza kushika madaraka ndie yupo juu zaidi, Mfano kwa Nigeria kanda ya kaskazini wapo nyuma kielimu na kibiashara lakini linapokuja suala la Power wao ndio wameikamta na kuweza...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
PANGA LA NEC LAMFYEKA LUHAGA MPINA- JINA LAKE LAENGULIWA KUGOMBEA UJUMBE WA NEC. * Mambo 11 yaliyomponza yatajwa HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi imeliengua jina la Mbunge wa...
13 Reactions
122 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…