Katika kipindi cha awamu ya NNE serikali ilijiunga na mpango wa kidunia uitwao OPEN GOVERNMENT PARTNERSHIP (OGP) ambao ulikuwa unaweka uwazi wa shughuli mbalimbali za serikali kwa wananchi wake...
Naomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu...
Kwa hali aliyo nayo Makonda na aandikayo inaonyesha Makonda amechanganyikiwa.
Huyu bwana anayaona ya Sabaya yanakuja mbele yake. Na kwa akili zake hayamstahili na kwamba viongozi wakuu hawamtetei...
Leo kwenye ufunguzi wa hospitali ya taaluma na Tiba huko Pwani,nimeshangaa Makamu Wa Rais kufika kabla ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda!
Kiitifaki hii ikoje??
Source:TBC1
Tokea kuingia kwa serikali hii ya awamu ya 5 madarakani, tumekuwa tukiwasikia watawala wetu wakitwambia kuwa kipaumbele chao ni kataka kuleta maendeleo kwa kujenga viwanda 100 kila Mkoa
Hata...
Mzee Kikwete amewahi kumteua James Mbatia kuwa mbunge kadhalika Mrema kuwa Mwenyekiti wa Parole
Magufuli aliwateua hayati Mghwira kuwa RC, Profesa Mkumbo kuwa Katibu Mkuu na Utitiri wa Mawaziri...
Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake...
Ripoti ya ajali ya ndege ya awali imetoka. Yale yote yaliyokuwa yanapigiwa mapambio hakuna hata moja.
Sio Majaliwa au kuvunja mlango kwa kutumia kasia kama alivyo kueleza msaidizi wako mkuu...
Naam!
Huo ndio Ukweli,mmeuweka Ubunge wenu Rehani!
Wenyewe mmeshuhudia kilichotokea baada ya kujitokeza na kuleta Porojo za kimkashifu Dkt Bashiru!
Kisa tu,amesema Ukweli wake,kwamba ma-Chawa...
Wakuu salaa,
Ukiirejea speech ya Rais alisema kamuondoa kalemani ajili ya utendaji mbovu, lakini ukitizama yanayoendelea wizara ya nishati utagundua makamba kapwaya kuliko mtangulizi wake.
Kama...
'Tanzania, kutoka kuwa ndovu kuja kuwa kunguni'.
Hakika Tanzania katika ushawishi wa kidiplomasia Afrika, duniani, imekuwa si chochote. Jana, mkataba muhimu wa amani baina ya Ethiopia na...
Kwenye video Hayati Magufuli anasema alimtoa Bashiru Ally CUF na kumleta CCM, hivyo basi wanaomlaumu Bashiru hawamtendei haki. Yeye siyo mwanachama wao.
Magufuli aliharibu sana misingi ya CCM
Nipo naangalia kipindi cha clouds 360 na namsikia mmoja wa watangazaji wake ndugu Ngoma akidai kwamba amewasiliana na TRA kuhusu yale magari yaliyoibuliwa jana na PM.
Ngoma anasema kwa mujibu wa...
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru kwa amri ya amiri jeshi mkuu wa majeshi yote Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,
Karibu tena uraiani,Sisi Watanzania kwa sasa ni wamoja...
Nayasema haya si kwa kubahatisha,nimefanya uchunguzi karibu nchi nzima kujiridhisha, nafasi hizi zimejaa wengi wao matajiri na wafanyabiashara wakubwa ambao hawana kabisa ufahamu kabisa wa masuala...
Kabla ya kuropoka mbele ya media tupime kwanza athari za tamko husika.
Wabunge wanaoteuliwa na Rais ndio wenye Heshima ya Juu kabisa kwa sababu anayewateua amepigiwa kura na makundi yote ya...
Sis wakazi wa Dar bila umeme ni sawa na kutupwa jehenam ukiwa hai. Yaani kwa sasa hatulali usiku maana kuna joto balaa.
Ukiweka kitu kwenye fridge kinaoza maana umeme umekuwa wa mgao na hawa...
Habari za asubuhi
Nakupa ushauri wa mapema kabisa nimeona wakijitokeza wengi wanaojifanya "machawa" kuwa nao makini sana usije ukachukua maamuzi ya kubomoa badala ya kujenga.
Zile siasa za...