Wakuu salaa,
Ukiirejea speech ya Rais alisema kamuondoa kalemani ajili ya utendaji mbovu, lakini ukitizama yanayoendelea wizara ya nishati utagundua makamba kapwaya kuliko mtangulizi wake.
Kama kweli utendaji mbovu ndo kigezo cha kumuondoa mtu, basi rais tuondolee makamba, vinginevyo utatufanya tutaamini, Makamba ni waziri wa mchongo na wala Kalemani hakuondolewa kwa utendaji mbovu.
Ukiirejea speech ya Rais alisema kamuondoa kalemani ajili ya utendaji mbovu, lakini ukitizama yanayoendelea wizara ya nishati utagundua makamba kapwaya kuliko mtangulizi wake.
Kama kweli utendaji mbovu ndo kigezo cha kumuondoa mtu, basi rais tuondolee makamba, vinginevyo utatufanya tutaamini, Makamba ni waziri wa mchongo na wala Kalemani hakuondolewa kwa utendaji mbovu.