Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,144
Kwa hali aliyo nayo Makonda na aandikayo inaonyesha Makonda amechanganyikiwa.
Huyu bwana anayaona ya Sabaya yanakuja mbele yake. Na kwa akili zake hayamstahili na kwamba viongozi wakuu hawamtetei wamemuacha akiwa kasahau yafuatayo;
Hiyo ndiyo sababu Wakuu wamekaa mbali naye ukiacha mengine aliyowatenda wananchi.
Hali hii ya Makonda (stress ) ni rahisi kujidhuru, na huyu kwa akili zake sio wa kunywa sumu ya panya afe au kujinyonga. Kwa kiwango cha "uharamia" alichofikia lazima atajitoa Muhanga.
Je anaweza kujitoa muhanga sokoni? La hasha ni mbele ya wakubwa anaoona wamemkwamisha.
Asiruhusiwe kuwakaribia na atafutiwe mshauri.
NI USHAURI TUU
Huyu bwana anayaona ya Sabaya yanakuja mbele yake. Na kwa akili zake hayamstahili na kwamba viongozi wakuu hawamtetei wamemuacha akiwa kasahau yafuatayo;
- Alimchapa makofi Makamu wa Rais na Waziri mkuu mstaafu Warioba kosa la aina yake duniani.
- Alimdharau PM Majaliwa hadi akawa mnyonge mbele zake.
- Alimfedhehesha Katibu mkuu Chongolo hadharani na kumkejeli kwa aibu kubwa.
Hiyo ndiyo sababu Wakuu wamekaa mbali naye ukiacha mengine aliyowatenda wananchi.
Hali hii ya Makonda (stress ) ni rahisi kujidhuru, na huyu kwa akili zake sio wa kunywa sumu ya panya afe au kujinyonga. Kwa kiwango cha "uharamia" alichofikia lazima atajitoa Muhanga.
Je anaweza kujitoa muhanga sokoni? La hasha ni mbele ya wakubwa anaoona wamemkwamisha.
Asiruhusiwe kuwakaribia na atafutiwe mshauri.
NI USHAURI TUU