Wewe ni sawa na kekundu....uko kama popo🤣🤣🤣Mtanikumbuka
2025 imekaribia akili zimeanza kurudiNaona mmoja mmoja wanaanza kuamka sasa, wale kina Kigwangala na Lusinde iko siku wataona aibu tu, Rais lazima aambiwe ukweli ili kumuamsha ajue changamoto zilizo mbele yake na namna ya kuzikabili, kusifia sana kunadumaza akili.
Muhumba😅Pongezi kwako Mtoto wa Boma Primary,Ilala kwa kulisemea hili ,BARIKIWA
Hahaha.........!Wewe ni sawa na kekundu....uko kama popo🤣🤣🤣
Lema asingeweza2025 imekaribia akili zimeanza kurudi
Mpuuzi wewe unaujua mziki wakeLema asingeweza
Achana na nabii Lema weweLema asingeweza
Makini sanaNaona mmoja mmoja wanaanza kuamka sasa, wale kina Kigwangala na Lusinde iko siku wataona aibu tu, Rais lazima aambiwe ukweli ili kumuamsha ajue changamoto zilizo mbele yake na namna ya kuzikabili, kusifia sana kunadumaza akili.
Kwa namna Gambo alivyoongea na jinsi alivyoshangiliwa na wananchi wengi kwa sauti kubwa hivyo, naamini huu ni wakati mzuri kwa Samia kujiuliza kama kweli anaona Makamba bado anafaa kwenye hiyo wizara.