wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,148
Nayasema haya si kwa kubahatisha,nimefanya uchunguzi karibu nchi nzima kujiridhisha, nafasi hizi zimejaa wengi wao matajiri na wafanyabiashara wakubwa ambao hawana kabisa ufahamu kabisa wa masuala ya siasa zaidi ya biashara,hii imepelekea wanaccm wafiia chama kushindwa kupenya.
Hii CCM ya sasa au inayoundwa na kina Kinana ni ya ubavu wa pesa.
Je, bado wananchi waweke matumaini kwa hiki chama?
Kwanini hao matajiri wasianzishe chama chao cha matajiri wanakimbilia CCM kunanini?,
Yanayoendelea ndani ya CCM kwa sasa si falsafa,itikadi na malengo ya kuanzishwa kwake
Imani yangu NEC taifa ndio injini ya nchi sasa imejaa wafanyabiashara, hatutauzwa kweli? Nchi itabakia kuwa ya wachuuzi na si wazalishaji mali.
Hata mtawala atakayepatikana kupitia hii NEC taifa atakuwa influenced na hili tabaka la wafanyabiashara kupitiaha mambo yao.
Shime wananchi watanzania wote bila kujali itikadi ya vyama vyetu, ikifika 2025 tuwakatae hawa wahuni kwa gharama yoyote ile.
Hii CCM ya sasa au inayoundwa na kina Kinana ni ya ubavu wa pesa.
Je, bado wananchi waweke matumaini kwa hiki chama?
Kwanini hao matajiri wasianzishe chama chao cha matajiri wanakimbilia CCM kunanini?,
Yanayoendelea ndani ya CCM kwa sasa si falsafa,itikadi na malengo ya kuanzishwa kwake
Imani yangu NEC taifa ndio injini ya nchi sasa imejaa wafanyabiashara, hatutauzwa kweli? Nchi itabakia kuwa ya wachuuzi na si wazalishaji mali.
Hata mtawala atakayepatikana kupitia hii NEC taifa atakuwa influenced na hili tabaka la wafanyabiashara kupitiaha mambo yao.
Shime wananchi watanzania wote bila kujali itikadi ya vyama vyetu, ikifika 2025 tuwakatae hawa wahuni kwa gharama yoyote ile.