Chadema ndio Chama cha Wafanyabiashara
Ndio sababu ukiwagusa tu Wakulima CCM nzima inaingia kazini
Nadhani mmeona Wenyewe huku Bashiru kule Bashe na wote hawa wanawatetea Wakulima kwa Moyo...
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame M. Mbarawa ametangaza mkakati wa ujenzi wa barabara mpya kwa kushirikiana na sekta binafsi kutoka Dar es Salaam – Chalinde hadi Morogoro yenye urefu wa...
Licha ya Serikali kuwa chombo kinachoitwaTAKUKURU lakini imeshindwa kabisa kukomesha gonjwa rushwa mpaka ndani ya chama tawala CCM
Kwa uchunguzi wa haraka haraka ni sahihi kusema ndani ya CCM...
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!
CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui...
Waziri wa kilimo mh Bashe amemhakikishia mh Rais Samia kwamba hakuna Mwananchi atakayekufa njaa kwa sababu Serikali ina akiba ya kutosha ya Chakula.
Bashe amesema hayo huko Kondoa mbele ya...
Hizi ni salamu kutoka kwa gwiji la Siasa za Tanzania. Ametumikia chama tawala na aliongoza Chadema. Amezitoa salamu wakati Rais Samia Leo hii, akiwa ziara Mkoa wa Manyara.
Anasema kwa tathmini...
Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?
Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka...
Bila shaka MVIWATA Wana ajenda ya kisiasa, na Wana Wana Siasa wao ambao wanaitumia taasisi hiyo kwa malengo ya kisiasa ya kuharibu amani na utangamano.
Taasisi hii inawatumia wakulima kama chambo...
Nchi imekwama, kila kitu kimekwama, si maji wala umeme, si mvua wala chakula, si biashara wala viwanda,
Kila unapogusa pa moto,
Alipoteuliwa huyu dada yetu jina kapuni kwenda kukaa Ikulu yetu...
Niko pwani, eti nikitaka mbolea ya Ruzuku niifate Dar? Na unatonywa kisiri siri?
Mbolea inakaaje kwenye magodauni ya Dares alam ili hali inapaswa ikatumike Kwa wakulima waliolo Pwani?
Mh...
Katika taarifa yake Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema bado msimamo wake uko palepale na hakitashiriki chaguzi ndogo zitakazofanyika Desemba 17, 2022 katika maeneo mbalimbali nchini...
Leo Novemba 22,2022. Rais Samia Suluhu amezindua ghala lenye uwezo wa kuhifadhi nafaka tani 25,000 pamoja na vihenge vyenye uwezo wa kuhifadhi tani 15,000 ambavyo vyote kwa pamoja vina uwezo wa...
Rais Samia ameelemewa amechoshwa na kundi la wanyonyaji wanaojipendekeza kwake ili wapendelewe kwenye biashara zao Hali hii Samia na wenye nchi hawapendezwi nayo hata kidogo Taifa linalea vijana...
Kuna vitu tunapishana:
1. Ukweli wa alichokisema Bashiru
2. Dhamira ya Bashiru katika kuema alichokisema
1. Namba moja hapo juu ni kuwa Bashiru kasema ukweli mtupu, tena mkali kweli kweli. Lakini...
Mheshimiwa Rais, hakika umeonyesha ukikasirika hutaki utani, umeonyesha hasira zako na ukuu wa Cheo chako.
Mama yetu mpendwa, naamini baada ya kumjibu ndugu Ndugai umemaliza na unaendelea kuchapa...
Salaam Wakuu,
Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi".
Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi.
Utawala uliteneza...
Salamu kwako Lemutu Baharia.
Nakushauri 2025 chukua fomu ya ubunge kwa chama utakachoamua katika jimbo la Mtera.
Asubuhi na mapema kabla jua halijachomoza, utakuwa umempiga chini Lusinde...
Imeshakuwa kawaida kumshambulia mtu anayekwenda kinyume na utaratibu wetu wa kila siku.
Mikopo isiyokuwa katika mipango waliopinga, mijitu yoote iliwageukia wakasahau umeme unakatika, pembejeo...