Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chadema ndio Chama cha Wafanyabiashara Ndio sababu ukiwagusa tu Wakulima CCM nzima inaingia kazini Nadhani mmeona Wenyewe huku Bashiru kule Bashe na wote hawa wanawatetea Wakulima kwa Moyo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame M. Mbarawa ametangaza mkakati wa ujenzi wa barabara mpya kwa kushirikiana na sekta binafsi kutoka Dar es Salaam – Chalinde hadi Morogoro yenye urefu wa...
7 Reactions
41 Replies
4K Views
Licha ya Serikali kuwa chombo kinachoitwaTAKUKURU lakini imeshindwa kabisa kukomesha gonjwa rushwa mpaka ndani ya chama tawala CCM Kwa uchunguzi wa haraka haraka ni sahihi kusema ndani ya CCM...
3 Reactions
3 Replies
571 Views
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!" Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla! Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi! Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo! CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui...
29 Reactions
105 Replies
6K Views
Waziri wa kilimo mh Bashe amemhakikishia mh Rais Samia kwamba hakuna Mwananchi atakayekufa njaa kwa sababu Serikali ina akiba ya kutosha ya Chakula. Bashe amesema hayo huko Kondoa mbele ya...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Hizi ni salamu kutoka kwa gwiji la Siasa za Tanzania. Ametumikia chama tawala na aliongoza Chadema. Amezitoa salamu wakati Rais Samia Leo hii, akiwa ziara Mkoa wa Manyara. Anasema kwa tathmini...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini? Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka...
22 Reactions
182 Replies
13K Views
Bila shaka MVIWATA Wana ajenda ya kisiasa, na Wana Wana Siasa wao ambao wanaitumia taasisi hiyo kwa malengo ya kisiasa ya kuharibu amani na utangamano. Taasisi hii inawatumia wakulima kama chambo...
0 Reactions
11 Replies
845 Views
Nchi imekwama, kila kitu kimekwama, si maji wala umeme, si mvua wala chakula, si biashara wala viwanda, Kila unapogusa pa moto, Alipoteuliwa huyu dada yetu jina kapuni kwenda kukaa Ikulu yetu...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Niko pwani, eti nikitaka mbolea ya Ruzuku niifate Dar? Na unatonywa kisiri siri? Mbolea inakaaje kwenye magodauni ya Dares alam ili hali inapaswa ikatumike Kwa wakulima waliolo Pwani? Mh...
0 Reactions
0 Replies
336 Views
Katika taarifa yake Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema bado msimamo wake uko palepale na hakitashiriki chaguzi ndogo zitakazofanyika Desemba 17, 2022 katika maeneo mbalimbali nchini...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Leo Novemba 22,2022. Rais Samia Suluhu amezindua ghala lenye uwezo wa kuhifadhi nafaka tani 25,000 pamoja na vihenge vyenye uwezo wa kuhifadhi tani 15,000 ambavyo vyote kwa pamoja vina uwezo wa...
0 Reactions
1 Replies
924 Views
Rais Samia ameelemewa amechoshwa na kundi la wanyonyaji wanaojipendekeza kwake ili wapendelewe kwenye biashara zao Hali hii Samia na wenye nchi hawapendezwi nayo hata kidogo Taifa linalea vijana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Msiombe Mwanafamilia kusimama aseme Ukweli na kukemea maovu yanayoendelea ndani ya familia Unaambiwa utaitwa Kila jina, mchawi wewe, huna shukran wewe, msaliti wewee n.k !! Ndiyo...
0 Reactions
6 Replies
834 Views
Kuna vitu tunapishana: 1. Ukweli wa alichokisema Bashiru 2. Dhamira ya Bashiru katika kuema alichokisema 1. Namba moja hapo juu ni kuwa Bashiru kasema ukweli mtupu, tena mkali kweli kweli. Lakini...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Wadau Nawasalimu, Naomba kujua mishahara posho na mafao wayapatayo wabunge wetu. Sambamba na hilo, naomba kujua kodi wanazokatwa kwenye mishahara posho na mafao yao.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mheshimiwa Rais, hakika umeonyesha ukikasirika hutaki utani, umeonyesha hasira zako na ukuu wa Cheo chako. Mama yetu mpendwa, naamini baada ya kumjibu ndugu Ndugai umemaliza na unaendelea kuchapa...
0 Reactions
7 Replies
762 Views
Salaam Wakuu, Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi". Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi. Utawala uliteneza...
9 Reactions
115 Replies
6K Views
Salamu kwako Lemutu Baharia. Nakushauri 2025 chukua fomu ya ubunge kwa chama utakachoamua katika jimbo la Mtera. Asubuhi na mapema kabla jua halijachomoza, utakuwa umempiga chini Lusinde...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Imeshakuwa kawaida kumshambulia mtu anayekwenda kinyume na utaratibu wetu wa kila siku. Mikopo isiyokuwa katika mipango waliopinga, mijitu yoote iliwageukia wakasahau umeme unakatika, pembejeo...
1 Reactions
1 Replies
313 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…