Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Mhe. Victoria Mwanziva akiambatana na kamati ya Usalama, Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya Ludewa, na Mbunge wa Jimbo la Ludewa wameupokea Mwenge wa Uhuru ambao...
0 Reactions
3 Replies
719 Views
Watu wa vijinini hawana uhakika wa huduma za afya na maji ya uhakika. Kati ya watu kumi ni mmoja tu anaweza kuwa na smart phone huko vijjini. Hizi pesa kwa nini zisitumike kwa mambo ya muhimu
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakati Kristo Yesu alipochagua kuingia nyumbani"Sebuleni" mwa Mtoza Ushuru Zakayo hakuna ambaye aliamini na wengi walipigwa na butwaa, imekuwaje Kristo Yesu kaingia kwenye nyumba ya Mtoza...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Nilibahatika kuzalisha nikiwa kidato Cha NNE, ila sio rikziki kapo kakike ila kutoka Moro mpaka kuolewa Zanzibari kwangu nahesabu sio RIZIKI. Nimezunguka kati ya nyumba nzuri hapa Marangu mtoni...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Wote tunajua Zitto Kabwe alimpigia kampeni za Urais Tundu Antipas Lissu mwaka 2020 badala ya mgombea wa ACT Wazalendo mzee Membe. Japo Wassira anasema Tanzania inafanya Siasa za Unafiki lakini...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
MHE. MARTHA GWAU MGENI RASMI KWENYE KONGAMANO LA WANAWAKE CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA CAMPUS YA SINGIDA. Mhe. Martha Nehemia Gwau Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Singida amekuwa mgeni Rasmi kwenye...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Ninafuatilia kwenye runinga tukio la kuuaga mwili wa aliyekuwa mtumishi wa serikali na mwanadiplomasia mbobezi ndg Bernard Membe. Ninawiwa kuwaasa viongozi wetu wa serikali, bunge na mahakama...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Mbunge mwenye akili kubwa Jummanne Kishimba amewatolea uvivu Wataalamu uchwara wa Tanzania ambao wanataka kufunga Ziwa Tanganyika na Victoria Kwa visingizio vya Samaki Kupungua. Amesema Samaki...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wazee wa Rondo nyumbani kwao Membe wamesema wanaiomba Serikali iwatengee Muda mchache wa kusema maneno ya kimila yatakayosemwa kwa lugha ya Kimwera kumuaga Chifu wao Mwinyi Membe Wazee wamesema...
11 Reactions
66 Replies
5K Views
Ndiyo! Nchi ishavurugwa sana hii. Narudia, wasiokuwa na connection wataendelea kusota sana! Kuna kipindi hapo nyuma nilisoma post ya Mbasha akidai kuwa Waziri wa afya alimsaidia akapata matibabu...
1 Reactions
11 Replies
970 Views
KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema dhamira yake kubwa ya kuwa kwenye ulingo wa siasa ni kuwa Rais wa Tanzania atakayeibadilisha nchi pale ilipo na kupiga hatua kubwa...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Waziri wa Habari mh Nape Nnauye ndiye atakeyezungumza kwa niaba ya Familia ya marehemu Membe kwenye Ibada ya kuaga mwili wa marehemu Nape na Kasesela ni vijana waliokuzwa na Membe kisiasa na...
5 Reactions
35 Replies
4K Views
Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana. Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Kuna watu walifurahia kifo cha Rais wetu kipenzi Magufuli na kumsimanga. Ila kwa mema yake aliyolitendea Taifa watu wengi wanamtetea dhidi ya hao wabaya wake na wanajuta kwanini alifariki mapema...
5 Reactions
14 Replies
598 Views
Wewe ni mtu mnyenyekevu sana. Ndani na nje ya uongozi unaheshimu watu wote na unauzalendo wa kweli. Ni maombi yangu kwa mwenyezi Mungu akuinue zaidi uwe bora na mwenye kupendwa na watu wote...
2 Reactions
1 Replies
448 Views
Huwezi kuwa mwanasiasa au kiongozi serious unaitisha mkutano wa waandishi wa habari halafu unaanza kutishia una majina yako mfukoni ya watu mashuhuri sijui ya watu mafisadi, wanahujumu nchi...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
by William Malecela on Saturday, May 14, 2011 Ni lazima tukubaliane kwanza kwamba watoto wa viongozi wa Tanzania ambao wengi wameanza kuingia kwenye siasa na kushika nafasi mbalimbali wana haki...
16 Reactions
386 Replies
35K Views
Lowassa aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA..... ,Babu Duni aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea...
18 Reactions
412 Replies
51K Views
Wanazuoni wanasema akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa. Tundu Lissu aliwambia CCM kuwa kwa matendo ya ukatili ambao Magufuli anawatendea wapinzani hakuna aliye salama, na wakimalizana na...
19 Reactions
54 Replies
3K Views
- Freeman Haikaeli Mbowe au kama tunavyomuita mtaani "MCHAGGA" ni rafiki yangu wa karibu sana sana nimemfahamu toka utotoni na ndio maana mpaka leo ninamuheshimu sana kwani ni mmmoja wa Binadam...
14 Reactions
99 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…