Kwa mfano Prof Mbarawa kauliza ni lini Serikali ilisema itanunua treni ya High speed?
Na kiukweli Serikali haikuwahi kusema hivyo hata yule " Mjusi" aliyemsema shujaa Magufuli Siyo wa high...
Umewahi kujiuliza kwanini vyama vya siasa hupoteza mvuto au kufa kabisa na vinaibuka vyama vingine ambavyo huchukua nafasi hiyo na kuwa na nguvu ambayo haukuwahi kufikiwa?
Yawezekana sio mara...
Uongo ni vichekesho siku zote kwa mwerevu. Yaani unaanza safari za masafa mafupi halafu unaanza kuleta behewa za masafa marefu kweli!?
Semeni tu ukweli behewa ndio zile na kichwa huenda ni kile...
Rais Samia ana bidii kubwa katika kufanya kazi lakini siyo kwa sababu zilezile za Magufuli. Wanafanya kazi ambayo kimsingi ni ni ile ile lakini kwa sababu tofauti
Nimeona sometimes watu...
Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini. Au kikuu.com Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au...
Kuna video inatembea mtandaoni ikimuonesha aliyekuwa kamanda Mkuu wa Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro ambaye kwa sasa ni
Mkurugenzi mkuu wa Takukuru bwana Salumu Hamduni akimpa tuzo ya heshima...
Kuna wakati hawa wanaojiita viongozi wa Upinzani ni kama wanatumiwa na wapiga dili kwa namna moja au nyingine
Kwa mfano, huu ni wakati muafaka wa Tundu Lisu kuanzisha mjadala wa uraia wa Watoto...
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini...
Waziri mkuu wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa leo amewasili Chato kwenda kumsalimia mama wa hayati rais Magufuli ambaye ni mgonjwa kwa muda mrefu, pia Mh Majaliwa ataenda kuangalia kaburi la Hayati...
Amani iwe nanyi.
Ikiwa leo tarehe 16/7/2020 Waziri wa zamani wa mambo ya nje Mh Bernard Membe anatangazwa rasmi kujiunga na chama cha ACT Wazalendo ambapo bila shaka atapewa ridhaa ya kuwania...
Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh Job Ndugai wakati akihojiwa na kituo cha luninga kuhusu wabunge wa Chadema kukataa kuingia bungeni kwa madai ya kukwepa Corona amemshukia kama...
Tanzania ambayo ni nchi inayoongoza kwa kupambana na rushwa barani Afrika ,kupitia wizara ya mambo ya nje imelaani vikali mauaji yanayoendelea nchini Marekani ikiwemo ukiukaji mkubwa wa haki za...
Habari
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola alishawahi kusema moja ya sababu ya kesi ya kupigwa risasi Lisu kukwama ni pamoja na shahidi namba moja wa tukio hilo ambaye ni dereva wa Lisu...
Nikiwa shuleni kwa muda mref sana sikuweza kupata rafiki wa kike katika shule yetu ya mchanganyiko. Rafiki zangu wote walikuwa na girl friends. Siku moja rafiki yangu mmoja akaniambia, ukitaka...
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.
Vyama vya upinzani kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni rais Magufuli,!
Cuf...
Hili suala siyo kabisa, kwanza ni aibu kwa halmashauri na uongozi wa CCM na serikali kwa ujumla. Huwezi lazimisha mtu kuwa CCM, kila mtu ana itikadi yake ya kisiasa.
Acheni ubaguzi, siyo kila...
Alisema TARURA, TANROAD na RUWASA ni vyema zikaanza utaratibu wa kufanya tathmini baada ya kumaliza taratibu za kutoa zabuni kwa makandarasi ili kupima mchakato ulivyokwenda na kuona kama kulikuwa...
Sasa tuamini la mbunge wa Jimbo gani Mtera au Geita Vijijini
Ninachofahamu Wasukuma ni Watu Wasafi wanaopenda kuoga na kufua mara kwa mara tofauti na Wagogo
Niishie hapo!
Mkoa wa Mbeya umatajwa kuwa na changamoto ya kufuta ujinga, ambapo wanafunzi 1,566 kati ya 56,763 wa darasa la nne wameripotiwa kutojua kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK) katika shule za msingi...
aliteuliwa tar 26 februali na kutumbuliwa tar 31 march! kwani mama alimuondoa haraka sana je alikuwa kirusi? kwa nini hakumpa muda hata wa mwaka mmoja kuna mahali huenda hawakuwa sawa hata kabla...