Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mfano Prof Mbarawa kauliza ni lini Serikali ilisema itanunua treni ya High speed? Na kiukweli Serikali haikuwahi kusema hivyo hata yule " Mjusi" aliyemsema shujaa Magufuli Siyo wa high...
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Umewahi kujiuliza kwanini vyama vya siasa hupoteza mvuto au kufa kabisa na vinaibuka vyama vingine ambavyo huchukua nafasi hiyo na kuwa na nguvu ambayo haukuwahi kufikiwa? Yawezekana sio mara...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Uongo ni vichekesho siku zote kwa mwerevu. Yaani unaanza safari za masafa mafupi halafu unaanza kuleta behewa za masafa marefu kweli!? Semeni tu ukweli behewa ndio zile na kichwa huenda ni kile...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Rais Samia ana bidii kubwa katika kufanya kazi lakini siyo kwa sababu zilezile za Magufuli. Wanafanya kazi ambayo kimsingi ni ni ile ile lakini kwa sababu tofauti Nimeona sometimes watu...
4 Reactions
6 Replies
712 Views
Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini. Au kikuu.com Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au...
16 Reactions
80 Replies
8K Views
Kuna video inatembea mtandaoni ikimuonesha aliyekuwa kamanda Mkuu wa Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi mkuu wa Takukuru bwana Salumu Hamduni akimpa tuzo ya heshima...
13 Reactions
128 Replies
12K Views
Kuna wakati hawa wanaojiita viongozi wa Upinzani ni kama wanatumiwa na wapiga dili kwa namna moja au nyingine Kwa mfano, huu ni wakati muafaka wa Tundu Lisu kuanzisha mjadala wa uraia wa Watoto...
1 Reactions
12 Replies
876 Views
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake. Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini...
10 Reactions
95 Replies
7K Views
Waziri mkuu wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa leo amewasili Chato kwenda kumsalimia mama wa hayati rais Magufuli ambaye ni mgonjwa kwa muda mrefu, pia Mh Majaliwa ataenda kuangalia kaburi la Hayati...
35 Reactions
243 Replies
23K Views
Amani iwe nanyi. Ikiwa leo tarehe 16/7/2020 Waziri wa zamani wa mambo ya nje Mh Bernard Membe anatangazwa rasmi kujiunga na chama cha ACT Wazalendo ambapo bila shaka atapewa ridhaa ya kuwania...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh Job Ndugai wakati akihojiwa na kituo cha luninga kuhusu wabunge wa Chadema kukataa kuingia bungeni kwa madai ya kukwepa Corona amemshukia kama...
2 Reactions
36 Replies
5K Views
Tanzania ambayo ni nchi inayoongoza kwa kupambana na rushwa barani Afrika ,kupitia wizara ya mambo ya nje imelaani vikali mauaji yanayoendelea nchini Marekani ikiwemo ukiukaji mkubwa wa haki za...
5 Reactions
36 Replies
6K Views
Habari Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola alishawahi kusema moja ya sababu ya kesi ya kupigwa risasi Lisu kukwama ni pamoja na shahidi namba moja wa tukio hilo ambaye ni dereva wa Lisu...
3 Reactions
80 Replies
7K Views
Nikiwa shuleni kwa muda mref sana sikuweza kupata rafiki wa kike katika shule yetu ya mchanganyiko. Rafiki zangu wote walikuwa na girl friends. Siku moja rafiki yangu mmoja akaniambia, ukitaka...
0 Reactions
0 Replies
493 Views
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu. Vyama vya upinzani kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni rais Magufuli,! Cuf...
10 Reactions
59 Replies
5K Views
Hili suala siyo kabisa, kwanza ni aibu kwa halmashauri na uongozi wa CCM na serikali kwa ujumla. Huwezi lazimisha mtu kuwa CCM, kila mtu ana itikadi yake ya kisiasa. Acheni ubaguzi, siyo kila...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Alisema TARURA, TANROAD na RUWASA ni vyema zikaanza utaratibu wa kufanya tathmini baada ya kumaliza taratibu za kutoa zabuni kwa makandarasi ili kupima mchakato ulivyokwenda na kuona kama kulikuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sasa tuamini la mbunge wa Jimbo gani Mtera au Geita Vijijini Ninachofahamu Wasukuma ni Watu Wasafi wanaopenda kuoga na kufua mara kwa mara tofauti na Wagogo Niishie hapo!
1 Reactions
1 Replies
298 Views
Mkoa wa Mbeya umatajwa kuwa na changamoto ya kufuta ujinga, ambapo wanafunzi 1,566 kati ya 56,763 wa darasa la nne wameripotiwa kutojua kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK) katika shule za msingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
aliteuliwa tar 26 februali na kutumbuliwa tar 31 march! kwani mama alimuondoa haraka sana je alikuwa kirusi? kwa nini hakumpa muda hata wa mwaka mmoja kuna mahali huenda hawakuwa sawa hata kabla...
0 Reactions
4 Replies
489 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…