Kuelekea Septemba 7: Lissu njoo na dereva wako ili ahojiwe na Polisi

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,668
15,067
Habari

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola alishawahi kusema moja ya sababu ya kesi ya kupigwa risasi Lisu kukwama ni pamoja na shahidi namba moja wa tukio hilo ambaye ni dereva wa Lisu kufichwa.!

Ikumbukwe mara tu baada ya Lisu kupigwa risasi, dereva alikimbizwa Nairobi na pale IGP Sirro alipomuhitaji mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe alijitokeza na kusema dereva huyo hawezi kuhojiwa na polisi kwa sababu anatibiwa kisaikolojia baada ya kushuhudia milio ya risasi, hata hivyo baada ya Lisu kupelekwa Ulaya dereva alienda pia bila kuelezwa kama amepona ugonjwa wa kisaikolojia au la.

Naam, baada ya Lisu kutangaza kurejea nchini tarehe 7 mwezi ujao bila shaka atakuja na dereva wake ili aweze kukamatwa na kuhojiwa na polisi ili aeleze kilitokea nini hasa siku hiyo ya kupigwa risasi Lisu..
 
Polisi gani wanaotaka kuhoji? Hawa polisi wanaoongozwa na wasiojulikana kina Musiba?Au Kuna polisi wengine wanaowajibika kwa Watanzania maana hawa waliopo ni uvccm wanaopanga kukatakata wapinzani wa mkulu. Fafanua ni polisi gani wanaotaka kujichunguza? Yani hawa wanaotaka kwenda kumtesa dereva na kummaliza ili asitoe ushahidi? Labda mahakama ndio iende ikamuhoji hawa kina Musiba
 
Polisi gani wanaotaka kuhoji? Hawa polisi wanaoongozwa na wasiojulikana kina Musiba?Au Kuna polisi wengine wanaowajibika kwa Watanzania maana hawa waliopo ni uvccm wanaopanga kukatakata wapinzani wa mkulu. Fafanua ni polisi gani wanaotaka kujichunguza? Yani hawa wanaotaka kwenda kumtesa dereva na kummaliza ili asitoe ushahidi? Labda mahakama ndio iende ikamuhoji hawa kina Musiba
Kama unaogopa polisi watamkatakata basi siku ya kuhojiwa nenda nae
 
Habari

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola alishawahi kusema moja ya sababu ya kesi ya kupigwa risasi Lisu kukwama ni pamoja na shahidi namba moja wa tukio hilo ambaye ni dereva wa Lisu kufichwa.!

Ikumbukwe mara tu baada ya Lisu kupigwa risasi, dereva alikimbizwa Nairobi na pale IGP Sirro alipomuhitaji mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe alijitokeza na kusema dereva huyo hawezi kuhojiwa na polisi kwa sababu anatibiwa kisaikolojia baada ya kushuhudia milio ya risasi, hata hivyo baada ya Lisu kupelekwa Ulaya dereva alienda pia bila kuelezwa kama amepona ugonjwa wa kisaikolojia au la.

Naam, baada ya Lisu kutangaza kurejea nchini tarehe 7 mwezi ujao bila shaka atakuja na dereva wake ili aweze kukamatwa na kuhojiwa na polisi ili aeleze kilitokea nini hasa siku hiyo ya kupigwa risasi Lisu..
Swali kwa aliye Kutuma mwambie na CAMERA zile za pale Nyumba za bunge tuzikute!!!
 
huenda dereva hats leseni hana anaogopa kesi ndani yakesi kama nikamanda km wanavoirana anaogopa non kuhojiwa?
Habari
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola alishawahi kusema moja ya sababu ya kesi ya kupigwa risasi Lisu kukwama ni pamoja na shahidi namba moja wa tukio hilo ambaye ni dereva wa Lisu kufichwa.!
Ikumbukwe mara tu baada ya Lisu kupigwa risasi, dereva alikimbizwa Nairobi na pale IGP Sirro alipomuhitaji mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe alijitokeza na kusema dereva huyo hawezi kuhojiwa na polisi kwa sababu anatibiwa kisaikolojia baada ya kushuhudia milio ya risasi, hata hivyo baada ya Lisu kupelekwa Ulaya dereva alienda pia bila kuelezwa kama amepona ugonjwa wa kisaikolojia au la.
Naam, baada ya Lisu kutangaza kurejea nchini tarehe 7 mwezi ujao bila shaka atakuja na dereva wake ili aweze kukamatwa na kuhojiwa na polisi ili aeleze kilitokea nini hasa siku hiyo ya kupigwa risasi Lisu..
 
Hujajiuliza kwanini polisi hawajamfuata kwa mda wote huo, ingawa wanajua alipo.
Unataka potosha na kukichingsnisha jeshi letu na masuala ambayo lenyewe limejikalia kimya.
Na wewe kaa kimya.
 
Habari

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola alishawahi kusema moja ya sababu ya kesi ya kupigwa risasi Lisu kukwama ni pamoja na shahidi namba moja wa tukio hilo ambaye ni dereva wa Lisu kufichwa.!

Ikumbukwe mara tu baada ya Lisu kupigwa risasi, dereva alikimbizwa Nairobi na pale IGP Sirro alipomuhitaji mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe alijitokeza na kusema dereva huyo hawezi kuhojiwa na polisi kwa sababu anatibiwa kisaikolojia baada ya kushuhudia milio ya risasi, hata hivyo baada ya Lisu kupelekwa Ulaya dereva alienda pia bila kuelezwa kama amepona ugonjwa wa kisaikolojia au la.

Naam, baada ya Lisu kutangaza kurejea nchini tarehe 7 mwezi ujao bila shaka atakuja na dereva wake ili aweze kukamatwa na kuhojiwa na polisi ili aeleze kilitokea nini hasa siku hiyo ya kupigwa risasi Lisu..

Tufanye lisu na dereva wake walikufa je kusingekuwa na uchaguzi wowote?
 
Back
Top Bottom