Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,733
- 15,196
Tanzania ambayo ni nchi inayoongoza kwa kupambana na rushwa barani Afrika ,kupitia wizara ya mambo ya nje imelaani vikali mauaji yanayoendelea nchini Marekani ikiwemo ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu kwa watu weusi kwa kushambuliwa na polisi wazungu.!!!
Ndani ya wiki moja watu zaidi ya 40 wameuawa nchini Marekani kwa kushambuliwa kwa risasi.
Ndani ya wiki moja watu zaidi ya 40 wameuawa nchini Marekani kwa kushambuliwa kwa risasi.