Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

1.iweje mabehewa ya umbali mrefu yatangulie wakati reli yenyewe kipande cha dar to moro kinategemea kuanza Feb 2023? 2.Picha ya treni na mabehewa yaliyoagizwa na serikali na kuwekwa kwenye tovuti...
0 Reactions
2 Replies
413 Views
Haki ni haki bila kujali maslahi binafsi ya awaye yote. Kwa bahati mbaya tumekuwa wabinafsi tusiotaka kuwa sehemu ya kupigania haki hizo. Tumekuwa kama wapenzi watazamaji wengine wanapojaribu...
12 Reactions
45 Replies
3K Views
SHAKA ANAANZA KWA KUSEMA KUWA, RAIS SAMIA NI KIOO KINACHOAKISI THAMANI YA TANZANIA NA WATANZANIA, KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema...
7 Reactions
57 Replies
4K Views
Waziri Byabato: "tumelazimika kuleta wakandrasi wenye gharama kubwa ili kurekebisha hitilafu kwenye mitambo ya Gesi ya Kinyerezi" Baada ya Mvua kunyesha, wamebadili visingizio? Bado CCM mnazidi...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Nilikua bado nina shaka kama kweli uongozi wa mama unarudisha wahuni na wapigaji wa awamu ya nne ila matokeo ya chaguzi za CCM zinazoendelea ndio zimenitoa shaka. Kwa mfano uchaguzi wa Karamagi...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake Kwa mfano...
35 Reactions
402 Replies
22K Views
Bila kuwa na maneno mengi naomba kuwauliza vijana wa ccm waliopo DODOMA kwenye matukio muhimu ya chama chao na hicho kinachoitwa Green Marathon maswali yafuatayo. 1. Leo UVCCM wanainjoi na...
0 Reactions
1 Replies
593 Views
Kila kunapokuwa na jambo ka moto mara zote CCM huja na vijambo Ili kuwatoa wananchi kwenye umakini. Wote tunajua kuwa moja, kuna mgao mkali sana wa umeme ambao hata haueleweki, kuna mgao wa maji...
9 Reactions
24 Replies
3K Views
Huyu mwamba Yuko wapi? Ikulu haendi tena. Ndege imeanguka mwamba Yuko kimya, sio kawaida yake. Mama katoa kauli tata Arusha, mwamba katulia tu. Katiba inasusua mwamba katulia. Hamna maandamano...
4 Reactions
16 Replies
975 Views
Nchi yetu pendwa, kipenzi cha nchi nyingi duniani, kilimbilio la watu wote waliokua wakikandamizwa kwenye nchi zao hakuwahi kutawaliwa na Rais wa ajabu kama Magufuli. Rais ambaye hakuwapenda raia...
47 Reactions
84 Replies
7K Views
PONGEZI UVCCM WILAYA - SALAMU ZA PONGEZI KWA WASHINDI NA WASHIRIKI WOTE KATIKA UCHAGUZI NGAZI YA UVCCM WILAYA Na Komredi, Ndugu Victoria Charles Mwanziva: Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Waziri wa zamani wa Mali Asili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangallah kupitia Twitter ameonesha wasiwasi juu ya Ubora wa Mabehewa ya Treni za SGR ambayo picha zake zimeonekana zikisambaa mitandaoni na...
0 Reactions
0 Replies
600 Views
Ndugu Zangu Rais Samia Ameonyesha yeye Ni kiongozi shupavu sana, Asiye yumbishwa Wala kupelekeshwa na maneno maneno, Nikiongozi asiye fanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi wa kina, kiutafiti na...
0 Reactions
60 Replies
3K Views
Nikiangalia hili baraza la mawaziri, by all standards haliakisi sura ya Taifa na kwa hiyo halisaidii kwa namna yoyote kuimarisha umoja wa Kitaifa. 1. Hivi inawezekana vipi uje na baraza la...
88 Reactions
405 Replies
45K Views
Inafurahisha kuona nchi tuliyompeleka kijana wetu Mzalendo Komredi Polepole kwa sasa ndio kinara wa kupambana na rushwa na ufisadi barani Africa Makamu wa Rais wa Malawi amekamatwa kwa Rushwa na...
0 Reactions
4 Replies
803 Views
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu iliahidi kumuinua mwananchi kiuchumi na sasa imekuja na punguza ya riba ya mikopo ya mtu binafsi Benki Kuu ya Tanzania imetangaza...
13 Reactions
54 Replies
4K Views
CHADEMA wapo bize na mambo yao, lakini kwenye chaguzi za CCM zinazoendelea hivi sasa, wagombea lukuki wa CCM wanapoomba kuchaguliwa, hoja yao kubwa ni kuonesha kwamba wao wana uwezo wa kupambana...
10 Reactions
9 Replies
697 Views
Simjui Jina ila nakumbuka alikuwa Engineer na mkuu wa mkoa Geita, mfuasi wa jamaa mmoja tajiri na mchungaji Nigeria, Mzee Oyadepo wa winners chapel nadhani. Jamaa alikuwa anaongea mambo ya...
1 Reactions
9 Replies
713 Views
Sababu hakuna mfumo ambao ni asilimia 100 na mifumo yote ni mchanganyiko tofauti tofauti napenda kujua watanzania wanapenda mfumo gani na mfumo upi unaweza kuwafaa? Ubepari? Market socialism...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…