Chachu ya Komredi Polepole yaichangamsha Malawi Makamu wa Rais akamatwa kwa Rushwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,558
Inafurahisha kuona nchi tuliyompeleka kijana wetu Mzalendo Komredi Polepole kwa sasa ndio kinara wa kupambana na rushwa na ufisadi barani Africa

Makamu wa Rais wa Malawi amekamatwa kwa Rushwa na mtoto wa Rais mstaafu amekamatwa kwa tuhuma za kufanya biashara ya kuuza Binadamu

Mungu ni mwema wakati wote
 
U
Inafurahisha kuona nchi tuliyompeleka kijana wetu Mzalendo Komredi Polepole kwa sasa ndio kinara wa kupambana na rushwa na ufisadi barani Africa

Makamu wa Rais wa Malawi amekamatwa kwa Rushwa na mtoto wa Rais mstaafu amekamatwa kwa tuhuma za kufanya biashara ya kuuza Binadamu

Mungu ni mwema wakati wote
Unazingua injinia
 
Inafurahisha kuona nchi tuliyompeleka kijana wetu Mzalendo Komredi Polepole kwa sasa ndio kinara wa kupambana na rushwa na ufisadi barani Africa

Makamu wa Rais wa Malawi amekamatwa kwa Rushwa na mtoto wa Rais mstaafu amekamatwa kwa tuhuma za kufanya biashara ya kuuza Binadamu

Mungu ni mwema wakati wote
Polepole anaupiga mwingi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom