johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Inafurahisha kuona nchi tuliyompeleka kijana wetu Mzalendo Komredi Polepole kwa sasa ndio kinara wa kupambana na rushwa na ufisadi barani Africa
Makamu wa Rais wa Malawi amekamatwa kwa Rushwa na mtoto wa Rais mstaafu amekamatwa kwa tuhuma za kufanya biashara ya kuuza Binadamu
Mungu ni mwema wakati wote
Makamu wa Rais wa Malawi amekamatwa kwa Rushwa na mtoto wa Rais mstaafu amekamatwa kwa tuhuma za kufanya biashara ya kuuza Binadamu
Mungu ni mwema wakati wote