Rais Samia ameonesha ushupavu na umadhubuti katika kuongoza nchi na kukabiliana na changamoto

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,231
9,667
Ndugu Zangu Rais Samia Ameonyesha yeye Ni kiongozi shupavu sana, Asiye yumbishwa Wala kupelekeshwa na maneno maneno, Nikiongozi asiye fanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi wa kina, kiutafiti na kitaarifa, Ni kiongozi mwenye Msimamo usio yumba Wala kutetereshwa, Ni Kiongozi Mtulivu na mwenye Subira,

Ni kiongozi anayefahamu wakati gani aongee na wakati gani achukue maamuzi, Ni kiongozi anayefahamu wakati gani atoe maelekezo na wakati gani atumie kalamu, Ni kiongozi anayefahamu kuwa anawashauri na wasaidizi wa kikatiba lakini Maamuzi ya mwisho yanabaki mikononi mwake Kama Mkuu wa nchi, Serikali na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Rais Samia Ni kiongozi Mwenye ngozi ngumu ya kiuongozi, Huruma, upendo, ukarimu kwa wananchi wake na moyo mkubwa, ndio sababu ukiona Namna watu walivyo huru kutoa maoni yao, ndio sababu unaona namna alivyo mvumilivu, Ndio sababu ya usikivu wake na unyenyekevu wake, Ndio sababu ya kuona nchi ikiwa Tulivu salama na yenye amani huku umoja wa kitaifa ukiwa umeimarika Sana, Rais Samia Ni kiongozi kwa kuzaliwa, Ni kiongozi mwenye maono makubwa na Taifa hili, Ni kiongozi ambaye hayumbi katika kutimiza maono na Ndoto yake ya kimaendeleo kwa Taifa Hili

Rais Samia ameonyesha umadhubuti na ushupavu katika kukabiliana na matatizo na kero mbalimbali, ameonyesha uwezo mkubwa Sana wa kiuongozi, Ameonyesha kuwa na Dira na muelekeo sahihi katika kuongoza nchi yetu, Hakika Ni Rais Kweli kwelii, Mzalendo wa kweli, mwanadiplomasia nguli na mwana demokrasia halisia

Hakika utulivu na ushupavu wa Rais Mama Samia kiuongozi Umeituliza Sana nchi yetu na kuipa heshima kubwa Sana ndani na nje ya nchi, Watanzania Tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuwa naye bega kwa bega katika kila changamoto tuipitiayo. Watanzania tumebahatika kupata Rais mkweli na mcha Mungu na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu kimatendo na kimaneno, Ndio sababu ya kuona kauli zake zikiwa zenye kujenga umoja wetu wa kitaifa na kuliunganisha Taifa dhidi ya changamoto zinazokuwa mbele yetu

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 
Amka wewe Acha kuota ,mwisho utajinyea
Unaanzaje kulala wakati hata Rais wetu mwenyewe unaona akifanya kazi kila siku, Bila Shaka hapati muda wa kupumzika ili tu kuona watanzania wanapata huduma Bora kila eneo na kupata majibu kwa kero zao
 
Tazama ramani, utaona nchi nzuri.
yenye moto na mabonde mengi ya nafaka......
 
Tazama ramani, utaona nchi nzuri.
yenye moto na mabonde mengi ya nafaka......
Hakika Tanzania Ni nchi nzuri, Na Sasa inaongozwa na Rais shupavu na madhubuti mwenye Dira na muelekeo sahihi kutupeleka nchi ya Ahadi inayotiririsha kila aina ya fursa
 
Huu mgao wa umeme na maji ndio ushupavu. Hivi chawa hamuoni aibu kwenye mapambio yenu?
Tindo kuhusu Suala la maji Nafikiri umeona mwenyewe majuzi tu hapa mh Rais akizundua magari ya kuchimba visima virefu vitakavyosaidia katika kupunguza na kulimaliza tatizo la maji.

Kuhusu suala la Umeme napenda kukwambia kuwa suala hili limechangiwa kwa kiasi kikubwa na Hali ya ukame iliyoikumba nchi yetu na kupelekea kushuka kwa kina Cha maji katika mabwawa yetu ya kuzalisha umeme, hata hivyo serikali Inaendelea na juhudi za kuhakikisha Inatumia vyanzo vingine Kama gas katika kuzalisha umeme. Hata hivyo suala Hilo la tatizo la umeme linakwenda kuisha muda siyo mrefu maana mvua zinakwenda kuanza kunyesha
 
Hakika Tanzania Ni nchi nzuri, Na Sasa inaongozwa na Rais shupavu na madhubuti mwenye Dira na muelekeo sahihi kutupeleka nchi ya Ahadi inayotiririsha kila aina ya fursa
Mwashambwa namba za simu za nini kwenye Uzi? Unataka wakupigie, hizi nyimbo unazoimba zinamwisho jiandae kutafuta ID mpya maana hii utaionea aibu kuirudia
 
Mwashambwa namba za simu za nini kwenye Uzi? Unataka wakupigie, hizi nyimbo unazoimba zinamwisho jiandae kutafuta ID mpya maana hii utaionea aibu kuirudia
Mimi Ni mzalendo Sana na hayo mawazo unayoyawaza yaondoa akilini mwako
 
Ndugu Zangu Rais Samia Ameonyesha yeye Ni kiongozi shupavu sana, Asiye yumbishwa Wala kupelekeshwa na maneno maneno, Nikiongozi asiye fanya maamuzi pasipo kufanya uchunguzi wa kina, kiutafiti na kitaarifa, Ni kiongozi mwenye Msimamo usio yumba Wala kutetereshwa, Ni Kiongozi Mtulivu na mwenye Subira,

Ni kiongozi anayefahamu wakati gani aongee na wakati gani achukue maamuzi, Ni kiongozi anayefahamu wakati gani atoe maelekezo na wakati gani atumie kalamu, Ni kiongozi anayefahamu kuwa anawashauri na wasaidizi wa kikatiba lakini Maamuzi ya mwisho yanabaki mikononi mwake Kama Mkuu wa nchi ,Serikali na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Rais Samia Ni kiongozi Mwenye ngozi ngumu ya kiuongozi,Huruma,upendo,ukarimu kwa wananchi wake na moyo mkubwa, ndio sababu ukiona Namna watu walivyo huru kutoa maoni yao, ndio sababu unaona namna alivyo mvumilivu, Ndio sababu ya usikivu wake na unyenyekevu wake, Ndio sababu ya kuona nchi ikiwa Tulivu salama na yenye amani huku umoja wa kitaifa ukiwa umeimarika Sana, Rais Samia Ni kiongozi kwa kuzaliwa, Ni kiongozi mwenye maono makubwa na Taifa hili, Ni kiongozi ambaye hayumbi katika kutimiza maono na Ndoto yake ya kimaendeleo kwa Taifa Hili

Rais Samia ameonyesha umadhubuti na ushupavu katika kukabiliana na matatizo na kero mbalimbali, ameonyesha uwezo mkubwa Sana wa kiuongozi, Ameonyesha kuwa na Dira na muelekeo sahihi katika kuongoza nchi yetu, Hakika Ni Rais Kweli kwelii, Mzalendo wa kweli, mwanadiplomasia nguli na mwana demokrasia halisia

Hakika utulivu na ushupavu wa Rais Mama Samia kiuongozi Umeituliza Sana nchi yetu na kuipa heshima kubwa Sana ndani na nje ya nchi, Watanzania Tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kuwa naye bega kwa bega katika kila changamoto tuipitiayo. Watanzania tumebahatika kupata Rais mkweli na mcha Mungu na Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu kimatendo na kimaneno, Ndio sababu ya kuona kauli zake zikiwa zenye kujenga umoja wetu wa kitaifa na kuliunganisha Taifa dhidi ya changamoto zinazokuwa mbele yetu

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
2756823_JamiiForums-1851313687.gif
 
Tindo kuhusu Suala la maji Nafikiri umeona mwenyewe majuzi tu hapa mh Rais akizundua magari ya kuchimba visima virefu vitakavyosaidia katika kupunguza na kulimaliza tatizo la maji.

Kuhusu suala la Umeme napenda kukwambia kuwa suala hili limechangiwa kwa kiasi kikubwa na Hali ya ukame iliyoikumba nchi yetu na kupelekea kushuka kwa kina Cha maji katika mabwawa yetu ya kuzalisha umeme, hata hivyo serikali Inaendelea na juhudi za kuhakikisha Inatumia vyanzo vingine Kama gas katika kuzalisha umeme. Hata hivyo suala Hilo la tatizo la umeme linakwenda kuisha muda siyo mrefu maana mvua zinakwenda kuanza kunyesha

Nimecheka kwa huzuni, kwamba amezindua magari ya kuchimba visima. Huo uzinduzi ulikuwa usanii ili kuhadaa wananchi kuwa kuna jitihada, lakini maombi ni mvua inyeshe na sio zaidi ya hapo. Na mvua ikinyesha ndio mwisho wa hizo Hadaa.

Tatizo la umeme limeshindikana, Toka enzi za Mkapa porojo ni hizi hizi, na sasa ni matokeo ya usanii wa muda wote kwenye suala la umeme. Kama mabadiliko ya tabia ndio tatizo hasa ukame, kisha tumewekeza 7t+ kwenye umeme wa maji, basi ujue ujinga wa CCM utaligharimu taifa hili milele. Niikuhakikishie mama Samia hana lolote atafanya kwenye suala la umeme, atamaliza muda wake madarakani akiwa na hadithi hizi hizi za kalume kenge hataki kwenda shule.
 
Nimecheka kwa huzuni, kwamba amezindua magari ya kuchimba visima. Huo uzinduzi ulikuwa usanii ili kuhadaa wananchi kuwa kuna jitihada, lakini maombi ni mvua inyeshe na sio zaidi ya hapo. Na mvua ikinyesha ndio mwisho wa hizo Hadaa.

Tatizo la umeme limeshindikana, Toka enzi za Mkapa porojo ni hizi hizi, na sasa ni matokeo ya usanii wa muda wote kwenye suala la umeme. Kama mabadiliko ya tabia ndio tatizo hasa ukame, kisha tumewekeza 7t+ kwenye umeme wa maji, basi ujue ujinga wa CCM utaligharimu taifa hili milele. Niikuhakikishie mama Samia hana lolote atafanya kwenye suala la umeme, atamaliza muda wake madarakani akiwa na hadithi hizi hizi za kalume kenge hataki kwenda shule.
Kwamba magari ya kuchimba visima vya maji hukuyaona? Kwamba Yale hayakuwa magari kwa mujibu wa macho yako? Suala la umeme lazima ujuwe kuwa Mahitaji yake yameongezeka Sana kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi na kiuzalishaji zinazotegemea umeme ambazo ni dalili njema wa ustawi na Afya njema ya uchumi wetu, hata hivyo suala hili litakwisha kutokana na mikakati ya serikali yetu kukabiliana nalo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom