Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Yaani inakuajekuaje mtu unaahirisha Sherehe za Uhuru? Uhuru? UHURU? Sababu kubwa? Pesa ziende kwenye MAENDELEO? Yaan Mnaacha mafisadi yanajipigia, Mnajipa masafari Kila kukicha, Mnajipa matumizi...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Wasalaam, Viongozi wetu wakuu wanapoteua vijana ambao pengine hawana uzoefu wala ujuzi mkubwa sio kwamba tunastahili sana ila ni kwa sababu tunatengenezwa mazingira ya kuaminiwa kwa nafasi za juu...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education (GPE) ameongoza Vikao vya...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kidumu Chama cha mapinduzi, Pongezi na hongera kwa kila mmoja aliyefanikisha uchaguzi wa Chama na jumuiya kwa ngazi zote. Mmefanikisha kuitekeleza demokrasia kwa vitendo. Kesho tarehe 07/12/2022...
0 Reactions
4 Replies
930 Views
Nayaandika haya kwa masikitiko makubwa sana. Nimepoteza vibarua vyangu vyote viwili sababu kubwa ikiwa ni TANESCO. Nilikuwa na kazi mbili, zote nikiwa kama Virtual Assistant wa kampuni mbili za...
36 Reactions
82 Replies
3K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi yapokea na kuzikubali Rufaa tatu za wagombea Udiwani akiwepo Vitalis Maembe wa ACT Wazalendo.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Huku tunapumbazwa na hukumu ya Assad isiyo na Tija na iliyopitwa na wakati. Kumbe yoote ni ili kuingiza mitambo ya "Richmond" mpya kinyerezi/Tanesco.! Hii ilipitishwa na kikao gani cha bunge...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Ndani ya CCM ni hakuna msafi ukiona watu wana bweka ni kwa sababu wanataka mfupa wenye mnofu warushiwe. Huyu Hamisi Kigwangala hana nukta ya usafi na shukrani zimwendee Mwenda zake kwa kumpiga...
27 Reactions
45 Replies
4K Views
Kupigwa na kujeruhiwa kwa Msichana Songwe: Tunataka Mkuu wa Wilaya awajibishwe haraka! Utangulizi Chama cha ACT Wazalendo kupitia kwa Msemaji wa Ustawi na Maendeleo ya Jamii, tumepokea kwa...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kutunukiwa Shahada ya udaktari wa Falsafa ikisema hatua hiyo inadhihirisha na kusadifu kazi kubwa na anayoitekeleza...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Nimesikia habari za ndani kwamba kwa makusudi mafisadi na watu wenye nia mbaya wanataka kumweza Raisi na ratiba zake nje ya ofisi ili asigindue ufisadi unao endelea. Hii ni kuanzia malalamiko ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tundu Antipas Mugwai Lissu, akichangia mada huko space Twitter, alieleza kwamba aliwahi kufanya kazi katika kampuni hiyo akiwa kama mshauri wa masuala ya ardhi. Kauli hii inaleta ukakasi kidogo...
9 Reactions
142 Replies
9K Views
Nimeona mahali mtu aliyetambulishwa kama Katibu wa CHADEMA Handeni, Kombo Matulu akihimiza wananchi wakampigie kura mgombea wa CUF. Inaelekea CHADEMA wamebadilisha msimamo wao kuhusu kutoshiriki...
3 Reactions
54 Replies
2K Views
Kwanza nampongeza mh Zitto Kabwe kwa jitihada zake za kuitetea Katiba ya JMT. Awali nilidhani Rais wa JMT hawezi kushtakiwa kumbe siyo Sasa naomba kuelimishwa hili Suala la DC Simon kudaiwa...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Viongozi wetu ki ukweli mnajua kutuaibisha saaana yaani! SGR ya Wakenya tulikuwa tukishinda hapa kuwacheka na kuwalingishia ya kwetu kwamba, lao linatembea mwendo wa kinyonga, na ya kwetu itakuwa...
1 Reactions
3 Replies
610 Views
Serikali imetangaza mwenendo wa ugonjwa wa Uviko-19 nchini kwa kipindi cha Oktoba 29 hadi Desemba 2 huku takwimu zikionyesha wanaougua wakiongezeka. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
==== Uamuzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam kumtunuku shahada ya udaktari wa heshima Rais Samia Suluhu Hassan ni uamuzi sahihi sana kwa vigezo vingi pamoja na kwamba umekuja kwa kuchelewa...
15 Reactions
111 Replies
6K Views
Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa “used” Amesema “Hili behewa moja (tena used) limenunuliwa kwa sh ngapi...
11 Reactions
105 Replies
15K Views
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa...
84 Reactions
367 Replies
30K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…