Akijibu swali la mwanachama wa Chadema kutoka Philladelphia lililotaka, kujua Mikakati ya Chadema kuelimisha wananchii, Mbowe amefunguka vizuri sana na kudai kwamba, kitendo cha kuzuia harakati na...
Huyu mbunge wangu mstaafu mchungaji Msigwa ndiyo naweza kusema ana spirit ya Upinzani na hana bei
Fikiria namna alivyomkatalia Rais wa awamu ya 5 Shujaa Magufuli aka Jiwe asimlipie Faini na...
Anayeandika hapa ni YEYE BRITANICCA
Wavivu wa Fikra wanadhani Imekuwa Ngumu ACT na Chadema Kuungana kisa uchu wa madaraka nani agombee, sasa nawafungua Bongo zenu
Hakuna ugumu kuna mbinu NEC...
Kuna jambo watu hawajaligundua, ni kwamba CCM inawaweka pembeni baadhi ya watu kisayansi sana
Njia ziko mbili na zimefanya kazi, ya Tatu ya Mheshimiwa wa soko lake Dodoma ndo iliniacha hoi,
1...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua kiwanda cha kuchakata maziwa cha MSS kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, Mkoani Katavi ambacho kina uwezo wa kusindika wastani wa lita 10,000 kwa saa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu na Mjumbe wa kamati Kuu ya Chama hicho, Godbless Lema wametangaza kuwa watarejea nchini hivi karibuni ili kuendeleza...
Upinzani wa Tanzania japokuwa ni fake lakini pia umeshashindwa katika ufake wake.
Wananchi wanaona ni heri ya CCM japo inaishi katika mapungufu mengi, kuliko vyama vya Upinzani ambavyo...
Nimeshiriki mara kadhaa kwenye processes za ranking ya mataifa katika vigezo ambavyo hutazamwa na multinational companies zinapotaka kwenda kuwekeza. Nchi zote Duniani zinatafuta wawekezaji...
Kwa yakini ya moyo wangu kabisa, leo nilipokua nikitazama sherehe za kuwatunuku nishani wapiganaji wetu wa JWTZ Arusha nimeshuhudia baadhi ya mambo ya ajabu yaliyofanyika ndani ya uwanja na nasema...
CCM walilazimika kumpa madaraka Magufuli kutokana na mazingira ya wakati ule ila walidhani wangeweza kumdhibiti. Magufuli akawashangaza na kuwafumba midomo hata wale ambao walidhani wangekuwa na...
Ndugu zanguni, nimemsikiliza Mh. alipokuwa akiwahutubia Wana Diaspora Marekani. Moja kati ya masuala aliyozungumzia ni Katiba mpya. Nilichotambua ni kwamba, kama tutatembea kwenye mawazo yake...
My take
Jamani hii ni hatari sana na hapa ndio nimeanza kumuelewa ndugai kwamba alikuwa yupo sahihi sana. na kinacho nisikitisha zaidi hizi pesa zilizokopwa ni nyingi sana na haziendani na kilicho...
Uchambuzi huu ulifanywa na ndugu Twahir Kiobya huko clubhouse.
Ameisifu hotuba ile kwa ubora wake, akachambua mbinu mkakati ambazo ndugu Mbowe anatumia katika kufanikisha mazungumzo ya chama...
Kwanza huyu Jamaa kila siku anabadirisha magari anayatoa wapi angalia kwenye clip hapo chini.
Pili hili la makonda kutunishia kanisa misuli juu ya waraka walioutoa siku ya pasaka. Tunaenda...
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Donald J, Wright amesema katika vijana aliokutana nao wameonesha kutaka kushiriki katika maisha ya kisiasa na kijamii, pia wanataka uhuru wa kujieleza sauti zao...
Kitendo cha Lema na Heche kusema bora Mwendazake kuliko Samia wamekosea! Ni afadhali Rais Samia kuliko mtangulizi wake. Uzuri mmoja wapinzani hata wakikosea hurekebishana kwa hoja na staha mambo...
Kwa nukuu hii hapa ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara comrede Kinana akimuelezea Rais Dk.Samia alikuwa anatuma ujumbe gani hasa?
Nukuu ya Kinana hii hapa 👇
Kitendawili?
Tega.
Hivyo sio nchi invyoendeshwa kisayansi,
Haijalishi chama kinamuweka nani kileleni kwenye nchi ambayo zina civil services zilizo imara (na ya kwetu ovyo).
Mweh, acha tu...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeipongeza serikali kwa kuanza kuboresha mazingira ya haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. Hayo yalisemwa na Chama hiko wakati...