Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tangu kumalizika kwa uchaguzi wa ndani 2015 CCM imekua ikipambana na kifo chake kwa gharama kubwa!! Kilichotokea Dodoma 2015 kilikua mwanzo wa mwisho wa CCM Chama pekee kikongwe kwa East Africa...
11 Reactions
22 Replies
3K Views
Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia...
15 Reactions
70 Replies
3K Views
Suala eneo la Ihefu, chanzo cha mto mkuu wa Ruaha, limekuwa likilalamikiwa kwa miaka sasa. Najua serikali imekuwa ikilishughulikia hili tatizo la kuingiliwa Ihefu kwa nyakati tofauti, lakini ni...
16 Reactions
44 Replies
4K Views
Wakuu hivi hizi tozo za miamala kwenye bank, tozo kwenye tigo pesa, tutanyooka nasema. Ila mshauri wa uchumi wa nchi hii ni kiboko pamoja na bunge pia kama walikaa na kupitisha hili. Naamanisha...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
Merhaba! Wakuu Kuna vitu kwenye hii nchi vinakera na kuchukiza sana na kuumiza inakuaje mkuu wa wilaya moja nchini ya songwe eti bado yuko kazini mpaka sasa japokuwa ana tuhuma nyingi mojawapo ni...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam Wana JF. Kama mzalendo wa taifa hili kuna jambo nimeliona la kipekee kutokana na utawala mpya wa rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, Utashi, sera na falsafa zake...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wafanyakazi wa Tanzania wanakukumbuka kwa nyongeza zako nzuri za mishahara kila mwaka kwa miaka yako yote uliyotumika kama Mwajiri mkuu!! Jipe raha, pumzika kwa raha zako, kazi uliifanya...
5 Reactions
51 Replies
3K Views
Haya tuyategemee sisemi Mengi, Ila Taasis zetu hazijajiimarisha kusimamia wanayoyahubiri , Ni sawa kwa Chama makini si rahis kujua mgombea wake Mapema, lakin pia si vizuri kumdanganya na...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Staki nirudie mambo mengi tu ambayo kila leo yanasemwa na kuandikwa hapa jukwaani kuhusu ughali wa maisha n.k nadhani mh Rais ameamua kuyaacha ili kuandikwe historia nyingine mpya Katika nchi...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Upande wa Jamhuri unatarajia kuwa na mashahidi 14 na vielelezo 17 katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake watatu...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Huwa nawaza sana kuuawa kwa huyu mwamba halafu mbaya zaidi huzuni hii hunijia wakati unapigwa wimbo wa taifa kwamba Mungu ibariki Tanzania, wabariki viongozi wote. Yaani Mungu abariki wauwaji...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Hii kazi anafanya Waziri Mkuu Majaliwa ya kudeal na wabadhirifu ni nzuri sana. Ingefanywa kwa ukubwa zaidi na ingekuwa endelevu ingetufaa sana. Ila najiuliza, madudu yote hayo wakuu wa mikoa huwa...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Habari JF. Kumekuwa na ubadhirifu wa fedha za umma kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya 6. Hali ni mbaya ktk kila idara na wizara, mashirika na mamlaka mbalimbali...
0 Reactions
13 Replies
828 Views
Taarifa za Kidunia zinaonyesha kwamba huyu ndiye kiongozi wa kisiasa mwenye kuheshimika zaidi duniani kwa sasa , ndiye mwanasiasa anayeongoza kwa siasa za kistaarabu , ni mvumilivu asiye na kisasi...
25 Reactions
120 Replies
8K Views
Taarifa zinaonyesha kwamba Sherehe hizo Kabambe za kuukaribisha Mwaka mpya zimesimamiwa na EFM na TV E chini ya Uratibu wa mzee wa Scratch DJ MAJIZO, ambapo Mgeni Rasmi ni Rais Mstaafu Jakaya...
16 Reactions
56 Replies
7K Views
Ndugu zanguni, kila Mtanzania anajua jinsi rasilimali za Nchi yetu zinavyochakazwa na WAHUNI siku hizi. Kila unapogusa pana upigaji mrefu kabisa. Watu wanakosa huduma za kijamii, na Wapigaji...
0 Reactions
10 Replies
424 Views
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma...
22 Reactions
126 Replies
9K Views
Kwà kipindi kirefu tangu Utawala wa kikoloni miaka ya 1880-1980 serikali na mamlaka Zake zimekuwa kikwazo kwa Maendeleo na ustawi wa Jamii za kiafrika licha ya Matumaini Makubwa waliyo nayo Raia...
1 Reactions
12 Replies
847 Views
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushuhudia uzinduzi wa zoezi la kuingiza maji kwenye Bwawa la Julius Nyerere Disemba 22, 2022 badala ya Novemba 2021 iliyokuwa awali. Mheshimiwa Rais...
1 Reactions
95 Replies
9K Views
Rushwa inarudi kwa kasi Tanzania na inasikitisha sana. Serikali na viongozi wakuu kama wenyewe sio wala rushwa inabidi wafanye ufuatiliaji wa vitu vya wananchi. Nitatoa mifano hapa 1. Kama ni...
1 Reactions
6 Replies
746 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…